Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Hivi inashindikana nini kwenye maandalizi wakaajili wawe wa aajili watu wawili watatu toka kwenye watu walio katika kamati za tuzo kubwa kama BET ama MTV waje washiriki katika kamati zao za maandalizi kupata uzoefu mpya

Kwa madhaifu mengi ya leo hayahitaji mtu wa BET au MTV, wangejifunza kupitia kili music awards na event organizers wengine wanaofanya vizuri Tz
 
Sarafina "best female performer of the year"...
Anastahili kiasi flani maana kwa stage anajitahidi hata bila play backs👏👏👏
 
Kipengele gan kachukua konde? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Best male performer of the year..
Kadediketi Tuzo kwa frida kajala

"Please babe take me back" 😄😄

Rudi kundini kumeanza kuchangamka, wakiweka peformance nzuri itapendeza zaidi
 
hahaaa konde bwana kajala dada popote ulipo nakuomba mfikirie huyu kijana asije akajidhuru jamani, mama paula rudi konde gang please.
 
Labda yalikuwa maandalizi ya kumuonesha kajala kuwa anasononeka [emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kapoa sana,

halafu huyu mchekeshaji hovyoooo
 
Jamani hii ndiyo quality ya picha za event au TV yangu mbovu😂😂 sielewii

20220403_005414.jpg
 
Back
Top Bottom