Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

He!!! Barua tena?
 
Nimekapenda haka ka dada ka msanii chipukizi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mchekeshaji wa hovyooooo
Alikuwa nani huyo. Maana hat upuuzi wa kuitwa loko chaneli siwezi angalia labda kama kuna msiba wa kitaifa
 
Wamemtrick Tu maana kajitoa wameamua kumpa kishika uchumba ili next year aiingize WCB
Wanaogopa kutengwa na WCB, wanajua ndiyo inayoongoza kwa fan base kubwa na wasanii wao wote ni A-list hivyo wakiwepo wataziheshimisha zaidi tu na excitement itakuwa ni kubwa zaidi.
Raha za tuzo ni majina kusababisha suspense, imagine hizo nominations zingekuwa na majina ya wasanii wa WCB yaani the whole shit would have been a completely different game.
Kujaribu kufanikisha hilo ndiyo wanamvuta karibu kisanii kwa ajili next year.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…