Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Hakuna jambo la maana tunaloweza kufanya kama taifa. Mambo yote ni ya hovyoTanzania sometimes tunashindwa kuwa serious hata kwa vitu vidogo kama hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jambo la maana tunaloweza kufanya kama taifa. Mambo yote ni ya hovyoTanzania sometimes tunashindwa kuwa serious hata kwa vitu vidogo kama hivi.
He!!! Barua tena?Kuingiza sio shida watafanyia kazi malalamiko yake kwanza Cha kwanza diamond alidai kutopewa mrabaha na akaongeza zaidi system nzima ya ukusanyanyi miraba ujakaa vizuri na alitajihidi kuulizia inakuaje hawakumpa majibu yakuridhisha
2. Jambo la pili alihoji utaratibu mzima wa kupata nominees alishangazwa na utaratibu wa msanii kuomba kwa barua kuingizwa kwenye categories anayotaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wasipige cha juu?Kwanini hii kazi ya production asingepewa azam tv ambaye ana camera nzuri za kisasa kuliko hawa ndugu zetu tbccm??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jokate alivyomdere Blue kwa dharau utasema hawakuwahi kuwa wapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda wengine wanaonesha via tibisii waniNi hivyo hivyo[emoji23]
Nimebadili chanel zote,hovyooo tu
[emoji23][emoji23][emoji23]clouds wakakatisha matangazo[emoji23]Labda wengine wanaonesha via tibisii wani
Alikuwa nani huyo. Maana hat upuuzi wa kuitwa loko chaneli siwezi angalia labda kama kuna msiba wa kitaifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mchekeshaji wa hovyooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo alikosekana dr mpango tu ili kuwe na utatu. Usishangae kama bashite angekuwa bado ni mkuu wa mkoa angepewa naye tuzoJamani bado natafuta wimbo wa msanii wetu Mabeyo huku youtube lakini mpaka sasa sijapata chochote...juhudi zinaendelea
Wanaogopa kutengwa na WCB, wanajua ndiyo inayoongoza kwa fan base kubwa na wasanii wao wote ni A-list hivyo wakiwepo wataziheshimisha zaidi tu na excitement itakuwa ni kubwa zaidi.Wamemtrick Tu maana kajitoa wameamua kumpa kishika uchumba ili next year aiingize WCB
Asiyejulikana,wanamjua wenyewe TbcAlikuwa nani huyo. Maana hat upuuzi wa kuitwa loko chaneli siwezi angalia labda kama kuna msiba wa kitaifa
Itakuwa wameona statistics za watazamaji zinashuka ghafla.[emoji23][emoji23][emoji23]clouds wakakatisha matangazo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakuwaItakuwa wameona statistics za watazamaji zinashuka ghafla.
Serious? Kwamba wameleta mchekeshaji ambaye hata wao hawakuwahi kumuona akichekesha?Asiyejulikana,wanamjua wenyewe Tbc
Yaani lichekeshaji sijui wamelitoa wapi?Serious? Kwamba wameleta mchekeshaji ambaye hata wao hawakuwahi kumuona akichekesha?
Next year waandaaji wamuweke hata zumaridi angalau[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani lichekeshaji sijui wamelitoa wapi?
Hajashawishi