Kwani JF kuna anayetengeneza contents za ngono?
Yaani badala nielewe ulichoandika, unataka nielewe ulichokusudia?
Yaani badala nielewe ulichoandika, unataka nielewe ulichokusudia?
Halafu nimeuliza swali, maana yake sijaekewa, so, badala kuendeleza maswali, nivyema ungejibu swali.
Una kauli nzuri, hebu tuhamie inbox kidogoKaka samahani sana sitaki kubisha na wewe, kwa nia nzuri tu sitaki mabishano na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una kauli nzuri, hebu tuhamie inbox kidogo
Acha woga wewe, yaani Inbox tu unakua muoga hivyo🤣🤣🤣Ndugu nakuheshimu sana na wewe jiheshimu, inbox umeambiwa Mimi ni mwanamke? Kuwa na adabu tatizo lenu mtu akikuheshimu mnaamdharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli, kama unapenda mpira basi zitakuja za mpira hizo za ngono kama zinatokea kwako basi ni mdauSio kweli
ipo siku utahama dunia, maana mambo ya ngono yapo kila mahali live kabisaBinafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.
Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?
Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.
Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
Kuna yule mjinga na uzi wake "watoto wameshalala thread" mpaka nimemtia block kwa upumbavu wake
ani nimesemaje ndugu?Ila wa bongo bwana..kwani hujaelewa?? Mtu mwenyewe hata mkenya muuza matunda tu huwezi battle nae upande wa yai kaa kimya lugha za watu hizo mkuu...
Porn twitter zipo kitambo tu ila kuna features za kuhide sensintive na adult content unahisi upend izo mambo nenda kwenye privance setting zuia.Mtu yeyote anayeanza kwa lugha dismissive ya "acha uongo" bila ya kujiridhisha kwamba mimi ni muongo namuona hana intellectual matureness ya kufanya majadiliano nami.
Hilo neno la uongo ni zito sana kulitoa kirahisi hivyo kwa mtu yeyote asiye simpleton, you sound like a simpleton.
Unafanya logical non sequitur kufanya conclusion kwamba mimi kusema kwamba porn imeongezeka baada ya Elon Musk kununua Twitter kwa sababu ana falsafa za uhuru wa kujieleza zaidi na kapunguza moderators maana yake ni kwamba hakukuwa na porn kabla ya Elon Musk kununua Twitter, that is a logical non sequitur.
Unaelewa hilo?
Inawezekana wewe unayeitafuta porn mwenyewe umeiona tangu 2019, lakini wengine wasioitafuta porn wameanza kuiona porn 2022 kwa sababu ya moderaton kupungua, Elon Musk kuwa na falsafa ya uhuru zaidi na hata mpango wa ku monetize porn on Twitter na new features kama statuses.
Unajuaje mimi ni muongo na si kwamba sijapata habari muhimu tu kama za timeline?
Ni uongo kwamba Elon Musk kapunguza content moderators?
Ni uongo kwamba Elon Musk ana falsafa za kuruhusu watu kujinafasi sana kwa uhuru, kitu ambacho si ajabu kinaongeza porn?
Hawa watu wa Vice wameandika article ya new features za hivi karibuni zinavyoongeza porn, na wao ni waongo?
Twitter’s New Statuses Are Going Straight to Porn, Because Twitter Is Full of Porn
That’s just the way it is.www.vice.com
You are arguing off point. Even after being told that this is off point.Porn twitter zipo kitambo tu ila kuna features za kuhide sensintive na adult content unahisi upend izo mambo nenda kwenye privance setting zuia.
Twitter ni mtandao wa kikubwa sana wa watu wanaojielewa na Porn ni content za wakubwa wenye umri wa miaka 18+.
hawa watoto wa Facebook walioingia mule ndo wanapiga kelele
Anajiita Farida mb*** kubwa[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule kahaba huwa ana comment almost post zote na comment yake "nataka mb** Kubwa..." dah wanaudhi sana yaani!
Au wewe ndio yule Cynacute wa thread za watoto wameshalala[emoji23]Mm naona haunitak nami nimeachana nao tu sasahiv kwakweli