Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,169
Reaction score
3,297
Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hiace iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.

Lakini leo wale waandishi 6 ndio wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.

Media msivutie tuu kwenu
 
Mimi nakwenda one over

Kuagwa na kuagana imekuwa fashion..., hizo pesa za kugharamikia kusanyeni wapelekeeni ndugu na jamaa wa wafiwa ziwasaidie katika wakati huu mgumu na kujisogeza katika huu uchumi wa kati...

Hayo mengine watu wanapata opportunity ya kuuza Sura tu.
 
Kweli inasikitisha saaana yaani vyombo vyote vya habari kuongelea waandishi pekee wakati Kuna raia wamepoteza maisha bila hata kukumbukwa na cha ajabu wao waandishi ndo ilo gari lao limesabisha hiyo ajari lakini haohao ndo habari iliyopo kwenye media zote nchi nzima, hata huyo Nape kaongelea waandishi tu. Kazi hipo...
 
Kuna mwingine kumbe Alikuwa Askari.. Akiwa na cover ya uandishi wa habari. Kifo kimemfichua.
IMG-20220112-WA0010.jpg
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!
 
Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha
6 waandishi na 8 wananchi.
Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.
Media msivutie tuu kwenu
... mkajiandikishe na kujitokeza huko! Hayo mengine hayawahusu.
 
Back
Top Bottom