Du! CCM hii bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du! CCM hii bhana!
... sasa hawa ndio walitakiwa wawe infiltrated kwa Mbowe na watuhumiwa wenzie kunasa sauti au video wakipanga mipango ya ugaidi. Kibatala alihoji mahakamani jana hakupatiwa majibu.
... wako na kazi maalumu hao! Yuko tayari kukupa "chochote" mradi apate habari!Duuh aisee,basi huyu inawezekana alikuwa tisi
Ukitaka kujua nguvu ya walevi wewe mwaga pombe yaoAjali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.
Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.
Media msivutie tuu kwenu
Alikuwa kitengo cha upelelezi basi.
Inawezekana... wako na kazi maalumu hao! Yuko tayari kukupa "chochote" mradi apate habari!
Sisi Wananchi wanatuona kama Vinyama vya Mwitu.Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.
Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.
Media msivutie tuu kwenu
Wamefia kaziniAjali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.
Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.
Media msivutie tuu kwenu
Wala sio ubaguzi ni utaratibu tu mkuu.Dah ubaguzi wa wazi kabisa huo. Matabaka hayawezi isha kwa staili hii.
Si mlikuwa mnamsifia huyo Nape, bila kujua yuko pale ili alipize kisasi alichofanyiwa kwa kutishiwa bastola na baadae kuvuliwa uwaziri!!! Wanasiasa wabaya sana basi tu watu huwa hamuelewi huwa hawana nia yoyote ya dhati kukusaidia wewe mwenye hali ya chini usiye na mtetezi-lugha na matendio yao ni sawa na mbingu na ardhiDah ubaguzi wa wazi kabisa huo. Matabaka hayawezi isha kwa staili hii.
Machozi yamekwenda na maji.Kilio cha samaki hakina machozi
Mkuu hujui kuna polisi waandishi wa habari na wana vitendea kazi na wamesomeshwa na serikali ?Kuna mwingine kumbe Alikuwa Askari.. Akiwa na cover ya uandishi wa habari. Kifo kimemfichua.View attachment 2078126