Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.

Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.

Media msivutie tuu kwenu
Wajinga sana. Utadhani wao pekee ndo wameumia. Anyway kila mtu apambane n hali yake. Lkn inauma sana wengine hata hawatajwi.

Lkn madhara ya rushwa katika habari yamewavuna. Kama kila mwandishi angekuwa na usafiri wake, yasingetokea
 
Hawa wengine?
Wanazikwa individually

Mbona Iko clear kabisa mkuu

Wao hawahusiki na taratibu za maandalizi ya mazishi ya mwajiri… wao watakua na rights z kuclaim bima nk

Hao waandishi wameagwa kiofisi

Tusilazimishe issues
 
Wala sio ubaguzi ni utaratibu tu mkuu.
Kwahiyo hao wengine wamewekewa utaratibu gani? Tuambiane!
Ingekuwa ni wanajeshi kidogo ningeelewa lakini waandishi wa Habari ni raia tu kama hao wengine 8 waliofariki.
 
Wanazikwa individually

Mbona Iko clear kabisa mkuu

Wao hawahusiki na taratibu za maandalizi ya mazishi ya mwajiri… wao watakua na rights z kuclaim bima nk

Hao waandishi wameagwa kiofisi

Tusilazimishe issues
Hao ni waandishi wa vyombo tofauti vya Habari unasemaje wamezikwa kiofisi ndugu.
Halafu kiofisi waagwe public tena na uwepo wa waziri.
 
Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.

Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.

Media msivutie tuu kwenu
SERIKALI ilopaswa IUBEBE MSIBA WOTE KWA MAREHEMU WOTE na Sio WAANDISHI WA HABARI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Acha kushangaaa ,kuna ndege ilianguka huko nje sasa ktk hiyo ndege kulikuwa na mtu mmoja maarufu kati ya mwanasoka au msanii ckumbuki kilichofuata taarifa ilitangaza ajali ile lkn yule mtu maarufu alitangazwa zaidi na ilifanyika jitihada mpaka mabaki ya mwili wake takapatikana,
Sawa
 
Nende kwenye mada Tanzania juzi ilipata pigo la watu kumi na wanne, waliokua katika msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza lakini katika kundi zima la waliopoteza maisha vyombo vyote vya Habari vinaripoti vifo vya waandishi watano tu as if waliobakia hawakuwa binadamu
Mnakera Sana heshimuni utu WA watu vyovyote awavyo!

Huu NI ubaguzi dhidi ya utu WA watu.
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!
Nape anaingia kwenye mtego huu bila shaka!!!
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!
Msiba wa Magu uliondoka na watu 50 Lakini hawakutajwa kwa uzito kama yeye
 
Wanazikwa individually

Mbona Iko clear kabisa mkuu

Wao hawahusiki na taratibu za maandalizi ya mazishi ya mwajiri… wao watakua na rights z kuclaim bima nk

Hao waandishi wameagwa kiofisi

Tusilazimishe issues
Unataka kusema hao wandishi mwajiri wao ni serikali?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Waafrika tunakosaga utu na uungwana!! Huwezi kiongozi wa serikali kuaga watu nusunusu kwakutizama kazi zao!!

Unaagiza waandishi walofariki ndio walipwe je hao wengine kama wanadai waajiri wao wao silazima walipwe??

Walimu wanaokufa wanaidai serikali mbona hawalipwagi ndani ya wiki??

NAPE AJIUZULU KUDADAAAADEK!!!!
 
Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hice iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.

Lakini leo wale waandishi 6 ndo wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.

Media msivutie tuu kwenu
Umenena ukweli mtupu,ukifuatilia chanzo cha ajali ni gari lao lilipasuka tairi likiwa katika mwendo mkali likahamia upande likajipiga kwenye Lori likahamia upande wa pili likakutana na hiece ikiwa kwenye nafasi yake.Hao wa abiria wa kwenye Hiece hata wazir kwenda kuwapoza wafiwa,tv zote na vyombo vya habar Ni kwa waandishi wa habar,wengine mbona hatupati habar zao!?
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!

Mbaya zaidi ni uzembe, ubabe na ukiukaji wa sheria barabarani wa gari la serikali lililokuwa na hao sita ndiyo lililosababisha vifo na uharibifu wa mali kwa wasiohusika ambao tena wamepuuzwa:

IMG_20211119_091739_123.jpg


Serikali za namna hii no wonder zimewafikisha kina, Adamoo, Ling'wenya, Lijenje, Ben, Azory, Lissu, wa kwenye viroba nk, huko waliko.
 
Wanazikwa individually

Mbona Iko clear kabisa mkuu...
Wameagwa kitaifa/kisekta. Waziri na mkuu wa mkoa wameongoza msiba. Ingekuwa kiofisi tu basi lingekuwa suala la media house zao pekee.

Decency inadai wahanga wengine angalau wangetambuliwa (a proper mention) kwenye msiba huo.
 
Back
Top Bottom