Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

we nyoko mbona unanitukana?? Wapi nimekutukana wewe au unajiwasha tu.
Halafu We ndo jinga miongoni mwa wenye roho za kikatili hapa duniani.

Halafu hujui utaratibu wowote unajifanya mwelewa fala we.

Kwan haijawahi kutokea serikali ikahusika kuzika wahanga wa majanga mbalimbli?? Rejea ajali ya mafuta moro, mwanza hata ile ya majinja mbona serikali ilichukulia kwa uzito wake??
Sote ni binadamu na serikali ina wajibu wa kulinda na kuwajibika kwa kila mtz haijalishi hivyo vyeo jinga we.!
Kesho wahusika wakikiri kuna double standard utasemaje??

Shenzi mkubwa we.
Crap

Unalinganisha maafa na ile accident?

Nenda tovuti ya prime minister kuna maandiko mengi tu yatakusaidia

Sio kutwa kulalama kama boga
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!
Nimesoma kwenye comment za mpuuzi mmoja hapo akituambia na sisi tukave watu wetu yaani marehemu.
Ninahitaji wanahabari wapinge hili haraka ama sivyo watafanya kazi na mbuzi na siyo sisi inaudhi sana
 
Crap

Unalinganisha maafa na ile accident?

Nenda tovuti ya prime minister kuna maandiko mengi tu yatakusaidia

Sio kutwa kulalama kama boga
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
 
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
Huna ubavu hata wa kunigusa

Komaa na keyboard tu

Mbaaaf wahed
 
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
vibao tena [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mie natetea kidogo, walikuwa wanaenda kwenye ziara ya mkuu wa mkoa, inamaana waliitwa na ofisi ya mkuu wa mkoa ndio sababu serikali imegharimia shughuli.
Kuna mtangazaji mwingine wa radio free africa amefariki jana, kwa sababu amefariki tu maybe kwa kuumwa au vinginevyo hujasikia ametajwa tajwa kokote labda radio free africa alikowahi kufanya kazi ndio watamtajataja na wachache aliowahi kufanya nao kazi na akina sie tunaofahamu kwamba kafariki na tukapata taarifa, lakini angefariki kwenye ile ajali kila mtu hapa angeshajua Steven Moyo Mchongi hatuko naye
Pole yao sana wafiwa...
 
Hao waandishi 6 ndio kafara lenyewe la mjanja Nnape
Usimkufuru Mwenyezi Mungu. Hivi hata kama humpendi Mhe. Waziri Nape ndiyo unaweza kumpa utukufu wa Mungu? Mamlaka ya kifo iko kwa Mwenyezi Mungu. ..mengine ni sababu za kidunia tu.
 
Back
Top Bottom