Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Kwahiyo hao wengine wamewekewa utaratibu gani? Tuambiane!
Ingekuwa ni wanajeshi kidogo ningeelewa lakini waandishi wa Habari ni raia tu kama hao wengine 8 waliofariki.
Sema tu Wabongo tumezoea kulalamika hata pasipokuwa na ulazima.
 
Wameagwa kitaifa/kisekta. Waziri na mkuu wa mkoa wameongoza msiba. Ingekuwa kiofisi tu basi lingekuwa suala la media house zao pekee.

Decency inadai wahanga wengine angalau wangetambuliwa (a proper mention) kwenye msiba huo.
Wako chini ya waziri wao na walikua ziara ya mkuu wa mkoa

Tutafute mengine ya kuitukana serikali siyo hii
 
Hao ni waandishi wa vyombo tofauti vya Habari unasemaje wamezikwa kiofisi ndugu.
Halafu kiofisi waagwe public tena na uwepo wa waziri.
Wana option ya kuzikwa kisekta - na waziri akaenda

Na ya Pili ni mkuu wa mkoa waliokua pamoja ziarani

I see no problem
 
Mbaya zaidi ni uzembe, ubabe na ukiukaji wa sheria barabarani wa hali la serikali lisilokuwapo na hao sita ndiyo lililosababisha vifo na uharibifu wa mali kwa wasiohusika ambao tena wamepuuzwa:

View attachment 2078246

Serikali za namna hii no wonder zimewafikisha kina, Adamoo, Ling'wenya, Lijenje, Ben, Azory, Lissu, wa kwenye viroba nk, huko waliko.
Ni jambo la ajabu sana
 
Ajali ya gari iliyohusisha gari ya serikali iliyobeba waandishi wa habari na hiace iliyobeba abiria tulitangaziwa jumla ya watu 14 walipoteza maisha 6 waandishi na 8 wananchi.

Lakini leo wale waandishi 6 ndio wameagwa na waziri wao kuibuka. Tena kaka na matamko mengi na ya hovyo. Ila wale 8 hata hawasemi habari yao.

Media msivutie tuu kwenu
Hii nchi ni ya hovyo kabisa
 
Ajali ya simiyu ilihusisha pia madereva wa yale magari

Kwanini hawa madereva hawajapewa uzito wowote katika mazishi yao

Wala hakuna waziri wa usafiri na uchukuzi kwenye msiba huo

Wala hakuna tamko la chama cha madereva na wadau wa sekta ya usafirishaji?

Tutafakari pamoja.
 
Wako chini ya waziri wao na walikua ziara ya mkuu wa mkoa

Tutafute mengine ya kuitukana serikali siyo hii
Acha kutetea vitu vya ajabu, kikubwa ni kukiri kosa kwa kusahau pengine na kusahihisha next time.

Hizo ni matabaka ya kipumbavu ipo siku watu wa serikali wanapata majanga halafu raia watashangilia.
 
Acha kutetea vitu vya ajabu, kikubwa ni kukiri kosa kwa kusahau pengine na kusahihisha next time.

Hizo ni matabaka ya kipumbavu ipo siku watu wa serikali wanapata majanga halafu raia watashangilia.
Kwahiyo ulitaka hata wale wa daladala wote wapelekwe uwanjani, waagwe kama watumishi wa sekta kisha waanze kutawanyika

Gharama hizo analipa nani? Maana wengine ajira zao zinawaka haki za kugharamiwa mazishi
 
Kwahiyo ulitaka hata wale wa daladala wote wapelekwe uwanjani, waagwe kama watumishi wa sekta kisha waanze kutawanyika

Gharama hizo analipa nani? Maana wengine ajira zao zinawaka haki za kugharamiwa mazishi
Unaogopa gharama kwani pesa za serikali za nani???
Hiyo gharama ni sh. Ngp unahisi???

Very sad
 
Unaogopa gharama kwani pesa za serikali za nani???
Hiyo gharama ni sh. Ngp unahisi???

Very sad
Wewe ni mpumbavu hujui utaratibu wa baadhi ya mambo yanavyokwenda

Busy justifying your point

Kawazike basi wewe tena kusanya wote uwajaze uwanjani

Pretending like you don’t know basics haikupi anything justifiable

Mambaffff
 
Wewe ni mpumbavu hujui utaratibu wa baadhi ya mambo yanavyokwenda

Busy justifying your point

Kawazike basi wewe tena kusanya wote uwajaze uwanjani

Pretending like you don’t know basics haikupi anything justifiable

Mambaffff
we nyoko mbona unanitukana?? Wapi nimekutukana wewe au unajiwasha tu.
Halafu We ndo jinga miongoni mwa wenye roho za kikatili hapa duniani.

Halafu hujui utaratibu wowote unajifanya mwelewa fala we.

Kwan haijawahi kutokea serikali ikahusika kuzika wahanga wa majanga mbalimbli?? Rejea ajali ya mafuta moro, mwanza hata ile ya majinja mbona serikali ilichukulia kwa uzito wake??
Sote ni binadamu na serikali ina wajibu wa kulinda na kuwajibika kwa kila mtz haijalishi hivyo vyeo jinga we.!
Kesho wahusika wakikiri kuna double standard utasemaje??

Shenzi mkubwa we.
 
Hakika siyo sawa...
Mie natetea kidogo, walikuwa wanaenda kwenye ziara ya mkuu wa mkoa, inamaana waliitwa na ofisi ya mkuu wa mkoa ndio sababu serikali imegharimia shughuli.
Kuna mtangazaji mwingine wa radio free africa amefariki jana, kwa sababu amefariki tu maybe kwa kuumwa au vinginevyo hujasikia ametajwa tajwa kokote labda radio free africa alikowahi kufanya kazi ndio watamtajataja na wachache aliowahi kufanya nao kazi na akina sie tunaofahamu kwamba kafariki na tukapata taarifa, lakini angefariki kwenye ile ajali kila mtu hapa angeshajua Steven Moyo Mchongi hatuko naye
 
Back
Top Bottom