Ubaguzi wa Serikali kufuatia ajali iliyohusisha waandishi

Crap

Unalinganisha maafa na ile accident?

Nenda tovuti ya prime minister kuna maandiko mengi tu yatakusaidia

Sio kutwa kulalama kama boga
 
Habari ya msiba tuliambiwa ni zaidi ya watu14!

Lakini ni ajabu na kushangaza taarifa inakava wale wanahabari 6 tu!

Je wale wengine wengine wengi tunamuachia nani kama serikali?

Kuna msaada wowote?

Mfuko wa maafa tunaomba mtoe ufafanuzi!
Nimesoma kwenye comment za mpuuzi mmoja hapo akituambia na sisi tukave watu wetu yaani marehemu.
Ninahitaji wanahabari wapinge hili haraka ama sivyo watafanya kazi na mbuzi na siyo sisi inaudhi sana
 
Crap

Unalinganisha maafa na ile accident?

Nenda tovuti ya prime minister kuna maandiko mengi tu yatakusaidia

Sio kutwa kulalama kama boga
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
 
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
Huna ubavu hata wa kunigusa

Komaa na keyboard tu

Mbaaaf wahed
 
Nabishana na kiazi kumbe.
Basi nimekuelewa, endelea na mambo yako ila tabia ya kutukana watu bila sababu uache maana ungekua karibu ningekulamba vibao wewe.
vibao tena [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Pole yao sana wafiwa...
 
Hao waandishi 6 ndio kafara lenyewe la mjanja Nnape
Usimkufuru Mwenyezi Mungu. Hivi hata kama humpendi Mhe. Waziri Nape ndiyo unaweza kumpa utukufu wa Mungu? Mamlaka ya kifo iko kwa Mwenyezi Mungu. ..mengine ni sababu za kidunia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…