DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pitieni beach zote hivyo vitendo vyatokea.

Hata ukitoka hapo ulipo ukaenda kawe beach utakuta hayo yapo
 
Asante Muheshimiwa Waziri Nadhani wahusika wa unyanyasaji na waathirika wote waliofanyiwa hivyo na wenye Ushahidi watakutafuta ila ningependa pia usiri wa taarifa za mtoaji pia uzingatiwe
Wewe na Waziri wako Dkt. Gwajima D kwa hili mnapoteza muda. Si alijifanya Kupuuzia Bandiko langu hapa sasa acheni Wanyooshwe.
 
Japo kuna vitu vinafikilisha kwenye hii video kwanini alienda na kitambaa?
 
Dkt. Gwajima D Tafuta kazi nyingine ya kufanya achana na hao malaya wa hapo coco beach.
Haiwezekan huo ukawa ubakaji hata kidogo.
Nakubaliana na wewe asilimia 100%...
Kama mtu wa kwanza alifanyiwa hivyo then alivotoka kwenye maji alichukua hatua gani ..?
Kama alikaa kimya means alipenda.

Kukaaa kuwatetea tetea sana hii inashusha thamani yao. Tena inaonesha jinsi gani dada zetu hawajielewi.

Anaye fanyiwa hayo mambo sio mtoto ni mtu mzima na akili zake..

Ukifika beach tuu hizi story zipo nyingi sana. Kusema huyo anayeenda huko beach ni mgeni, katoka mkoani au ..?

Hao wanapenda wenyewe. Ingekua wanaofanyiwa hivi ni watoto hapo hatua zingechukuliwa .

Mtu mzima na akili zako unafanyiwa hivo na unatoka upo comfortable kabisa si uchizi huo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pitieni beach zote hivyo vitendo vyatokea.

Hata ukitoka hapo ulipo ukaenda kawe beach utakuta hayo yapo
Msituchoshe acheni Wabanduliwe tu Majini sawa? Nilikuwa nawachukia Beach Boys ila kwakuwa Uzi wangu wa Kutahadhirisha haya Matendo yao niliouandika hapa JamiiForums mwaka huu huu Ulipuuzwa na Mamlaka akina Dkt. Gwajima D sasa GENTAMYCINE nimegeuka na nawatetea Beach Boys tena nitawapa hata Tuzo za Kutukuka.

Nimekereka mno....!!
 
Wewe na Waziri wako Dkt. Gwajima D kwa hili mnapoteza muda. Si alijifanya Kupuuzia Bandiko langu hapa sasa acheni Wanyooshwe.
Pengine hakuliona. Mabandiko hapa ni mengi labda kama ana watu kwa ajili ya kufuatilia mabandiko kama haya. Waziri anajitahidi sana kufuatilia taarifa hizi na kuzifanyia kazi hapo hapo pengine kuliko waziri mwingine ye yote. Kwa hili anastahili pongezi.
 
Niwe mkweli, nimepata nyege na nimedindisha.
Tafuta boya kajiunge coco beach pale ulongoni..
Na ombea nisikudake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…