Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Hahaha iranian means business walifyeka top cia director iranian desk aliyetoa oda na kusimamia hit ya kassim soleiman tokea hapo hiyo desk ikafutwa wale ni jino kwa jino hit kwa hit huaa hawanaga kusamehe.
Anaitwa nani huyo top CIA director????
Maana aliyetoa oder ni Trump kama amri jeshi mkuu.
Tupe jina la huyo director??
 
Nikiangalia jengo pembeni ya ubalozi lilikopigwa bomu hata sielewi, ni kama jengo limechimbuliwa kutoka ardhini afu ni hilo tu. Ya pembeni yapo vizuri
 
Najua hichi ulichoongea ndio Level yako ya kufikir sikulaumu uko brainwashed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…