Pre GE2025 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unatumia rushwa ili kupata viongozi watakaopambana kuleta katiba mpya ya kupinga rushwa na ufisadi

Pre GE2025 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unatumia rushwa ili kupata viongozi watakaopambana kuleta katiba mpya ya kupinga rushwa na ufisadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.

Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.

Chichi dodo
 
Tuambizane ukweli...
Niulize kwanza, Katiba Mpya ndiobitaenda kupambana na Rushwa na Ufisadi?

Sasa baada ya hizi tuhuma za Ufisadi na rushwa ndani ya CHADEMA, waanze kwa kuonyesha mfano ndani ya chama chao. Waweke hiyo Katiba mpya, wamchague Mwenyekiti mwingine baada ya huyu wa sasa kukaa kwa miongo miwili...na tuhuma za rushwa, halafu ndio waje wakoromee wananchi.

Uzeni Sera wana CHADEMA.
 
Katiba mpya haiandikwi na Chadema , Katiba mpya inaandikwa kwa kuzingatia maoni ya wananchi yanayoendana na wakati uliopo sasa . Katiba ya 1977 imepitwa na wakati . Hata wananchi wanawaunga mkono Chadema na ajenda ya katiba mpya .
 
Katiba mpya haiandikwi na Chadema , Katiba mpya inaandikwa kwa kuzingatia maoni ya wananchi yanayoendana na wakati uliopo sasa . Katiba ya 1977 imepitwa na wakati . Hata wananchi wanawaunga mkono Chadema na ajenda ya katiba mpya .
Bado hujasema
 
Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.

Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.

Chichi dodo
Harafu Kuna nyumbu wanaandamana 😂😂😂😂
 
Katiba mpya haiandikwi na Chadema , Katiba mpya inaandikwa kwa kuzingatia maoni ya wananchi yanayoendana na wakati uliopo sasa . Katiba ya 1977 imepitwa na wakati . Hata wananchi wanawaunga mkono Chadema na ajenda ya katiba mpya .
Katiba haibadilishwi kwa sababu tu ni ya mwaka 1977. Mbona Quran haipitwi na wakati?
 
Tulishasema siku nyingi CHADEMA ni kikundi cha michongo tukabezwa, kiko waaaapiiii?
 
Tulishasema siku nyingi CHADEMA ni kikundi cha michongo tukabezwa, kiko waaaapiiii?
Ni waroho wa madaraka, Lissu anataka kiti cha Mbowe, na Mbowe hataki kutoka
 
Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.

Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.

Chichi dodo
Tuhuma hizi kwa chadema ni nzito sana,ndio maana kila siku nawaambia humu kuwa ni waongo sana,bora lissu kawaumbua,na hapo Mbowe anajua rushwa ipo ila sababu yeye ndio dili zake,Lissu kamlipua.
 
Chadema ina laana,lissu anataka kujitenga nao,wangemuua tu lissu wa watu.go lissu go.
 
Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Leo naona chawa wote wameibuka kutoka mashimoni kunanini,ama mwamba kawapuliza dawa ya kuwaangamizeni🤪
 
Back
Top Bottom