Pre GE2025 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unatumia rushwa ili kupata viongozi watakaopambana kuleta katiba mpya ya kupinga rushwa na ufisadi

Pre GE2025 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unatumia rushwa ili kupata viongozi watakaopambana kuleta katiba mpya ya kupinga rushwa na ufisadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lugha na maudhui aliyotumia Lissu kuisema Chadema yake kuhusu Rushwa ndiyo mbinu alizokuwa anatumia Makonda kuichafua CCM,nini tofauti yake.
 
Lugha na maudhui aliyotumia Lissu kuisema Chadema yake kuhusu Rushwa ndiyo mbinu alizokuwa anatumia Makonda kuichafua CCM,nini tofauti yake.
Tofauti ipo kubwa sana yani Chadema mtu unaweza kukosoa unavyotaka ila CCM ukikosoa tu jambo, Unaitwa kamati kuu. Yani hakuna uhuru CCM.
 
Back
Top Bottom