CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Usiwe na wasiwasi atafunga na WiFi free uwe unapambana na chadema hapa jf.Ngoja amalizie gesti yake hapo tuanze kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe na wasiwasi atafunga na WiFi free uwe unapambana na chadema hapa jf.Ngoja amalizie gesti yake hapo tuanze kulala
Tofauti ipo kubwa sana yani Chadema mtu unaweza kukosoa unavyotaka ila CCM ukikosoa tu jambo, Unaitwa kamati kuu. Yani hakuna uhuru CCM.Lugha na maudhui aliyotumia Lissu kuisema Chadema yake kuhusu Rushwa ndiyo mbinu alizokuwa anatumia Makonda kuichafua CCM,nini tofauti yake.
Aliyeuza Bandari za Tanganyika ni Lissu?Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Usihamishe hoja brotherAliyeuza Bandari za Tanganyika ni Lissu?
Hoja inahusu mauzoUsihamishe hoja brother
Naam...Mauzo ya CDM hadi makamu na lema wameongeaHoja inahusu mauzo