Trump ni presidential material? Cabinet gani ina mamlaka ya kutengua uamuzi wa wapiga kura? Na cabinet ( baraza la mawaziri) hiyo itaundwa na mawaziri wa utawala upi? Unataka kusema cabinet ya Trump ina uwezo wa kupindua matokeo ya uchaguzi alioshindwa kwa kile unachokiita mstakabali mpana wa nchi? Cabinet ambayo inakaa chini ya Rais aliyeshindwa ndio iamue kweli kama matokeo ni halali au sio halali! Mbona mnatufanya wajinga sana?Sipo upande wa Mseveni c'se he is too old to run the show...ila Watu wanaomshabikia Bob wine in short hawajielewi au wapo obsessed Sana na democracy , demokrasia sio ya kuichukulia Tu yote kama ilivyo ,mtajikuta mnatengeneza tatizo kubwa Zaid , wazungu demokrasia Yao huwa wanaiedit Kwanza kabla ya kuirusha on-air .... Huwez kumpa nchi mtu kama Bob wine hakuna kitu pale .... Mzungu huwa anahakikisha wagombea wote ni presidentially material , bado baada ya Kura kuna cabinet inakaa Kwa ajil ya kumtathmin aliyeshinda Kwa kina , kama ni miyeyusho cabinet inapindua matokeo Kwa mstakabali Mpana wa nchi .... Sisi huku hamna , ni ushabiki Tu na chuki za kikanda na kikabila mtu hata wa hovyo Tu anapewa majukumu mhimu ...mwisho wa yote anabak kupuyanga na matokeo yake vita vya wenyewe Kwa wenyewe nchi inakuwa full riots ....
George Weah mcheza mpira sasa RAIS wa LiberiaN
Sasa mkuu mfumo wa Marekan unalinganisha na huku down
Madagascar Kuna DJ kule anaongoza kabla kuwa meya wa Antananarivo alikuwa DJ.akagoza mapinduzi akawa RAIS baada kumuondoa RAIS RavolonomananaN
Sasa mkuu mfumo wa Marekan unalinganisha na huku down
Ukrainebro si umesema wenzetu hawachagui wasanii,umesahau kuna nchi ya eastern europe walichagua msanii wa vichekesho kuwa president
Hakutoka kwenye Usanii na kuja kuwa Rais, alipita njia iliyo mtayarisha pamoja na kuwa Gavana wa Jimbo tajiri sana Califórnia kwa vipindi viwili kabla ya kuwa Rais wa nchi ya Marekani.Ronald regan alikuwa ni msaanii wa filamu hollywood akaja kuwa president wa marekani 1980
Una mawazo finyu sana, huyo unayemuita msanii nimeona interviews zake ana uwezo mkubwa sana...Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Hkn jina ambalo lililoorodheshwa kama Bobi kwenye uchaguzi haya matokeo ni ya uongo kuna karatasi 2 tu za ukweli hpo ambazo zina jina la kyagulanyi robert hizo yenye jina la Bobi ni fakeItakuwa unafuatilia kinachojili huko Uganda hebu tupe ukweli unaoujua wewe,
"No research no right to speak"
Yule hana uzoefu wa siasa. Kuna vitu angekuwa amejifunza kama angekuwa step by step kwenye ngazi za kisiasa. Anahisi kuendesha nchi ni kama kampuniYaani wapinzani wakielekea kushinda ndio tume ya uchaguzi inaonekana huru;
natoa mfano,hivi katika hali ya kawaida tunaamini trump alishindwa?,hii nguvu inayotumika kwake kumtoa unadhani tume iko huru?,kuna muda haina maana kujilinganisha na wengine tuangalie yetu tu;
ingekua Africa ndio inafanyika vile tungesema hayahaya;
Mbona kama unateseka?Sipo upande wa Mseveni c'se he is too old to run the show...ila Watu wanaomshabikia Bob wine in short hawajielewi au wapo obsessed Sana na democracy , demokrasia sio ya kuichukulia Tu yote kama ilivyo ,mtajikuta mnatengeneza tatizo kubwa Zaid , wazungu demokrasia Yao huwa wanaiedit Kwanza kabla ya kuirusha on-air .... Huwez kumpa nchi mtu kama Bob wine hakuna kitu pale .... Mzungu huwa anahakikisha wagombea wote ni presidentially material , bado baada ya Kura kuna cabinet inakaa Kwa ajil ya kumtathmin aliyeshinda Kwa kina , kama ni miyeyusho cabinet inapindua matokeo Kwa mstakabali Mpana wa nchi .... Sisi huku hamna , ni ushabiki Tu na chuki za kikanda na kikabila mtu hata wa hovyo Tu anapewa majukumu mhimu ...mwisho wa yote anabak kupuyanga na matokeo yake vita vya wenyewe Kwa wenyewe nchi inakuwa full riots ....
Hizo pesa za chaguzi bora zingekuwa zinatumika tu kwenye miradi ya maendeleo(kujenga madarasa)kuliko uchafuzi huo wakati mshindi sio lazima awe ni yule aliyeshinda bali ni yule aliyetangazwa!!chaguzi nyingi za afrika ni ili kuwahadaa hao mabeberu ili kuzidi kutoa pesa zao tu!Hivi uko timam unadhani nchi inakabidhiwa kama fremu ya kupanga.nyie kina lisu tu
Inaonekana wewe hujui siasa za dunia?Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...