Uchaguzi ujao utakuwa mwepesi sana kwa CCM tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini

Uchaguzi ujao utakuwa mwepesi sana kwa CCM tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini

Uje ww na familia yako utuzuie tukuone vizuri.
Wewe ndio ujitokeze kwanza Barabarani kutuletea bughuza ukione kitakacho kukuta,ndio utakuwa maana ya kutii Sheria bila shuruti ,utashughulikiwa na serikali yetu shupavu na madhubuti vizuri kwa mujibu wa sheria
 
Mimi naendelea na kazi zangu ,nataka nikuone wewe unayetaka kutukwamisha kazi ukipita Barabarani na mabango yako

Kwani mimi kazi zangu zimesimama? Uje na mkeo au basha wako tuwaone mnavyotuzuia.
 
Back
Top Bottom