Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Hivi hatuwezi kuwa na mfumo mbadala wa kuendesha maisha usiohusisha siasa? Ukweli mimi binafsi siipendi siasa. Baadhi ya sababu zinazonifanya nisiipende siasa ni UNAFIKI, UONGO na UBINAFSI wa wanasiasa waliowengi.
Kama unachukia ujinga huu basi unangana na wapenda mavadiriko kuiondoa ccm madarakani kwa kuwa ccm ndo baba na mama wa mauchafu yote haya
 
Kunywa hata leo hii maana Lissu kuwa rais ni unstoppable
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
 
Mkuu yaani umepiga penyewe sina lakuongeza ngoja waje wanasaccos ya Chadema watoe mapovu ya Omo ya kutosha.

Jana nilisema leo wanaccm watajazwa humu mitandaoni kuhakikisha wanapunguza sumu ya hotuba ya Lissu. Na kwakweli hilo liko dhahiri kwa kila mtu kujionea. Pigeni kazi jamani, huyo Lissu ameongea mambo yatakayosumbua sana mbele ya safari.
 
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
 
Sijui umeandika nini chuki zenu mtakufa nazo,hotuba yake umeisikia au umeadithiwa? Kumbuka aliyehaidi kutoa milioni 50 kwa kila kijiji,kutoa mikopo kwa wanachuo wa Elimu yajuu pamoja na kupambana na mafisadi na mahakama ya mafisadi hajagusia ata moja.Tulia dawa iingie.
 
Miongoni mwa hotuba bora kwangu hapa Tanzania ni pamoja na hii,lisu chaguo LA wengi hasa ambao tumekosa ajira ktk serikali hii
 
Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.

Tume ya uchaguzi - sisiemu
Mahakama - sisiemu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisiemu
Ingekuwa watu wanaogopa hilo basi leo hii DRC wangekuwa bado wanatawaliwa na Kabila
 
Tatizo ana mihemko mno, kitu kingine aliharibu sana kuwatetea Acacia na kuwa mtetezi wa ushoga.
 
Nilionya na ninaendelea kuonya. Huyu asipodhibitiwa anaweza kusababisha machafuko hapa nchini. Inaonesha wazi mabeberu wanataka kumtumia kuhujumu amani yetu.
Amani ikose kuvurugwa na anayeteka na kuua watu ije ivurugwe na mtu anatekekeza wajibu wake wa kikatiba?umevimbiwa na maharage ya wapi wewe?
 
Jana nilisema leo wanaccm watajazwa humu mitandaoni kuhakikisha wanapunguza sumu ya hotuba ya Lissu. Na kwakweli hilo liko dhahiri kwa kila mtu kujionea. Pigeni kazi jamani, huyo Lissu ameongea mambo yatakayosumbua sana mbele ya safari.
Lissu ni sawa na wanasaccos asiye na uwezo wa kuchambua hoja ni utopolo tu umemzidi
 
Membe siyo mwanachama wa CCM tena labda kama atagombea kupitia CDM?
Mkutano Mkuu ndio wenye mamlaka ya kumuondolea uanachama wake, subiri utashangazwa Mkuu. Mwenyekiti wetu Magufuli mwoga sana.
 
Ila wamepigika hatari awamu hii, kumbuka maisha yao yanawategemea wa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…