Mkuu unamuabudu Yesu au MunguUelewa wako wa sababu iliyopelekea Yesu kuja duniani na matokeo ya kufa na kufufuka kwake ni mdogo sana, completely negligible.
Ushauri wangu ni aidha uyatoe maisha yako kwa Yesu Kristo au uende ukajipatie mabikira 72 kwa Allah.
Yesu anakuwa je Mungu Sasa mkuu? Hebu nielimishe mm na baadhi ya watuRoho zidanganyazo zimekupata. Nadhani utakuwa umetembelewa na jibril. Uwe makini maana jibril alimkaba muhammad kule mapangoni hadi akarudi kwa Khadija akiomba afunikwe na mablanketi.
Jibril alikuwa anamlazimisha asome kitabu. Alikuwa hajui kama Muhammad alikuwa illiterate? Hicho kitabu ni kipi hasa wakati quran haikuwepo?
Yesu Kristo ndiye Mungu wa milele, muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Yesu ndio jina la Mungu.Mkuu unamuabudu Yesu au Mungu
Yesu hawi Mungu, yeye ni Mungu tangu milele.Yesu anakuwa je Mungu Sasa mkuu? Hebu nielimishe mm na baadhi ya watu
Dah,ukristo kweli sio diniMungu ni mmoja, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Uislamu haujaletwa na Muhammad S. A. W, Bali yeye ni mtume wa mwisho.Ndugu hebu tuletee Aya or any evidence ku-prove kuwa mtume Muhammad ndie muanzlsh wa uislam
Kwenye neno 'NENO' weka 'mungu' uone mazingsombwe,sharti upate kizunguzunguPopoma halijui kama Mungu yuko katika nafasi 3 yaani Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu! Hakina uelewa wa Biblia! Pia halijawahi kusoma kwamba "Hapo mwanzo alikuwapo neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu! Na pasipo yeye hakikufanyika kitu kilichofanyika! Kuyaelewa maandika matakatifu ni kazi pevu! Pia mleta mada ni popoma hajui makusudi ya Yesu kuja ulimwenguni katika umwilisho wake!
Pale msalabani alikua anamlilia mungu gani alipolia mungu wangu mbona imeniacha!?Yesu hawi Mungu, yeye ni Mungu tangu milele.
Nyie si mnasema hakuwekwa msalabani sasa mmejuaje kama alilia?😂Pale msalabani alikua anamlilia mungu gani alipolia mungu wangu mbona imeniacha!?
Ulicholeta wewe hapa ni kucheza tu lugha lakini hakuna ukweli wowote,hata kabla mwanadamu hajaumbwa palikuwa na Lugha iliyokuwa ikitumika kucommunicate kati ya Mungu na Malaika. Hata baada ya Adamu kuumbwa Mungu alicommunicate na Adamu kwa hiyo palikuwa na lugha ya mawasiliano.Kwa hiyo hizo kauli za Mungu aliumba nini mwanadamu akaumba hiki ni kucheza tu na kazi za fasihi hakuna ukweli wowote.Mkuu ulichoeleza ni Kama unaelewa upande mmoja wa shilingi alafu upande mwingine huujui.
Mungu aliumba Imani mwanadamu kupitia Imani akaunda Dini
Akaumba Akili mwanadamu akaunda Elimu
akaumba Uzuri binadamu akaunda urembo
Akaumba Sauti binadamu akaunda Lugha
Huwezi tenganisha Imani na Dini.
Ukristo ni Imani iliyounda Dini ya Ukristo.
Unapofafanua Jambo lazima ulijua Kwa mapana yake.
Sipo hapa kuleta ushabiki au kutetea kundi lolote isipokuwa Ukweli
Ukristu kweli sio DINI ni IMANI.Dah,ukristo kweli sio dini
Mimi nimeisoma Biblia vizuri sana.Kama kuna kilichoandikwa na unakibishia leta ushahidi wa kisayansi na kihistoria tuipime.Kusema kila kilichopo kwenye biblia ni ukweli ni kutoijua biblia,kutoisoma Wala kujua historia yake
Kwa hiyo kwanza tunakubaliana kwamba alisulubiwa si ndio?Pale msalabani alikua anamlilia mungu gani alipolia mungu wangu mbona imeniacha!?
Achana na hizo propaganda,mara kadhaa tangu kwenye vitabu vya agano la kale tunaona Mungu akijidhihirisha katika nafsi zaidi ya moja.Sio habari mpya.Hilo fundisho la Trinity unajua liliingia mwaka gani kwenye Ukristo?
Maana usiwe unazungumzia mambo usiyoyaju.
Ni lini mtazamo wa Mungu yupo katika Nafsi tatu uligundulika, na ipi asili ya Dhana hiyo?
Mean sauli alimshundwa Goliath sababu ya nn ?Mungu anaangalia kila resources aliyokupatia😂😂
Mwili, akili, hisia, roho, Mali, n.k.
Ni mtu mjinga pekee anayeweza kufikiri kuwa Mungu anaangalia roho pekee yake.
Roho na moyo Ni vitu viwili tofauti .Mungu anaangalia kila resources aliyokupatia😂😂
Mwili, akili, hisia, roho, Mali, n.k.
Ni mtu mjinga pekee anayeweza kufikiri kuwa Mungu anaangalia roho pekee yake.
Mkuu huyu Heriel amesimulia tu na hajajenga hoja yoyote ya msingi.Braza angu alinipa hadithi ya Yacobo na Yusuph nikiwa chalii tukisubiri gemu za Uefa nilimuelewa sana akasema hao ni ndugu na hata hapa unaona wanatofautiana sana ni kwa kuwa wengi hawana uelewa wa hizi dini zetu wamekaririshwa kuchukiana wakati ni ndugu moja...baadae nikafatilia kwenye Biblia nikakuta ni kitu kile kile hata mitume wengi ni wale wale...