Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

Kristo ndio njia ya kweli na uzima..hakuna atakaye pata ufalme wa mbinguni bila imani na haki katika kristo Yesu.

Uislamu uliletwa na shetani ili kuchakachua maandiko na kuwapoteza watu katika njia ya upotevuni.

Ndio matendo ya hizi dini mbili nanajionyesha wazi..ukristo umejikita kwenye upendo furaha na amani kwa wote....ila hali ukiristo umejikita kwenye chuki wivu na ugomvi fitna na utengano haya yako wazi kabisa na tunajionea sasa jinsi gani dunia inahangaika na matendo ya kigaidi yatokanayo na imani hii.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
God iz Good All the time
Binadam amebadilisha vingi katika kutafuta ahueni na faida yake katika jambo fulan
Cha msingi jifunze kwa utashii mkubwaa sana maana miluuzi ni Mingi sana ukishindwa (Ishi katka upendo)
 
Mleta mada ameonyesha ni jinsi gani Ukristo ulivyo tofauti na uyahudi na uislam
Lakini uyahudi unafanania sana na Uislam,ila ukristo haufananii kabisa na uyahudi na uislam. Hasa kwenye falsafa ya Mungu ni nani na yupoje.
 
Umechanganya madesa wewe, rudi akakusimulia upya !
 
Wivu, chuki na roho mbaya iliyokujaa ktk moyo dhidi ya uislamu, na ndio maana bila ya hata muna sema eti (maria mama wa mungu) mungu wenu ana2 mama, baba mlezi , bibi, babu napia alikufa
Hoja dhaifu sana hii
 
Uelewa wako wa sababu iliyopelekea Yesu kuja duniani na matokeo ya kufa na kufufuka kwake ni mdogo sana, completely negligible.

Ushauri wangu ni aidha uyatoe maisha yako kwa Yesu Kristo au uende ukajipatie mabikira 72 kwa Allah.
Be honest, jiwe limekupata penyewe. Usione aibu, kubali tu.
 
Wewe jamaa kumbe ni empty head. Shabik maandazi.
Wewe uko level ya chini sana kufanya mdahalo na mimi. Angalia wanazuoni wako wanavyohangaika huku.

 
Kusema uyahudi umezaa uislamu ni kukosea sana, Kwasababu uislamu unatokana na Mtoto wa Ibrahim anayeitwa Ismail ambaye hajawahi kuwa MYAHUDI kabisa. Uyahudi unatokana na Mtoto wa YAKOBO anayeitwa YUDA.
Ila ni sahihi, kwa upande wa UKRISTO( kuwa UKRISTO ni mwendelezo unaotokana na maboresho ya dini ya KIYAHUDI).
Kwahiyo, UKRISTO unatokana na Mtoto wa kiimani (KIROHO) wa Ibrahim ( ISAKA ) na UISLAMU unatokana na Mtoto wa kimwili wa Ibrahim ( ISMAIL).
 
Roma waliichakachua sana biblia wakapunguza vitabu wakabadili baadhi ya maneno,mwisho wa Kitabu wakaandika" Ole wake aongezaye au apunguzae neno ndani ya Kitabu hiki"how bright are they?
 
Jamani haya maelezo mnayatoaga wapi? Uyahudi umetokea kwa YUDA mtoto wa Yakobo? How? YUDA ni mtoto tu kati ya watoto 12 wa kiume wa Yakobo lakini unaposema wayahudi unajumuisha wa Israel wote ambao ni muendelezo wa vizazi vya hao watoto wote 12 wa Yakobo.

Ibrahimu alikuwa na watoto 8,Pamoja na kwamba Ismael( Mtoto wa kijakazi) ndiye aliyezaliwa kwanza Isaka ndio mtoto wa ahadi ambaye Mungu alimuahidi angemzaa kupitia Sara.

Hapa wasituyumbishe UISLAM hauna origin yoyote umeibuka ghafla tu na mtu kaja kuedit story za kale ili ionekane ina uhusiano na dini na imani zilizotangulia kwa lengo la kupata credibility. Na hii ndo sababu iliyopelekea story nyingi za Quran kuwa zinamakosa makubwa sana ya kihistoria.
 
Uislamu umeanzishwa na Vatican featuring Muhammad and creating a god called Allah.
Isingekuwepo Qu'ran ningekubaliana na mawazo yako ila kila nilisoma Qu'ran moja na nikiitafakari elimu na madini yalikuwepo mule aya Moja tu au mbili unaweza kugusa maeneo kibao na kutoka humo pakapatikana mada na vitabu zaidi ya 200, ufasaha wa Qu'ran haiwi mwanadamu kufikia uwezo wa kutunga vilevile ibada na concepts nzima za uislamu huko mbali na unayoyasema japo hayo madai nimewahi kusoma andiko lakini Qur'an inatosha kuprove wrong madai hayo yote..
 
Umesoma pia namna Quran ilivyokusanywa baada ya mtume kufariki?
 
Kuhusu ndoa na mahusiano hasa suala la talaka hata wayahudi walihusiwa kuwa na mke mmoja ila kwasababu ya ukaidi wa moyo yao na kuongeza uzao kwa haraka ilibidi hili kiachwe litokee.

Ila baada ya kristo alikuja akakumbushia kuwa ndoa ni mke mmoja ila kwasababu ya ugumu wa mioyo yao ndio mana walikaza fuvu kuwa na wake zaidi ya mmoja

Pia kuhusu talaka Mungu anachukia kitengana..kama hakuna sababu ya msingi ambazo zilianinishwa kama uzizi basi kifo kiwatenganishe..lengo hapa ni kujenga familia imara yenye upendo imani na nguvu.

Talaka inaruhususiwa ila itolewe ikiwa tu unaushahidi wa dhati kuwa mke/mume alizini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Umesoma pia namna Quran ilivyokusanywa baada ya mtume kufariki?
Nimeisoma tena kitabu kizima chenye pages zaidi ya 500 kikieleza mwanzo mwisho historia ya Qu'ran mpk kukusanywa na mambo mengine kuhusu Qu'ran kama uchambuzi ,aya zilizofutwa hukumu ,jinsi ilivyokusanywa Ktk lahaja na kwa nini iwe hivyo na nyingine kuteketezwa kila kitu nimesoma.

Vipi ulitaka kusemaje ?
 
Mkuu nakuomba hebu achana nao , hao wote wapo empty hakuna Mwenye IQ yoyote eti ulinganishe Qur-an na bibilia?, narudia hakuna kitabu cha dini kinacho kinachoelezea mwanadamu ninani ila Qur-an, sasa hao wanao mmfanya binaadamu (yesu) kuwa mungu ndio waliopotea hata hao ma royal wao (wayahudi) hawalikubali hili
 
Hoja dhaifu sana hii
Wewe mkuu ndio dhaifu, yesu yeye ni mtu tena ni maskini, tena ana kula na kunya mimi na wewe tena anasikia maumivi iweje awe mungu?, yesu wako alisha ukana uungu mara kibao, au aumini?, kasome


LUKA 18:18
YOHANA 17:3
YOHANA 14:28

Hzo sio hoja za Qur-an lahasha hicho ni katabu chenu kilicho jaa udhaifu , mashaka na magumashi kila page ya kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…