Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Watu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
 
Watu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
Una uhakika ni yeye karekodi? Je kama ni mgonjwa aliyekuwa kakaa pembeni yao
 
Watu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
Hatutakiwi kufanya kazi kwa kutegemea media. Km mfanyakazi pale wewe tayari ni kiongozi kama unaona kuna huduma inaendeshwa sivyo basi unaenda kuripoti kwa viongozi husika. Ndiyo maana ya kuwa mfanyakazi
Ni muhimu sana kila mfanyakazi ajue maadili ya kazi yake. Unaweza kwenda kutahiriwa unashangaa unakutana na video yako mtandaoni. Unabaki kushangaa
 
hata huyo aliyerekodi iwe ni mafanyakazi au mgomjwa kupija picha au kuchukua video hospitalii ninkosa kubwa
Kosa kwa mujibu wa kujilinda lakini siyo kosa kwa mujibu wa kujiimalisha
 
Hapo siyo chumba cha upasuaji!
Sehemu ya ofisi kama ofisi zingine!
 
Mimi sioni umuhimu wowote wa mlolongo wa maelezo yako. Unajaribu kueleza nini?
 
Halafu hawa wana ugomvi wa muda mrefu huyu dada asionewe.Hata hivyo alimwambia akamwambie incharge ambaye ni boss wa dada, so jamaa alitakiwa kwenda huko.


Lakini kuwa na mtumishi wa afya wa aina hii anayerekodi mambo hospital ni hatari hatariiii sanaaa.Huyu anaweza mrekodi TUPU mgonjwa anayem-attend.

Sheria za kazi naye zimhusu
 
Yule dada nimemsilikiliza good sana alimwambia kama kijana yule ‘’kama hutaki kutumia nenda kwa incharge umwambie na sio mimi’’

Sema yule kijana alikuwa anatafuta humaarufu na akijiona yeye atakuwa salama kwa kufanya hivyo
 
Pita hivi bhasi! Hahahah
Siwezi kupita hivi nionapo mtu anaweka bla bla nyingi zisizo na maana yoyote. Thread inayojadili kuhusu hili ipo hapa. Wewe unakwenda kuanzisha thread isiyo na ulazima wowote na maelezo yenyewe yanajichanganya changanya huku ukidhani umeandika mambo ya maana kweli kweli.
 
Kosa la Wakubwa hapo... Hao wadogo watanyonyolewa tu... [emoji23][emoji23]
Na kama si kurekodi tusingeyajua hayo... Hao wote hawana makosa.
 
Kosa la Wakubwa hapo... Hao wadogo watanyonyolewa tu... [emoji23][emoji23]
Na kama si kurekodi tusingeyajua hayo... Hao wote hawana makosa.
Yapo sana tu hayo mambo!
Hata watu wanaokufa na kuzinduka huko mochwari unazani hawapo? Sema bhasi tu kulindana
 
Acha watu waibue maovu, tumechoka kupoteza ndugu na jamaa zetu huko ma hospitalini.

Au nawee n muhusika wa, matukio km hayo?
Mimi sio muhusika lakn yule dada kosa lake n lipi wakati yeye sio incharge
Anyway tusubiri tuone yup atakaye rud kazin🤔🤚
 
Kosa la Wakubwa hapo... Hao wadogo watanyonyolewa tu... [emoji23][emoji23]
Na kama si kurekodi tusingeyajua hayo... Hao wote hawana makosa.
Kabla hata uchunguzi haujakamilika waziri kashakanusha KWAMBA HAKUNA KIPIMO KILICHOISHA MUDA WAKE INCHI NZIMA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…