Hapa kwetu pia yapo..
NGOJA WAFE UTAYASIKIA...
Wakati yanafanyika wahanga humuogopa mhusika kwa sifa zake na "miujiza" yake.
Akifa woga hupotea polepole..
 
Halafu elewa serikali za Dunia ikiwemo viongozi wa dini wa serikali,wanamuziki wakubwa,matajiri wakubwa,watu maarufu wote boss wao ni mmoja ndani ya mfumo.
Usitegemee wanaweza chukuliana hatua hali wote mission yao ni moja.
We uoni yule aliyewatoa kafara wachaga ili wapate pesa imeeishia wapi.
Hawa watu nje ya ulimwengu huu ni ndugu chini ya mwamvuli mmoja.
We kula ugali tembele tulia maadamu amani tu.
 
BBC hawafanyia kazi ya kushitaki watu, wao wanatoa habari tu. Pia kanisa lake bado lipo na kama waathirika au polisi wakiamua kufungua kesi mahakamani na ikabithitika waliyosema ni kweli wanaweza kulipwa fidia.
Kuthibitisha ndio kazi
 
hiv inaqezekana vip mtu kubakwa mara 5 mbona story za kufukirika hizi
Ni wewe tu umeamua kuufunga ufahamu wako mkuu, mtu anaweza kubakwa hata miaka na miaka. Inategemea na nguvu ya mbakaji.

Au wewe ukisikia kubakwa unaelewa nini?
 
Mkuu hii umeiandika mwenyewe au una source? Nataka kuitumia sehemu kuelewesha.
 
Watu walibakwa seminary wamekuja kusema uzeeni.....
We vipi mkuu. Mambo hayo yamechanganyika na woga wa kiimani.
Watu sijui wanaangalia vipi mambo, vile ambavyo hawaamini kwamba aliyejiita nabii Joshua anaweza kubaka au kufanya mambo machafu hayo ndivyo pia waliobakwa walikuwa wanaogopa kutoka hadharani na kusema wakihofia kutoaminika na kutukanwa na waaminifu wake Joshua.

Hawa watu wakubwa wanaoaminika kwenye jamii wana matendo ya kishenzi ukiambia huwezi kuamini!
 
Sawasawa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…