Dah!...
 
MTU alifariki 2021. Leo BBC ndio wanaleta Taarifa. BBC Wana Tabia ya kukuCrash Dini za Watu. Ili akamatwe Nani? Marehemu hayupo kujitetea, lolote Juu Yake laweza kusemwa. RIP TBJoshua Mtumishi WA Yesu Kristo.
Ukweli ni utabaki kuwa kweli.

Hata iwe miaka bilioni ukweli wa kitu lazima uje upatikane.

Huyo TB Joshua ni Tapeli pamoja na huyo Yesu kristo wote matapeli.
 
Hata hilo kanisa lako lina kashfa nyingi tu, usijitoe ufahamu.
 
Wahanga ni waumini wa kizungu na watu weusi, wanaozungumzia mambo ya hovyo yaliyokuwa yakifanyika ni wanawake na wanaume. Angalia documentary kabla ya kuandika porojo.
 
Hapa kwetu wapo wengi.
Bahati mbaya wahanga ni wanawake.
Mimi mke wangu nilishampiga marufuku nisimuone amekanyaga kwa Mwamposa, Gwajima, Sijui Kakobe, yule marehemu Rwakatare, na hawa mbwa wengine waliojivika utume na unabii, nitamuua mwenyewe kwa mikono yangu, asiniletee mapepo nyumbani. Na hela zangu sio za kumpelekea washirikina hawa kina Mwamposa, ati sadaka, ntaua, bora nizinywee pombe
 
Charracter assasination

BBC walishadadia uwepo wa WMD huko Iraq. Pia imekuwa ni chombo cha kuchafua taswira ya Afrika duniani.

Uongo kwao ni vazi
Hivi kweli hatushangai kuwa walalamikaji wanatoka Uingeleza? Hawa walalamikaji wana ubalozi wao Lagos kwanini wasiende kumshitaki ubalozini kwao kuwa walikuwa wanabakwa wakati T.B.Joshua yuko hai?
 
Hivi kweli hatushangai kuwa walalamikaji wanatoka Uingeleza? Hawa walalamikaji wana ubalozi wao Lagos kwanini wasiende kumshitaki ubalozini kwao kuwa walikuwa wanabakwa wakati T.B.Joshua yuko hai?

Walalamikaji wanatoka Uingereza, Ujerumani, Nigeria, Ghana na nchi nyingine.
Baadhi ya hao Waingereza waliripoti hayo matukio katika ubalozi wao baada ya kutoroka katika makao ya TB Joshua walipokuwa wanafungiwa/wanafugwa.
 
Kama ishu ya gwaji boy hadi video watumishi waliona na bado wakakataa sio yeye , unadhani hapa maneno makavu wataamini kitu? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kweli dunia ina mazezeta mengi no wonder hawa manabii feki wanaendelea ku exist, btw sidhani kama umezitazama documentrary zote tatu ama yawezekana ulizitazama tayari ukiwa na majibu yako kichwani. Kondoo mtaendelea kuliwa supu hadi akili ziwakae sawa
 
Manabii feki wapo wengi kuweni makini.Muamini Mungu sio nabii.
 
Tulikuwa na ule msemo " wajinga ndio waliwao" hakuna mtume baada ya rasul Allah Mohamad ibin AbduAllah
 
Hivi kweli hatushangai kuwa walalamikaji wanatoka Uingeleza? Hawa walalamikaji wana ubalozi wao Lagos kwanini wasiende kumshitaki ubalozini kwao kuwa walikuwa wanabakwa wakati T.B.Joshua yuko hai?
Mkuu,

Tazama hizo documentaries sehemu zote tatu, usi dismiss mambo tu, maswali yakobmengi yamejibiwa.
 
Tulikuwa na ule msemo " wajinga ndio waliwao" hakuna mtume baada ya rasul Allah Mohamad ibin AbduAllah
Hata huyo naye kaungaunga stories tu.

Hizi habari za dini na Mungu zote ni kamba tu watu wanajazana ujinga.
 
Mkuu,

Tazama hizo documentaries sehemu zote tatu, usi dismiss mambo tu, maswali yakobmengi yamejibiwa.
Nimeziona hizo documentaries,
Lakini hakuna mahala ambapo ubalozi wa Uingereza ulialifiwa lakini ukashindwa kumchukulia hatua yungali hai!
Nipe ushahidi wa hilo, msilazishe mambo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…