ndugu yangu malalamiko dhidi ya TB Joshua yapo kwenye YouTube siku nyingi . watu wengi wanasema eti walikuwa wapi wakati akiwa hai, ukweli ni kwamba tuhuma zipo You Tube kabla hajafa. na wanawake wanaolalamika sio kwamba walijificha, walionyesha sura zao na kujitaja majina. watu waseme lingine lakini sio hilo la kwamba eti amekufa ndo wanaibuka ! alichofanya BBC ni kufuata kanuni za uandishi wa habari kwa kufanya uchunguzi kisha kutoa majina ya watu, tarehe, na mahali n.k. ila tuhuma zipo siku nyingi
 
😂😂😂
Nacheka
Huyu mtu alijitahidi na aka file docs za ushahidi tbj akiwa hai akachemka!

Ametafuta Tena namna nyingine ya kurudi!
This time atashindwa vby zaidi ya mwanzo
Sijui hata wanapaparika Nini,waache wahangaike ila sisi tunahitaji ushahidi wa vitendo sio maneno eti walikuwa wanachapwa, mwingine eti TB kamtoa mimba Tano🙄🙄🙄Sasa wewe Hadi unaingizwa mimba Tano umekaa tu una akili au matope
 
ok sawa,lakini kwanini wasubiri amekufa ndo waanze kumshambulia namna hii!!!??
 
Sijui hata wanapaparika Nini,waache wahangaike ila sisi tunahitaji ushahidi wa vitendo sio maneno eti walikuwa wanachapwa, mwingine eti TB kamtoa mimba Tano🙄🙄🙄Sasa wewe Hadi unaingizwa mimba Tano umekaa tu una akili au matope
Ndo ushangae eti mimba zote hizo nawe upo tu!
huyu dada aliposhindwa 1st time alienda mpk kuomba msamaha Kwa tbj akiwa hai 😂
Ndo maana tunawashangaa wanaoshadadia wasichokijua.
Acha tu
 
hiv inaqezekana vip mtu kubakwa mara 5 mbona story za kufukirika hizi
Ndugu unaonekana mgeni kwenye mambo ya makanisa..kaangalie documentary Ya WACO ya kanisa la marekani miaka ya nyuma..namna watu wanatumia dini kufanya ujinga na kugeuza watu mazuzu..
 
Hongera BBC kwa kuangazia utapeli.

Ila nitawapa heko zaidi mkija na report ya uchunguzi wa wizi na ufisadi wa CCM.
 
Ndo ushangae eti mimba zote hizo nawe upo tu!
huyu dada aliposhindwa 1st time alienda mpk kuomba msamaha Kwa tbj akiwa hai 😂
Ndo maana tunawashangaa wanaoshadadia wasichokijua.
Acha tu
Shetani ana anapambana kuchafua ukristo...ila Moto wa Kristo ni balaa
 
Simsaidii TB, ila kwa maelezo haya ya BBC ni kama kulipaka matope kanisa lake, swali la kujiuliza hapa ni kwanini walalamikaji waweza wakutoka Uingeleza na ni wazungu pekee???
 
Simsaidii TB, ila kwa maelezo haya ya BBC ni kama kulipaka matope kanisa lake, swali la kujiuliza hapa ni kwanini walalamikaji waweza wakutoka Uingeleza na ni wazungu pekee???
Acha upotoshaji wapo hadi waafrika hadi binti yake tb Joshua.
 
No research, no right to speak!

BBC wamefanya uchunguzi wao, mnaopinga, leteni scientific counter arguments!

Nilianza kumshtukia huyu jamaa, baada ya kusikia his net worth, ndo nikaamini ni mwizi! So called manabii wengi ni janja janja na uhuni mtupu, wakichuma mapesa ya waumini wao akiwemo TB Joshua!

Poleni sana waumini wake!
 
Kuna Siri iliyofichika kwenye hiki knachoitwa "repoti ya Uchunguzi" ya BBC. Hebu jiulize nini kinatafutwa pale SCOAN kama BBC wanashambulia upande huu na upande mwingine DSTV wanapanga kuiondoa channel ya Emmanuel tv kwenye king'amuzi chao hapo tarehe 17/01/2024?
 
Shetani ana anapambana kuchafua ukristo...ila Moto wa Kristo ni balaa
Hataweza
Kinachowtsa ni mbegu aliyoiacha imekuwa balaa kuliko alivyokuwepo!.
Na hawakutegemea km mama atapiga kazi kuliko mumewe!.
Hawaamimi wanachokiona!.
Tupo hapa,subiri majibu!
 
Hataweza
Kinachowtsa ni mbegu aliyoiacha imekuwa balaa kuliko alivyokuwepo!.
Na hawakutegemea km mama atapiga kazi kuliko mumewe!.
Hawaamimi wanachokiona!.
Tupo hapa,subiri majibu!
Hapa ndio tuna apply ule mfano wa mpazi...hii ni Ile mbegu iliyozaa Moja mia,sitini Moja themanini....wataipata
 
Ukiwa na akili timamu afu huongozwi na hisia, Wala haitakusumbua kujua kuwa hizi ni feki news.
 
Mkuu, siku zote mtumishi wa MUNGU ambaye yupo very spiritual na ameyakabidhi maisha yake katika kumpendeza na kumtumikia MUNGU kwa moyo wake wote. Huwa wanaandamwa sana kwa uongo mwingi.

Marehemu tb Joshua alivyokua hai alikuwa akiwaombea na kuwaponya mashoga, hivyo walichoweza nikuishia kuzifungia chaneli zake za YouTube na kushindwa kuendelea kupambana nae.

Sasa hivi hayupo hai tena ndio wameona wafufue uongo mpya wakiwatumia ma albino wa kizungu. Kitu tusichokijua watu weusi hasa waafrika Huwa hatupendwi na wazungu sababu sisi uzao wetu umetokana na utaratibu aliopanga MUNGU.

Hawa wazungu uzao wao umetokana na dhambi, ndio maana wanatuchukia sana ni marangapi viongozi wa Afrika wamekua wakichafuliwa na BBC hata kwa Yale mazuri waliyofanyia nchi zao, ijapokua hatukatai kuwa wanamapungufu yao Kama binadamu.

Je, ufalme wa uingereza na viongozi wa nchi za magharibi hasa USA wanautakatifu gani mpaka kuonekana wema, mbona hatuoni episodes zenye shuhuda za watu kuhusu mabaya ya Vatican na pope kupitia BBC.
 
nimeiangalia yote,na pia nimeangalia maoni kadhaa yaliyotolewa na watu kadhaa,ama hakika nimeshindwa kabisa kujua mkweli nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…