Uko vizuri sana. Unaweza kuandika makala kubwa ya kuelimisha jamii na huu utapeli wa kilokole.? Shida za jamii ndiyo na matapeli wa kidini wanapita humohumo kujitajirisha
 
Uko vizuri sana. Unaweza kuandika makala kubwa ya kuelimisha jamii na huu utapeli wa kilokole.? Shida za jamii ndiyo na matapeli wa kidini wanapita humohumo kujitajirisha

Mkuu,

Kama uko kwenye akili yangu. Hata mimi nilikuwa nafikiri kwamba kuna haja ya kuandika makala comprehensive ya kuchambua jambo hili.

Lakini, mara nyingine naona kama wanaoelewa wanaelewa , na wasiotaka kueleea hawataelewa hata uwaambie nini. Kama kila mtu kachagua upande wake na wengi wanatetea upande wao badala ya kujifunza.

Kuna watu bado wanajifunza kweli?
 
Sensible thinking
hahaha!wataje mkuu hao kina Joshua wa Tanzania
Sensible thinking
 
hahaha!wataje mkuu hao kina Joshua wa Tanzania
Nikiwataja nitakuwa nimefanya mada yangu iwe maalum kwao, wakati mada ni pana inahusu aina ya watu.

Lakini kama unaona mambo sawa yametokea kwa TB Joshua na watu fulani Tanzania, basi ndio hao hao.
 
Walikuwa wapi kutoa alipokuwa hai? Kama uchunguzi wao ulikuwa haujakamilika wangetoa vipi?
 
Wengi wa hawa jamaa ni washenzi tu wanaotumia mwamvuli wa dini kuficha maovu yao!

 
Ila walichokosea ni kimoja kwanini wasingetoa pindi alipokua hai??

Kwasasa hata kama ni ukweli itqonekana ni uzushi wa kutaka kuchafua legacy yake

Allow mtu wa MUNGU apumzike
BBC wanafanya uchunguzi then ndio wanakuja public wasingeweza kutoa kipindi unachosema wewe kama uchunguzi ulikuwa haujakamilika
 
Yaani processor ya kichwa chako imetulia vizuri sana
 
Uzi ufungwe

Manabii wote matapeli na miyeyusho

Ova
 
Ukitoa makala ndiyo itafumbua na kuwaelimisha wengi. Pia ndani ya makala Kuna ujumbe Kila mtu utamfikia kutokana na mlengo wake.
 
Hivi waamuni kama hawa vichwani watakuwa wazima kweli
Naona mleta mada naye akiambiwa aende akawe mmoja wa waamuni wa kanisa hili ataenda

Ova
Your browser is not able to display this video.
 
Mleta uzi nenda na we kabongoke
Kama hawa waamuni maana ndiyo manabii wenu makanisa yenu

Ova
Your browser is not able to display this video.
 
Bwana eeh mm naogopa sana kujaji Mtu ila nahisi kafanya Maana pia Ukiangalia BBC hawana faida yyte wanayopata kumuanika mtu aliyekufa
 
"TUTULEE HAPA HUU UPUUZI WAKO,,,UMEWEKA PICHA YA EINSTEIN HAPO ILA UNA AKILI KAMA KOMBAMAVI"
 
Herd mentality ndiyo kasumba ndani ya jamii ya wanadamu. Mtu atakwenda kanisani Kwa sababu Fulani anakwenda. Kumbe Kuna haja ya kuanzisha nyumba za ibada za asili ya afrika. Je tukiweza kuanzisha nyumba za ibada za asili . Je vikwanzo vitatoka Kwa ukristu au uislamu. Napenda kupata andiko kubwa la kurudisha Mila na desturi zetu Toka mababu zetu sababu najiona kama ni mapungufu makubwa Kwa kufuata dini zilizoletwa Kwa njia utumwa na mpaka Leo Bado utumwa upo. Sababu Kuna makanisa na misikiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…