Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Duh! Minotes yote hiyo!
Nani asome. Na ukute humo ndani hakuna ht jipya zaidi ya kurudia wimbo wenu huo huo. Haya sasa
Wenye bandari yao washaiuza and you've nothing to do
 
Hapa tunafahamu, watu mioyo inawanyonga, matumbo yanawakata.


Mama Samia anaupiga mwingi Kitaifa na Kimataifa.
 
Wewe, tumesema hatutaki ngonjera, sema wewe unaupinga nini, kama huupingi sema siupingi.
Napinga kitendo cha DPW kuwa na mamlaka ya kututafutia mfadhili badala ya TPA ambayo ina mamlaka ya kusimamia bandari kwa mujibu wa sheria
 
Duh! Minotes yote hiyo!
Nani asome. Na ukute humo ndani hakuna ht jipya zaidi ya kurudia wimbo wenu huo huo. Haya sasa
Wenye bandari yao washaiuza and you've nothing to do
Haswaa.
 
Mama Samia unajuwa huu ukanda wa pwani wote kwa maili kumi (kilomita 16) ni mali ya Zanzibar, uza tu usibakishe.


Hii mijitu yakuja na mwenge wapi na wapi kuendesha bandari

Wala mama usiwe na shaka, tukitoka hapo DP World waktutemgezee pesa Mwanza , Chato, Kagera, Kigoma kule Mbamba Bay, kote huko mibandari ya uhakika.

Hawa wanaopiga kelele watakuja kutuomba kazi.


Maana kuiba bandarini ndiyo kunakatika huko,


Hiyoooooo imetoka, hairudi.


Mama anasema, gari lake halijawekewa breki, mbele kwa mbele tu.
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Mnaweza mkazani Yuko kimya anapiga kazi kumbe Maji yako Shingoni yamemkaba hawezi Hata kufurukuta
 
Mwendazake mwenyewe alipotumiwa kopi kabla hazijasainiwa MoU akapiga simu akauliza Dada Samia, umewezaje waliposhindwa wenhgine
Unapoendelea kuupamba huu mkataba Acha kumtaja "MWENDAZAKE,". Hahusiki hata kidogo kwenye hili.
 
Unapoendelea kuupamba huu mkataba Acha kumtaja "MWENDAZAKE,". Hahusiki hata kidogo kwenye hili.
Kumbe ni hivyo, nilifikiri ni yeye ndiye alimtuma Mama Samia mwaka 2020 akasaini MoU. Dubai.

Kumbe alikuwa hahusiki kabisa? ahsante kwa kuliweka sawa hilo.
 
Hiki kibibi akaunti yake ifungwe hapa JF. Kimeshajichokea akili mpaka mwili.
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
 
Huyu nae ana stress za kutopanda kitonga
 
Sawa, ila sasa...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

Zina ukuu upi hizo unazoziitan"hoja" ? Sema ni muono wako, siyo hoja hizo.


Ngoja tukupe darsa:

Ukiwa unaongelea "hoja" za kisheria kwa kupinga (cons) inabidi uje na kifungu unachokiongelea na sheria inachokipinga hicho kifungu.

Nje ya hapo unakuwa hupingi wala huungi mkono, unakuwa ni shahidi wa kudanganya wajinga wenzako kwa kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Ukisimamishwa mbele ya baraza la usuluhishi unaweza kulipa gharama kwa kupotezea watu muda.

Kajipange upya.

Punguani wahed.
 
Sawa, ila sasa...

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

Tofauti ya makubaliano na mkataba inabidi kwanza kabisa ujieleze hayo "makubaliano" au "mkataba" yapo kwa lugha ipi?

Kama ni Kingereza:

Makubaliano = Agreement.

Mkataba = Contract.

Kuhusu "ukomo" wa huo usiouelewa wewe kama ni makubaliano au mkataba, kasome kifungu cha 5:4.

Ni miezi 12 tu, lazima kimojawapo Kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…