Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Kusaini nyaraka hovyo bila hata kujiridhisha kupitia wataalam wabobez wa mikataba,ndo kuchapa kazi?🤣🤣🤣
Wewe una kipi cha kushindana na Mama Samia?

Unaonesha hata shule ulienda kusomea ujinga.
 
Siku nyingine angalau njoo na vifungu vya mkataba unavyoungamkono twende sawa badala ya kuleta mashairi.
Wataalam wanaendelea kuchomoa betri, wiki hii tuko na Prof.Ibrahim Juma.
Huna unachokipinga unaleta ngonjera 16-0.
 
Wewe una kipi cha kushindana na Mama Samia?

Unaonesha hata shule ulienda kusomea ujinga.
Kumbe uwezo wa raisi ni mkubwa na upo 💯 % sahihi!!!

Kumbe wananchi tunapaswa kusema ndio kwa kila maamuzi ya wanao tuongoza kwakuwa wamekuwa watawala!!!?.…

Kumbe hakuna wa kupingana nae .... Oook...ndo naelewa sasa.
 
Kumbe uwezo wa raisi ni mkubwa na upo 💯 % sahihi!!!

Kumbe wananchi tunapaswa kusema ndio kwa kila maamuzi ya wanao tuongoza kwakuwa wamekuwa watawala!!!?.…

Kumbe hakuna wa kupingana nae .... Oook...ndo naelewa sasa.
Unataka kupinga mradi upinge tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Tatizo ana Elimu ya sekretary ni ngumu kuelewa mambo mazito kama ya bandari
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Mama kaona aibu kubwa mpaka kakimbia machoni pa watanzania.
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).mBONA HUELEWEKI
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Mbona hueleweki. Unaandika kama unakimbilia basi la mwendo kasi
 
Usemao wasomi na hao mashuhuri wanachoelezea ni hisia zao tu....

Uhalisia ni kuwa mkataba huu uko vyema na unakwenda kuliinua taifa kiuchumi.....
Kama mkataba uko vema mbona watu wengi wanailalamikia?watu kama nyie ndio mnaoiangamiza nchi ni wa kuangamizwa tu.
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Mdanganye apige kazi kimya kimya. Hii nchi ni ya Watanzania. Tumempa dhamana tu. Hatukubali uhuni kwenye mambo ya msingi. Wewe unga mkono lakini waache na wenye weledi wahoji.
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Hii kitu Samia kama ana akili aagize Bunge wa lifute Azimio lake ambalo limekiuka katiba yetu na linatweza Uhuru wetu.Wajadiliane upya DPW aingie ubia na TPA kama mwekezaji wa kawaida lakini hiyo "exclusivity" anayompa DPW kana kwamba hii nchi ni yake wakati yeye ni msimamizi tu.
Atarajie;
1.Kumpata ya mtangulizi wake.
2.Kuondolewa kwa aibu mwaka 2025!
Hii nchi ni ngumu,anaweza akadhani anaijua kumbe haijui.
Tunza hii comment!
 
Hii kitu Samia kama ana akili aagize Bunge wa lifute Azimio lake ambalo limekiuka katiba yetu na linatweza Uhuru wetu.Wajadiliane upya DPW aingie ubia na TPA kama mwekezaji wa kawaida lakini hiyo "exclusivity" anayompa DPW kana kwamba hii nchi ni yake wakati yeye ni msimamizi tu.
Atarajie;
1.Kumpata ya mtangulizi wake.
2.Kuondolewa kwa aibu mwaka 2025!
Hii nchi ni ngumu,anaweza akadhani anaijua kumbe haijui.
Tunza hii comment!
Hakuna azimio lolote la kufuta. Hamfahamu mnachokiongea.


Tazameni mikataba ya utendaji, mliouona siyo mkataba wa kazi ni mkataba wa ushirikiano, ushirikiano wa nchi hauna kikomo. Piga uwa, kuna nchi zingine ushirikiano unaenda mbali zqidi, mpaka raia zake kupigana kwa ajili ya mwengine.

Huu hauna hiyo. Huu ni ushiurikiano wa kimaendeleo.Msifanye watu wajinga.


Kuna watu sisi tunafahamu na tunawafahamu kabisa kwanini roho zinawauma na ndiyo wanaowajaza nyinyi ujinga.


Msalimie Bashiru, msalimie Ndugai, na wengine wa kuwasalimia utajaza wewe.
 
Mdanganye apige kazi kimya kimya. Hii nchi ni ya Watanzania. Tumempa dhamana tu. Hatukubali uhuni kwenye mambo ya msingi. Wewe unga mkono lakini waache na wenye weledi wahoji.
Haswaaa, tena mama ni Mtanzania zaidi yako, wewe tukitaza nyuma kidogo utakuwa umetokea nchi za jirani huko. Mama ni Mswahili 100%, kaisome historia yako, kama hujajikuta wewe ni wakuja tu ardhi hii.
 
Wewe, tumesema hatutaki ngonjera, sema wewe unaupinga nini, kama huupingi sema siupingi.
Mrembo wangu sana Fai. Yaani kuupinga akupe sababu ila kuunga mkono asikupe sababu? Ndo maana wanaouunga mkono huo wizi wenu ni akina Zenbwela tuu
 
Mrembo wangu sana Fai. Yaani kuupinga akupe sababu ila kuunga mkono asikupe sababu? Ndo maana wanaouunga mkono huo wizi wenu ni akina Zenbwela tuu
Anayeunga mkono anaelewa ni nini maana ya maendeleo.


Ni mipoyoyo tu isiyoelewa maana ya maendeleo.
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Sikiliza yanayopingwa na wenye Elimu Dunia ya sheria!View attachment 2673913
 
Back
Top Bottom