The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kazi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2956]Huna hoja. 21-0
Hatutaki ngonjera hapa. Siyo uzi wa ngonjera huu. Unapinga au unaunga mkono, na ukipinga utupe na sababu.
Unajitia chizi?!!!Mkataba usihusishe bandari za Bara pekee, bandari za huko kwenu Zanzibar ziunganishwe pia. Salamaleko mpenzi?
[emoji123][emoji123][emoji7]Kazi iendelee.
We phunga nani alikuambia shule wanafundisha ujambazi wa CCM?Unajitia chizi?!!!
Mh.Rais Kagame alionesha nia ya kutaka apewe bandari ya Dar....hujiulizi ni KWANINI hakutaka za Zanzibar?!!![emoji15][emoji1787]
Hivi shule mnakwenda kusomea upumbavu?!![emoji15][emoji1787]
Mtu anayejitambua hawezi kusapoti mkataba wenye ukakasi watu wengi wasomi na mashuhuri wameshathibitisha kuwa mkataba una matatizo.Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.
Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Unataka kupungwa?!!!We phunga nani alikuambia shule wanafundisha ujambazi wa CCM?
Usemao wasomi na hao mashuhuri wanachoelezea ni hisia zao tu....Mtu anayejitambua hawezi kusapoti mkataba wenye ukakasi watu wengi wasomi na mashuhuri wameshathibitisha kuwa mkataba una matatizo.
Huna hoja, kama una ukakasi utie chumvi.Mtu anayejitambua hawezi kusapoti mkataba wenye ukakasi watu wengi wasomi na mashuhuri wameshathibitisha kuwa mkataba una matatizo.
Yaani we ndio umebugi kweli, katika wanaopinga gsm ni mmoja wapo, huyu anafaidika sana pale bandarini sasa unadhani atafurahi mirija inazibwa?Samia,Gsm,Rostam= DP world
Ni vigumu sana kuelewa kinachopingwa,kwa sababu hata unachounga mkono hukijui.Wewe wacha ngonjera, siihitaji huruma yako.
Jibu unachokipinga nini? Usilete habari ya wengine hapa. Eti huruma , hunijuwi sikujuwi, hizo huruma kamuonee mumeo.
Wewe ndio unayejua...wacha unafikiHuna unachokipinga, unakuja na ngonjera 18-0
SGR, Steigler, Ndege, kupanua bandari na viwanda ni miradi mizuri sana kiuchumi, Magufuli anastahili pongezi
Magufuli anawafungua macho na masikio wengi. Wale wenye nia ovu na Afrika na Asia hawapendi hilo
Huna unachokipinga, unakuja na ngonjera 18-0
[emoji7][emoji7]Kwa kuwa nimeshaelewa kumbe watu wanapinga wala hawajuwi wanachopinga.
Sasa kama hiyo iliyaumiza mioyo yenu, sasa jitayarisheni kuzikwa kabisa.
Huo ni mmoja tu. kuna mikataba 36 ya maendeleo na ushirikiano na Dubai na UAE kwa ujumla.
Nani katika huu uzi huu anafahamu kuwa MoU 36 zilisainiwa Dubai wakati wa Expo 2020 mwaka mmoja kabla mwendazake hajaenda zake, mama Samia akasifiwa sana wakati huo kwa ushindi huo. Mpaka Mataifa ya nje yoe yakawa yanajiuliza huyu mama kaweza vipi?
Mwendazake mwenyewe alipotumiwa kopi kabla hazijasainiwa MoU akapiga simu akauliza Dada Samia, umewezaje waliposhindwa wenhgine? Hawa wajomba zako wanakuheshimu sana, hapo hapo akaongea na watu wengine huku anajisifu, sasa mlitaka nimpeleke mmakonde kwa Waarabu? akimaanisha Majaliwa? "nimempeleka Mwarabu mwenzao wanaongea lugha moja. Dah lakini wamemheshimu sana, MoU 36 siku moja? Msichelewe zipitieni haaraka wasaini, hawa Waarabu hawapendi mambo ya kuchelewachelewa.
Huyo ndiye Mama Samia na huko ndipo palipoanzia mkataba huu t-unaozungumzwa sa, huu ni Bashraf tu, mziki kamili haujaanza, ndiyo maana mama kimya, anawaona wajinga tu wanaopigapiga kelele hovyo.
Umemwambia vyema. Ndivyo Faiza alivyo. Mdini hatari.Wewe hata tukikuuliza unaunga nini mkono huna cha kujibu. Maana haswa kinachokufanya uweweseke ni madhanio ya kuukuza Uislamu kupitia Waarabu.
Anataka kukaliaUmeshiba pilau umepata genye sasa
Siyo nakubali tu, naunga mkono 100% ushirikiano wa maendeleo na Dubai uwepo na udumishwe.Na wewe unayekubali, unakubali nini?