Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Bado kulibinafsisha Bunge asirudi nyuma maana mmefeli kila kitu.
 
Bado kulibinafsisha Bunge asirudi nyuma maana mmefeli kila kitu.
Hakuna kitu kama hicho . Acha kejeli mkuu. Bunge letu tukufu limejaa uweledi wa kutosha. Nakusudia kuandaa petition ili wabunge hawa waendelee hata bada ya 2025. Unaonaje weye?
 
Huo mkataba ni wa miaka mingapi kwani? Na kwanini waseme haturuhusiwi kujiondoa kwenye mkataba huo hata Yesu akirudi?
 
Hakuna options zaidi ya kwenda mbele ...sio kurudi Kwa Ticts tena
TICTS anapambana bado ni sawa na kuku aliyekatwa shingo mwili wake unarukaruka huku damu akiisambaza mahali pote. Nadhani unamsikia Mama Tibaijuka anavyojaribu kuleta tafsiri potofu ya ujio wao hapa Tanzania.
Mnapotosha hoja kudhani wanaopinga huo mkataba ni Ticts. Hamjibu swali langu la kwa nini DPW haiwekezi kwa aina ya mkataba wa Ticts ukaboreshwa kuondoa makandokando
 
Mnapotosha hoja kudhani wanaopinga huo mkataba ni Ticts. Hamjibu swali langu la kwa nini DPW haiwekezi kwa aina ya mkataba wa Ticts ukaboreshwa kuondoa makandokando
Hujaeleweka uliza tena na weka hoja yako wazi ili upewe majibu yaliyoenda shule.
 
Mnapotosha hoja kudhani wanaopinga huo mkataba ni Ticts. Hamjibu swali langu la kwa nini DPW haiwekezi kwa aina ya mkataba wa Ticts ukaboreshwa kuondoa makandokando
Wewe ni Mtaalam wa mikataba?
Lazima uonavyo wewe ndo best and only best way forward??
 
Neno kuaza achana nalo mkuu. Hapa ni uwekezaji. Acha kupotosha mkuu. We are talking about investment. Basi.
Tofautisha uwekezaji na uwekezaji. Kama wanataka kuwekeza, wapelekwe huko Bagamoyo, wakafanye ujenzi wa bandari mpya, siyo kuja kudandia bandari ambayo tayari nchi imewekeza matrioni ya pesa.

Hawa ni sawa uwe na lorry lako, mtu akuambie kuwa anataka umpe aliendeshe, wakati wa uendeshaji atagharamia matengenezo yote, halafu wewe mwenye lorry eti usipate chochote kutoka kwenye faida itakayopatikana.
 
Wewe ni Mtaalam wa mikataba?
Lazima uonavyo wewe ndo best and only best way forward??
Hujajibu swali langu. Sheria zilizopo za uwekezaji kama hazikidhi mahitaji ya uwekezaji wa DPW suala lipelekwe bumgeni
 
Mifano na maelezo yako haviendani kabisa.
 
Jambo la ukomo kutokuwa bayana lilishabainika litafanyiwa kazi. Kuwa na subra na acha uchochezi.
 
Mnapotosha hoja kudhani wanaopinga huo mkataba ni Ticts. Hamjibu swali langu la kwa nini DPW haiwekezi kwa aina ya mkataba wa Ticts ukaboreshwa kuondoa makandokando
TICTS wameshindwa kwenda sambamba na kile walichoahidi kukifanya tangu 2017. Ni muda wa kuingia mkataba na mwekezaji mwingine mwenye teknolojia mpya na za kisasa.
 
TICTS wameshindwa kwenda sambamba na kile walichoahidi kukifanya tangu 2017. Ni muda wa kuingia mkataba na mwekezaji mwingine mwenye teknolojia mpya na za kisasa.
Vyema wameshindwa, je, sababu za kushindwa zimelezwa? Kama wameshindwa wapewe wenye uwezo kwa mkataba wa "win-win situation"
 
Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.

Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Sawa.....usimjaze upepo mheshimiwa Raisi.....mwacheni afanye kile anachoona kinafaa,ukipinga wewe ulikuwa na maslahi,ukitetea wewe ni chawa....taifa la hovyo Sana hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…