Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mkuu pole sana unapambana sana hadi nakuonea huruma! Hakuna anayemtoa kwenye barabara ni mkataba amesaini mwenyewe na kazi yetu ni kuuchambua na kuelezaMimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.
Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Sama leko😂😂😂😂😂😂