FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Umekosa cha kupinga 4-0Sawa.....usimjaze upepo mheshimiwa Raisi.....mwacheni afanye kile anachoona kinafaa,ukipinga wewe ulikuwa na maslahi,ukitetea wewe ni chawa....taifa la hovyo Sana hili.