Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Kana unajihusisha na vitendo vya ushoga kuna uwezekano mkubwa kuwa misuli yako ya bomba la taka imeshalegea....kama sio hivyo basi wahi mara moja ukawaone wataalamu....
 
nitafute kupitia 0657317631 nitakusaidia kwa supplements
 
Hiyo kitu ukitumia dawa ya hospitali vinajirudia kila wakati ujue hilo,njia ingine ya kutibu hivyo ni kwenda hospitali vikatwe. Au utumie dawa za kienyeji uende uwaeleze wanajua dawa na dozi ya kienyeji ziko mbili unakunywa kwenye chai ya rangi na nyingine unapakaa havitarudi tenaa kama uko Arusha nenda kilombero kwenye yale maduka za madawa ya asili.
 
Wadau wa jf mwenzenu jana nimeenda chooni kujisaidia haja kubwa cha ajabu nilipomaliza niliisi maumivu kidogo nilipofika ndani sehem za mkundu kwa nje kulikua kumevimba sana na kunauma... Hadi leo hii nahisi maumivu je hili ni tatizo gani na anaejua dawa itakayosaidia uvimbe upungue na maumivu yaishe naomba msaada wenu jamani sina raha
 

How old are you? Tumia tafsida... Ila kinachokumbua ni bacteria flani ambao umewapata kutokana na contamination... Nenda kwa daktari kwa maelezo zaidi..

Pamoja na hayo;
CC: #ISSA RAMADHAN kwa ushauri zaidi..
 
 
ah watajuana tu huko wenyewe... wapiemiane tu...

Hahaahaa watakuja kufungua uzi mpya hapa. Angalizo anti Issa anapenda wanaume wenye sura nzuri na wasio na mindevu sasa itambidi ajiangalie kwenye kioo kwanza
 
Hili ni tatizo sugu kwa wanaume wengi ila wanaona aibu kujitokeza kupata matibabu kwakuwa jamii aina uelewa wa kutosha juu ya swala hili kwa kuwa wengi hudhania ni ushoga,pili gharama za matibabu kuna rafiki yangu tulimpeleka muhimbili ili afanyiwe operations na gharama aliambiwa laki 4,ok tukaenda kwa dk Ndodi akambiwa atoe million 2 tukashindwa jamaa mpaka naachana naye mwaka jana hajapata tiba na ameona aendelee kuishi hivyo hivyo pia nilimuuliza tatizo limemuanza lini akanijibu toka 2002 Habari ndiyo hiyo ushauri wizara ingelitangaza matibabu ya bure ya tatizo hili na itashangaa idadi itakayo jitokeza.
 
Unaishi Dar? Kama upo Dar nicheck kuna daktari specialist atakusaidia unaweza kupona kwa dawa tu.
Watu kama Ndodi hawatomwona Mungu kamwe wacha aendelee kujificha kwenye Biblia.

Kama rafiki yako yupo Dar nicheck nitawaconnect kwa Daktari bingwa wa hizo mambo.

Consultation fee nadhani ni 20,000/= au 30,000/= sina kumbukumbu.
 
BAWASIRI AINA YA UGONYWA UNAOWEZA KUKUFANYA KUA NA AIBU YA KUTOA TAARIFA KUA UNUMWA KUA MAKINI JALI AFYA YAKO.

(Hemorrhoids)




Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri:
i. Nje
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
ii. Ndani
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.

Je bawasiri husababishwa na nini?

Bawasiri husababishwa na;

• Tatizo sugu la kuharisha
• Kupata kinyesi kigumu Ukosefu wa kupata choo kilaini.
• Ujauzito
• Uzito kupita kiasi (obesity)
• Ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
• Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
• Umri mkubwa


Dalili za bawasiri;

• Damu kuchanganyika na kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
• Maumivu au usumbufu
• Kinyesi kuvuja
• Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
• Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
• Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa
Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri:
• Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
• Strangulated hemorrhoids


Vipimo na uchunguzi:
i. Digital rectal examination
ii. Proctoscope
iii. Sigmoidoscope
Matibabu :
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri
i. Rubber band ligation- Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
ii. Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
iii. Coagulation (infrared, laser and bipolar)
iv. Upasuaji;
-Hemorrhoidectomy
-Stapled hemorrhoidopexy

Jinsi ya kuzuia Bawasiri:
• High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
• Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
• Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.

Ukitaka Dawa Bawasiri ya Tiba Mbadala mimi ninayo Unaweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.
Mawasiliano
 
Ushauri wa dawa asili kwa hemmoroid changa ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…