wadau habari leo ningependa kushare nanyi imekuwa desturi yetu kutotoa mrejesho mara baada ya kutumia dawa tulizoelekezwa na kupona
mdogo wangu alikuwa anasumbuliwa na bawasiri ambapo alipoenda hospitali walimpa dawa inayoitwa ANUSOL SUPPOSITORIES awe anaingiza kwenye njia ya haya kubwa kwani itamsaidia kupunguza maumivu na aliambiwa anywe maji mengi na matunda kwa wingi alitumia hizo dawa kwa mda mrefu bila mafanikio kumbuka kipind hicho alikuwa chuo aliporudi nyumbani nilimpa dawa ya kupaka ambayo nilishawahi kutoa mada humu jukwaani na kuelekeza dawa za kutumia alitumia for 3 week conservative baada ya hapo ugonjwa ukaisha kabisa tena bila hata kufanyiwa operation nikaona nije jukwaani kutoa feedback kama kuna mtu humu jukwaani nishawahi kumuuzia hizi dawa za bawasiri na akapona naomba aje aungane na mimi kutoa ushuuda au hata kama syo hizi labda kuna mtu mwingine alielekeza na akatumia akapona aje atoe testimony kwani inavyoonekana huu ugonjwa unawapata watu wengi bila kuchagua na watu hawajui pa kumbilia wengine waishia kufanyiwa operesheni kitu ambacho kinawakosti kwenye utunzaji wa kidonda kilichopo matakoni hadi kipone na inawachukua mda kutokana na maji maji na majasho yaliopo maeneo yale
KAMA UNAJUA ULIKUWA NA UGONJWA HUU NA UMEPONA TAFADHALI TUAMBIE ULITUMIA DAWA GANI HILI TUWASAIDIE NA WATU WENGINE WANAOSUMBUKA NA GONJWA HILI NAOMBA KUWASILISHA
mdogo wangu alikuwa anasumbuliwa na bawasiri ambapo alipoenda hospitali walimpa dawa inayoitwa ANUSOL SUPPOSITORIES awe anaingiza kwenye njia ya haya kubwa kwani itamsaidia kupunguza maumivu na aliambiwa anywe maji mengi na matunda kwa wingi alitumia hizo dawa kwa mda mrefu bila mafanikio kumbuka kipind hicho alikuwa chuo aliporudi nyumbani nilimpa dawa ya kupaka ambayo nilishawahi kutoa mada humu jukwaani na kuelekeza dawa za kutumia alitumia for 3 week conservative baada ya hapo ugonjwa ukaisha kabisa tena bila hata kufanyiwa operation nikaona nije jukwaani kutoa feedback kama kuna mtu humu jukwaani nishawahi kumuuzia hizi dawa za bawasiri na akapona naomba aje aungane na mimi kutoa ushuuda au hata kama syo hizi labda kuna mtu mwingine alielekeza na akatumia akapona aje atoe testimony kwani inavyoonekana huu ugonjwa unawapata watu wengi bila kuchagua na watu hawajui pa kumbilia wengine waishia kufanyiwa operesheni kitu ambacho kinawakosti kwenye utunzaji wa kidonda kilichopo matakoni hadi kipone na inawachukua mda kutokana na maji maji na majasho yaliopo maeneo yale
KAMA UNAJUA ULIKUWA NA UGONJWA HUU NA UMEPONA TAFADHALI TUAMBIE ULITUMIA DAWA GANI HILI TUWASAIDIE NA WATU WENGINE WANAOSUMBUKA NA GONJWA HILI NAOMBA KUWASILISHA