Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ndugu wana JF, natumaini hamjambo wote! Mzazi wangu amekuwa na tatizo la kuota nyama nyama kwenye njia ya haja kubwa na ameshafanyiwa upasuaji hospital lakini hali hiyo imejirudia tena baada ya muda mfupi.

Naomba msaada wenu kwa mtu anaejua njia nyingne ya kutibu ugonjwa huu badala ya upasuaji kwani umri wake umekuwa mkubwa hivyo upasuaji unamweka katika hatari zaidi. Najua humu kuna madaktari wazuri naomba msaada wenu tafadhari.
 
Hiyo ni Bawasili....... ila nina swali

Hivyo Vinyama Alishawahi kufanyiwa Uchunguzi kwenye kitengo cha Kansa (histopathology)?? Au walivikata tu..... akaambiwa atapona
 
chukua ubani chemsha na mizizi ya mkomamanga,kwisha khabari yake na hii dozi anza leo kaka,baada ya wiki utaleta mrejesho hapa
 
Hiyo ni Bawasili....... ila nina swali

Hivyo Vinyama Alishawahi kufanyiwa Uchunguzi kwenye kitengo cha Kansa (histopathology)?? Au walivikata tu..... akaambiwa atapona

Hapana hakuwa kufanyiwa uchunguzi kwenye kitengo cha kansa, ila ilishawahi kumtokea kama miaka 20 iliyopita na sikumbuki alitumia dawa gani ikapona, ila imerudi tena kwa kasi
 
Nashukuru sana kwa michango yenu wadau, bado naomba kama kuna mtu anajua tiba mbadala aweze kunisaidia ili nimtibu mzazi wangu!
 


 
Last edited by a moderator:
jamani me pia nilipata tatizo hilo hilo, baada ya kumwelezea doctor kuwa kuna kinyama kinauma hatari yani wakati wa kukata gogo na kipo kwa nje kidogo basi pale wakati naendelea kumwelezea na yeye akaniambia hilo tatizo mara nyingi hata wabeba vyuma huwa linawakuta na ndio nikamwambia hapo hapo doctor kama ulimeniona vile, nakumbuka kuna dawa alinipa ya kumeza na kupaka akaniambia hiidozi ni kiboko tatizo lako lazma liishe hapo na dozi ya kupaka ilikuwa ni ucku tu ukiwa unataka kulala, basi ndani ya siku 5 mchezo ukaisha na ndio ntolee mpaka leo, hospitali niliyoenda ni sinza palestina na nilitibiwa na bima tuu. Ila tatizo nimesha sahau na dawa yenyewe ilikuwa inaitwa nn.
 
Habar wakuu!!! Mm Nna tatizo la kutokewa na kinyama sehem ya haja kubwaaaa na wakat mwingne damu hutoka wakat najisaidia. Nimejarib kutumia dawa mbalimbal but still tatizo lipo, hii ni mara ya 7 karibia bdo hal hii inaendelea na kwa mwez wa tano nimeenda hospital zaid ya mara 3 na nnapewa dawa natumia Hal inakuwa shwar then baadaye kidogo hali inarud pale pale. Kuna doctor alinishaur niend hospital kubwa na ikiwezekana nifanyiwe opershen ya kukata hicho kinyama. Tatizo limekuja kuna jamaa yangu aliniambia ukikatwa kinyama hicho kilichopo sehem ya haja kubwa huwa kinaota tena na kuwa kikubwa na kumfanya mwanaume asiwe na uwezo wa kufanya mapenz ( kuwa -------). Naomba kusaidiwa yafuatayo
1. Nn chanzo cha ugonjwa huu?
2. Nn tiba yake haswaaaa?
 
Habar wakuu!!! Mm Nna tatizo la kutokewa na kinyama sehem ya haja kubwaaaa na wakat mwingne damu hutoka wakat najisaidia. Nimejarib kutumia dawa mbalimbal but still tatizo lipo, hii ni mara ya 7 karibia bdo hal hii inaendelea na kwa mwez wa tano nimeenda hospital zaid ya mara 3 na nnapewa dawa natumia Hal inakuwa shwar then baadaye kidogo hali inarud pale pale. Kuna doctor alinishaur niend hospital kubwa na ikiwezekana nifanyiwe opershen ya kukata hicho kinyama. Tatizo limekuja kuna jamaa yangu aliniambia ukikatwa kinyama hicho kilichopo sehem ya haja kubwa huwa kinaota tena na kuwa kikubwa na kumfanya mwanaume asiwe na uwezo wa kufanya mapenz ( kupungiwa na nguvu za kiume). Naomba kusaidiwa yafuatayo
1. Nn chanzo cha ugonjwa huu?
2. Nn tiba yake haswaaaa?
3. Ni kwel kinapozid Kukua nguvu za kiume zinapungua?
 
Jaribu kubadili mfumo wa ulaji wako wa chakula. Inaonekana unapataga choo kigumu sana, ndo kinasababisha mchubuko na hatimae kupata choo chenye damu. Na huo mchubuko unazua sugu ndo vinakua vinyama vinaitwa haemorroids.
Kula matunda na mbogamboga katika kila mlo wako na maji ndo yawe ulevi wako. Epuka vyakula vikavu sana, hasa fried foods.

For the time being tumia anusol sappositories kupunguza huo msuguano au haemorroid cream nadhani kwenye pharmacy zipo. Ikiwezekana uminyie huko kwa twako 2hrs kabla hujaenda choo itakusaidia kupata smooth poop.

Kila la heri
 

Asanteee mkuu nilitumia anusol bt Bdo tatizo likabak pale pale na kuhusu kula mboga za majan nakula kila ck lakin sion dalili yyte ya kupona
 
Asanteee mkuu nilitumia anusol bt Bdo tatizo likabak pale pale na kuhusu kula mboga za majan nakula kila ck lakin sion dalili yyte ya kupona

Hizi ni sababu pia ya kupata hilo tatizo
Straining during bowel movements Sitting for long periods of time on the toilet Chronic diarrhea or constipation Obesity Pregnancy Anal intercourse Low-fiber diet.
taratibu itaisha tu. Mi huwa napataga endapo nikila vitu vigumu nikiacha hainitokei. So take it easy
 
Hizo ni haemoorhoids, mkuu shansarie kaelezea vizuri, tendea kazi ushauri wake.
 
Last edited by a moderator:
dx haemorrhoid, congestion of the rectal vein most of the tym is due to portal hypertension . you have to seek for medical attension. you can try to use unusal sappository if no recoverly you will be subjected to opperation. pole saana but inatibika wa inaweza sababisha other complication
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…