Jaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
khaa umejuaje kama anaendelaea vizuri jaman...eemola tuepushe na ma basha khaaaa.Nilikuwa na jirani yangu mpangaji lipata hilo tatizo na akaenda hospital wakamfanyia operation akapona kabisa na yuko vizuri sasa.. Nenda hospital ndugu yangu wala si tatizo la ajabu inawatokea wengi...
Hiyo kitu inaitwa hemoroide. Kuna ya uvimbe WA ndani na uvimbe WA nje. So wa kwako unaweza ukawa WA ndani but unavyokua unatoa haja kubwa ndo kinatoka. So sababu kubwa ni kula vyakula vinavyofanya kinyesi kiwe kigumu na kusababisha shuruba wakati wa kutoa haja. Hapo basi damu inakua inagandana. So hiyo ndo issue.Jaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
Mawazo yako Mungu akusaidie tu.. Ivi wewe ulishamhudumia mgonjwa mwanaume? mtu hawezi kwenda hata haja kubwa inabidi umsaidie hadi kuchamba? hujafa hujaumbika, omba yasikukutekhaa umejuaje kama anaendelaea vizuri jaman...eemola tuepushe na ma basha khaaaa.
mtu anaumwa unajua maendeleo yake yeleuwiiii[emoji23]
Ww usiyekuwa na kinyama tuma yako tuone piaNyama! How! Ebu tuma picha
AsanteMimi niliugua ugonjwa huo, lakini ilikuwa bado mapema uvimbe alikuwa bado mdogo. Nilienda hospital, sikufanyiwa oparesheni ila niliulizwa maswali nikajibu. Nilishuriwa, niache kula ndizi nilizokuwa nikila zaidi. Niliambiwa nitumie aina nyingine ya ndizi kama vile bukoba, au sukari niachane na malindi. Uvimbe ulipotea ndani ya wiki mbili.
NtajaribuuNilishawahi umwa huo ugonjwa. Nilienda hospitali na ajabu daktari hakunipa dawa yoyote, ila akanipa ushauri very simple.
Alinambia ninunue Dettol kisha nichemshe maji na kuyaweka kwenye besen mpaka yapoe yawe vuguvugu. Maji haya ukishayaweka tu kwenye beseni tia Dettol vifuniko viwili.
Yakishapoa na kuwa vuguvugu kaa humo ndani ya beseni kwa dakika kumi na tano.
Fanya hivi kwa mara kadhaa. Utaona mabadiliko kama kweli waumwa Hemerroids.
Iliniponya.
☆Steve
NtajitadHamna haja ya hospital , jipe mda wakati huo ongeza vyakula kama papai, juice nzito ya ukwaju ,matunda, salad , maembe n.k . Epuka mikate ugali wa sembe, wali n.k ,, pia wakati wa kulala hakikisha kiuno kinakuwa juu au lala kifudi fudi ... 4 days kitaondoka trust me
Mkuu translate hii imekaa kidokta mno.Symptoms of hemorrhoids include:
How do you get a hemorrhoid?
- extreme itching around the anus.
- irritation and pain around the anus.
- itchy or painful lump or swelling near your anus.
- fecal leakage.
- painful bowel movements.
- blood on your tissue after having a bowel movement.
- Swollen veins (hemorrhoids) can develop from increased pressure in the lower rectum due to:
- Straining during bowel movements.
- Sitting for long periods of time on the toilet.
- Chronic diarrhea or constipation.
- Obesity.
- Pregnancy.
- Anal intercourse.
- Low-fiber diet.
How do you treat hemorrhoids?- Ease Pain and Itching
- Take warm baths. Soak in a bathtub filled with a few inches of warm water for about 15 minutes at a time. ...
- Rub on relief. Over-the-counter wipes or creams with witch hazel can soothe pain and itch with no side effects. ...
- Ice it. ...
- Consider painkillers. ...
- Don't scratch. ...
- Choose cotton
Endelea na ganzi basi. Hovyo kabisa. Ukishatoka vinyama hakuna njia nyingine zaidi ya kuviondoa. Pia nenda google utafute vyakula vyenye fiber kwa wingi vinasaidia choo kuwa smoothSitaki operation naogopa mkuu aibuu
hiyo ni bawasir kama ya nje chukua aloevera paka ule utomvu mpaka ishe ndio uacheJaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
Umri wako?..maana kama ni mtu mzima ntashangaa watoto wako watakuwaje...punguza ukali Wa lugha..Tumia annusol suppositories au scheriproct suppositories. Ushauri nzuri nenda hospital wajue uko katika hali gani..sometimes it needs surgical intervationJaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia