Jaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
Hamna haja ya hospital , jipe mda wakati huo ongeza vyakula kama papai, juice nzito ya ukwaju ,matunda, salad , maembe n.k . Epuka mikate ugali wa sembe, wali n.k ,, pia wakati wa kulala hakikisha kiuno kinakuwa juu au lala kifudi fudi ... 4 days kitaondoka trust me