Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Mkuu usipate hofu unachotakiwa kukufanya ni hiki zingatia
1)epuka kula ngano (mandazi, chapati punguza)
2)epuka kukaa chooni zaidi ya dk 5 hupelekea hiyo misuli kuto himili na sio nzuri kwa afya
3)kunywa maji mengi
4)epuka kula vitu vigumu (mf mahindi, mapera, kande)
5)punguza kula nyama mkuu
6)kula matunda kwa wingi
7)kunywa maji mengi

Yafanye hayo mkuu ulete mrejesho nakuhakikishia usipo pona najitoa JF
Hiyo tiba yote atapona ndani ya muda gani?
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Kwa hiyo pesa si aende hospitali? Kwani utabibu unatokana na nani? Kama knowledge ya utabibu imetoka kwa Mungu, TB naye unadai ni mtumishi wa Mungu, Kwa nini unamshauri kwenda kwa mtumishi wa Mungu aliyeko Nigeria, na awaache watumishi wa Mungu (madaktari) waliopo Tanzania?.
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Jambo jema kumtumainia Mungu lakini hiyo pesa nusu yake au pungufu anaweza pata tiba ya hospital hapa nyumbani akaokoa muda na pesa huku akiendelea kumwomba Mungu mwenyewe au kwa wachungaji wa jirani na kwake.
 
Mkuu usipate hofu unachotakiwa kukufanya ni hiki zingatia
1)epuka kula ngano (mandazi, chapati punguza)
2)epuka kukaa chooni zaidi ya dk 5 hupelekea hiyo misuli kuto himili na sio nzuri kwa afya
3)kunywa maji mengi
4)epuka kula vitu vigumu (mf mahindi, mapera, kande)
5)punguza kula nyama mkuu
6)kula matunda kwa wingi
7)kunywa maji mengi

Yafanye hayo mkuu ulete mrejesho nakuhakikishia usipo pona najitoa JF
Dah ahsante mkuu, yaani amani imetoweka, ilikuwa wiki iliyopita nilipata maumivu sana nikaamua kupotezea, sasa leo nikaona wacha nijicheki ndo nakuta hali hiyo....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Ni ugonjwa uliompata mdogo wangu...alipata sana shida wakati wake haja....dawa yake ni opereshen tu na alifanyiwa na doctor fulani hapa dar....kama upo Tayali nikutumie no zake mpange...
naiomba hiyo namba mkuu, waweza nitumia PM
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Kama kweli anaweza kumtibu hebu mlipie wewe kila kitu aende akipona ndio alipe gharama

Mnataka watu waingie gharama kubwa kwenda huko na hakuna chochote baadaye mnawaambia hawana imani

Huo ugonjwa akienda hospital hautazidi sana laki tano kama ni serious sana kuhitaji operation lkn kama upo kwenye hatua za awali anaweza kupewa dawa na ushauri juu ya chakula sasa wewe unamtangazia USD 1,500 unadhani ataitikisa kwenye mti tu aipate
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
khaa[emoji15]
 
Mm wakat nipo tanga hicho kitu kilinianza nilichofanya nikaenda hospita ya jeshi wakanipa vidonge flan yaaan hata vilivyopotea sijajua, hiyo ni minyooo ambayo ipo ndani ya ngoz dct alivyoniambia
 
Back
Top Bottom