Pole sana mkuu
Bila shaka hiyo ni Hemmorhoids au bawasili kwa kiswahili ni ugonjwa unaotokea sehemu ya haja kubwa katika nyama za misuli ya haja kubwa huwa inavimba
Kwa kuangalia hiyo pic yako inaonyesha upande wote wa hiyo misuli ya anus imevimba ina maana hapo hemorhoids yako ipo katika stage ya tatu huwa wanaiita thembosd hemmorhoids yaani vimbe zipo zaidi ya moja
Na kawaida huwa hawafanyi upasuaji kwa vimbe zaidi ya mbili kwa wakati mmoja na ww hapo picha inaonyesha una vimbe zaidi ya moja mean anus area yote imevimba
Kikubwa nenda hospitali doctor atakufanyia uchunguzi then atajua kama ufanyiwe surgey au akupe dawa za kupakaa na vidonge na ushauri wa lishe bora
Kikubwa watu wengi wasichokijua ni huu ugonjwa huwa unaweza kuisha au kupona wenyewe kwa kuzingatia lishe kama mboga mboga kwa wingi matunda kama papai,parachichi,maembe
Unapokuwa na huu ugonjwa usitumie
*chumvi nyingi
*kahawa
*chai
*vyakula vya ngano
*soda/pombe
*nyama nyekundu,pilipili
*maziwa
-maziwa huwa baada ya kuyanywa yakishafika tumboni baada ya masaa hubadilika na kuchacha na kutengeneza acid ambayo huenda kuamsha vimbe au kuleta maumivu makali kwenye hizo vimbe
Kamwone dk kwanza ila kwa hali yako sidhani kama utashauriwa kufanya surgey hapo utapewa dawa za kupakaa kwanza na ushauri wa vyakula bora
Kumbuka*
Usitumie dawa ya anusol zaidi ya siku 7, ukitumia zaidi ya hapo itakuletea madhara makubwa ambayo yatapelekea upate maumivu na vimbe zaidi katika sehem ya anus area