Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Alafu mkuu unakulaga ugali wa unga uliokobolewa au ugali mweupe??
si mpenzi wa ugali, napendelea sana kula wali, kidogo na chipsi, viazi na maghimbi.

kwa mara ya mwisho kula ugali ni mwezi wa kwanza!
 
si mpenzi wa ugali, napendelea sana kula wali, kidogo na chipsi, viazi na maghimbi.

kwa mara ya mwisho kula ugali ni mwezi wa kwanza!
Kuna mtu alisema kama unakula vyakula vya nafaka iliyokobolewa kuanzia ugali, wali, ngano ndio vinaleta hiyo shida!!

Ila ushajua tatizo ni nin nenda hospital...

NB: kama una bima itakusaidia sana kupunguza gharama za matibabu!! Kama huna omba ya mtu au kata ndio uende kwenye hospital wanayotumia bima.... Pole sana na kila la heri!!
 
Duuuh pole Sana mkuu


Kuna watu wanazo ndefu kama mkia,wanaita makila,kinaweza kukaa hata miaka ishirini,

Mungu atuepushe na haya masaibu,kuna watu wanateseka Sana, unakuta ni mrembo Kabisa,aibu yote anaweka pembeni,

Pole sana mkuu,tafuta anusol ya kusweka au gel ya kupaka,pia meza strong antibiotics kama amoxclav,claranta.
 
ahsante sana kwa ushauri kiongozi Mungu akubariki sana
 
I love JF. The home of great thinkers. metusaidia wengi. Dr. MUNGU akupe umri uendelee kutulisha utaalam.
 
Aisee pole sana ilinitokea hata mimi hii imekauka ila kinyama kipo yani naishi kwa tahadhari sana nayajua maumivu yake hata kukaa mziki
 
Dah ahsante mkuu, yaani amani imetoweka, ilikuwa wiki iliyopita nilipata maumivu sana nikaamua kupotezea, sasa leo nikaona wacha nijicheki ndo nakuta hali hiyo....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Usijali poleee sana mkuu fanyia kazi hayo hautaona maumivu na huo uvimbe utaondoka kabisa nakuahidi hilo ndugu.
 
Huo ugonjwa una sababishwa na ulaji wa pilipili, wengi wao wanaogua ni Wahindi. Dawa yake ni tube kama super glue ila ina matundu mengi mbele. Unaingiza una minya asubuh na jioni saa ya kulala, mwisho litapasuka na kutoa damu muda wa siku tano mpaka week unapona. Kama upo Dar nenda maduka makubwa kama Jd phamacy au Hospital za Wahindi

Nimeshawah kuugua ndio maana nakuambia sio bawasiri, bawasiri ni nyama kutoka wakati unapush ili utoe nyaa na ukimaliza uchukua muda ile nyama kurudi ndani.

Kupona kwake ni kupasuka na damu kutoka, ukuwa kama una bleed, nilitembea na boxer kila likipumua linatoa damu hivyo nabadilisha boksa.
 


Mkuu tafuta hii dawa inauzwa Tsh.3500/=(elfu tatu na mia tano tu)
Inapatikana karikoo stand ya daladala za Tegeta nyuki kwenye maduka ya dawa za kissunnah.

Itakusaidia sana na maumivu yatakwisha kabisa biidhni'Llah
 


Mkuu tafuta hii dawa inauzwa Tsh.3500/=(elfu tatu na mia tano tu)
Inapatikana karikoo stand ya daladala za Tegeta nyuki kwenye maduka ya dawa za kissunnah.

Itakusaidia sana na maumivu yatakwisha kabisa biidhni'Llah
 
Exactly..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…