Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Habar wana JF, kwanza kabisa nipende kuwa julia hali za mwaka huu mpya wa 2018, wengine hatujawah post. .thread yoyote toka mwaka uanze.
Somo ni kama kichwa cha habari hapo [emoji121] kinavyoeleza. Kuna jambo linaendelea kwenye mwili wangu linanitatiza kidogo. Kuna kauvimbe mfano wa jibu kwenye sehemu ya haja kubwa (puru)..na mapata maumivu kiasi wakati wa kwenda haja kubwa...hali hii imekuwa ikija na kupotea. .ila awamu hii naona kimekuwa kikubwa zaid na maumivu kuongezeka. Katika utafiti wangu mdogo nimehisi inawezekana nina matatizo ya ugonjwa ujulikanao kama BAWASIRI. .Ila kilichonifanya mpaka niingie JF kuomba ushauri kabla ya kwenda hospital, kwanza najiuliza kwanini uvimbe huu huja na kupotea? Na, je nimesoma vizur sababu za kupata ugonjwa huu ikiwa km umri. .miaka 50+ , kuzidi kwa uzito wa mwili (Obesity), Kufanya kazi inayokufanya kukaa mda mrefu bila kushughulisha mwili n.K, Lakini vyote hvy hakuna kinachonisibu, Je endapo nitabainika kuwa na tatizo tiba yake ikoje? Maana hp ninauwoga wa hari ya juu..naona aibu hata kumweleza mtu wangu wa karibu tatizo hili. Tafadhali nahutaj msaada wenu wa dhati sina raha tangu hali hii ianze kunisumbua.
Naomba kuwasilisha
[emoji256] *BAWASIRI/MGOLO* [emoji256]
[emoji298]Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
[emoji298]Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
[emoji298] Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids

[emoji261]AINA ZA BAWASIRI[emoji261]
[emoji117]1⃣ BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
[emoji117]2⃣BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
[emoji298]Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
[emoji117]Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
[emoji117]Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
[emoji271]BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?[emoji271]
[emoji117]Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
[emoji117]Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
[emoji117]Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
[emoji117]Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
[emoji117]Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
[emoji117]Kuharisha sana kwa muda mrefu
[emoji117]Kutumia vyoo vya kukaa
[emoji117]Kunyanyua vyuma vizito
[emoji117]Mfadhaiko/stress
[emoji117]Uzito na unene kupita kiasi.

[emoji271]DALILI ZA BAWASIRI[emoji271]
[emoji117]Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
[emoji117]Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
[emoji117]Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

[emoji263]ATHARI ZA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298] Upungufu wa damu mwilini
[emoji298] Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
[emoji298]Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[emoji298]Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
[emoji298]Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[emoji298]Kupata tatizo la kisaikolojia

[emoji263]NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298]Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
[emoji298]Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
[emoji298] Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
[emoji298] Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

[emoji259]DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA BAWASIRI [emoji259]

NB:: Kabla ya kutumia dawa hizi pata ushauri kwa wataalam kulingana na aina ya bawasiri uliyonayo.
[emoji117][emoji267]Chukua dawa inayoitwa NTOBOTOBO kisha kamua na maji yake uyaweke kwa kiti cha kienyeji kisha mgojwa ayakalie yapate kuingia vizuri sehemu ya nyuma kwa Muda usiopungua lisaa limoja ni mujarabu sana dawa hyo
Pia mizizi yake ni mujarabu kwa kuchemsha na unywe kikombe kimoja kutwa mara Tatu in shaa Allah utapona kabisa
[emoji117][emoji267]Chemsha MAKAL-ARZAK 100gm, kwa maji lita moja na nusu kunywa nusu kikombe kutwa mara tatu, na uwe unapakaa mafuta ya mbono hukooo sehemu ya nyuma.

Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
www.sangidaherbal.blogspot.com
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
 
Hii issue ni serious case.
Kuna ndugu yangu hawezi kukaa kwa zaidi ya dakika tatu,miezi kadhaa sasa. Analalamika kuna uvimbe mkubwa sana so akikaa unapasuka na kutoa damu. Hizo enusol zote kamaliza, aloevera nayo katumia sana.

Naomba mtoa mada atoe ufafanuzi vizuri jinsi ya kutengeneza hii dawa.
Mimi mwenyewe naona dalili kama kauvimbe kanaanza anza hivi.
Kwann asiende kutolewa
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Mh yamekuwa hayo tena? Sasa ugonjwa wa hospitali na huyo TB Tito wapi na wapi?huku si ndo kuua watu.Ushauri gani huo.....Ndugu yangu wahi hospitali tu mapema kama wengi wanavyoshauri.
 
Hii issue ni serious case.
Kuna ndugu yangu hawezi kukaa kwa zaidi ya dakika tatu,miezi kadhaa sasa. Analalamika kuna uvimbe mkubwa sana so akikaa unapasuka na kutoa damu. Hizo enusol zote kamaliza, aloevera nayo katumia sana.

Naomba mtoa mada atoe ufafanuzi vizuri jinsi ya kutengeneza hii dawa.
Mimi mwenyewe naona dalili kama kauvimbe kanaanza anza hivi.
Ahahahaha.
Ni wewe mwenyewe unaumwa ila umeshindwa kujieleza ukaamua kutumia case study
Anyway pole mkuu
 
Heshima kwenu wana forums
Nahitaji msaada wanu kwa hili,

Nina bawasiri ya ndani kwa miaka 2 sasa
Ya kutoka na kurudi wakati wa kujisaidia

Nimeenda hospital nikiwa tayari nimejiandaa mentality kwa ajili ya upasuaji (ndo solution pekee niliyoamini) baada ya process zote

Nikahamishiwa surgery clinic kumuona Dr wa upasuaji (hapa ndo vipimo vya mwisho kabla ya kupewa number na kitanda cha maandalizi ya upasuaji)
Dr aliponipima zaidi ya 5 times

Kwa vidole ( unaingiziwa didole chenye mafuta) akagundua iko 7 degree at the end of first stage, nikashauriwa nisifanye upasuaji na nibadili mfumo wa chakula kwa angalau week 2 hadi 3 na kupewa dawa Anusal cream.

OMBI LANGU
Mwenye kunisaidia/kunielekeza dawa
Mbadala ya miti shamba ambayo itamaliza hili tatizo
Napatikana Mwanza
 
Heshima kwenu wana forums
Nahitaji msaada wanu
Kwa hili
Nina bawasiri ya ndani
Kwa miaka 2 sasa
Ya kutoka na kurudi wakati wa kujisaidia
Nimeenda hospital nikiwa tayar nimejiandaa mentality kwa ajili ya upasuaji (ndo solution pekee niliyoamini) baada ya process zote
Nikahamishiwa surgery clinic kumuona dr wa upasuaji (hapa ndo vipimo vya mwisho kabla ya kupewa number na kitanda cha maandalizi ya upasuaji)
Dr aliponipima zaidi ya 5 times
Kwa vidole ( unaingiziwa didole chenye mafuta) akagundua iko 7 degree at the end of first stage
Nikashauliwa nisifanye upasuaji
Na nibadili mfumo.wa chakula kwa angalau week 2 adi 3
Na kupewa dawa
Anusal cream
OMBI LANGU
Mwenye kunisaidia/kunielekeza dawa
Mbadala ya miti shamba ambayo itamaliza hili tatizo
Napatikana Mwanza
[emoji256] *BAWASIRI/MGOLO* [emoji256]
[emoji298]Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
[emoji298]Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
[emoji298] Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids

[emoji261]AINA ZA BAWASIRI[emoji261]
[emoji117]1⃣ BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
[emoji117]2⃣BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
[emoji298]Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
[emoji117]Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
[emoji117]Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
[emoji271]BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?[emoji271]
[emoji117]Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
[emoji117]Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
[emoji117]Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
[emoji117]Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
[emoji117]Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
[emoji117]Kuharisha sana kwa muda mrefu
[emoji117]Kutumia vyoo vya kukaa
[emoji117]Kunyanyua vyuma vizito
[emoji117]Mfadhaiko/stress
[emoji117]Uzito na unene kupita kiasi.

[emoji271]DALILI ZA BAWASIRI[emoji271]
[emoji117]Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
[emoji117]Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
[emoji117]Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

[emoji263]ATHARI ZA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298] Upungufu wa damu mwilini
[emoji298] Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
[emoji298]Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[emoji298]Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
[emoji298]Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[emoji298]Kupata tatizo la kisaikolojia

[emoji263]NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298]Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
[emoji298]Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
[emoji298] Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
[emoji298] Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

[emoji259]DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA BAWASIRI [emoji259]
Ili kupata dawa asili ya kukutibia maradhi hayo unaweza wasiliana nami.

Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
www.sangidaherbal.blogspot.com
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
 
[emoji256] *BAWASIRI/MGOLO* [emoji256]
[emoji298]Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
[emoji298]Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
[emoji298] Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids

[emoji261]AINA ZA BAWASIRI[emoji261]
[emoji117]1⃣ BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
[emoji117]2⃣BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
[emoji298]Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
[emoji117]Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
[emoji117]Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
[emoji271]BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?[emoji271]
[emoji117]Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
[emoji117]Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
[emoji117]Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
[emoji117]Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
[emoji117]Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
[emoji117]Kuharisha sana kwa muda mrefu
[emoji117]Kutumia vyoo vya kukaa
[emoji117]Kunyanyua vyuma vizito
[emoji117]Mfadhaiko/stress
[emoji117]Uzito na unene kupita kiasi.

[emoji271]DALILI ZA BAWASIRI[emoji271]
[emoji117]Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
[emoji117]Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
[emoji117]Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

[emoji263]ATHARI ZA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298] Upungufu wa damu mwilini
[emoji298] Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
[emoji298]Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[emoji298]Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
[emoji298]Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[emoji298]Kupata tatizo la kisaikolojia

[emoji263]NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298]Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
[emoji298]Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
[emoji298] Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
[emoji298] Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

[emoji259]DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA BAWASIRI [emoji259]
Ili kupata dawa asili ya kukutibia maradhi hayo unaweza wasiliana nami.

Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
www.sangidaherbal.blogspot.com
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
Thanks you kwa response yako
 
Pole sana mkuu

Bila shaka hiyo ni Hemmorhoids au bawasili kwa kiswahili ni ugonjwa unaotokea sehemu ya haja kubwa katika nyama za misuli ya haja kubwa huwa inavimba

Kwa kuangalia hiyo pic yako inaonyesha upande wote wa hiyo misuli ya anus imevimba ina maana hapo hemorhoids yako ipo katika stage ya tatu huwa wanaiita thembosd hemmorhoids yaani vimbe zipo zaidi ya moja

Na kawaida huwa hawafanyi upasuaji kwa vimbe zaidi ya moja kwenye anus area kwa wakati mmoja na ww hapo picha inaonyesha una vimbe zaidi ya moja mean anus area yote imevimba

Kikubwa nenda hospitali doctor atakufanyia uchunguzi then atajua kama ufanyiwe surgey au akupe dawa za kupakaa na vidonge na ushauri wa lishe bora

Kikubwa watu wengi wasichokijua ni huu ugonjwa huwa unaweza kuisha au kupona wenyewe kwa kuzingatia lishe kama mboga mboga kwa wingi matunda kama papai,parachichi,maembe bila kusahau unywaji wa maji kwa wingi na jusi asilia

Pia unashauriwa kuweka maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na chumvi kwenye beseni na kuyakalia kwa mda usiopungua dk 15, ili kupunguza vimbe na maumivu

Unapokuwa na huu ugonjwa usitumie
*chumvi nyingi
*kahawa
*chai ya rangi
*chocolate/cocoa
*vyakula vya ngano
*soda/pombe
*nyama nyekundu,pilipili
*Nafaka zilizokobolewa mfano ugali wa sembe
*wali
*machungwa/limao/passion

*maziwa
-maziwa huwa baada ya kuyanywa yakishafika tumboni baada ya masaa hubadilika na kuchacha na kutengeneza acid ambayo huenda kuamsha vimbe au kuleta maumivu makali kwenye hizo vimbe

Kamwone dk kwanza ila kwa hali yako sidhani kama utashauriwa kufanya surgey hapo utapewa dawa za kupakaa kwanza na ushauri wa vyakula bora

Kumbuka*

Usitumie dawa ya anusol zaidi ya siku 7, ukitumia zaidi ya hapo itakuletea madhara makubwa ambayo yatapelekea upate maumivu na vimbe zaidi katika sehem ya anus area
Mkuu umeeleza vyema sana.katika hiyo haya ya mwisho kuhusu anusol, vp kama uvimbe haupungui na je hiyo yenyewe inaweza kutumia siku ngapi mpaka kuonyesha imefanya kazi.
 
Pole sana mkuu...tafuta mafuta ya nyonyo yale meusi...uwe unapaka njia ya haja kubwa kwa kidole mara 3 kwa siku amini nakuambia ndani ya mwezi mmoja utakuwa umepona. Hayonmafuta sehemu zingine yanaitwa mafuta ya mti wa mbono.
 
Mimi pia ilinisumbua sana kama miaka miwili ila nilipo tumia dawa ya meno ikapona kabisaa maana usiombe ukawa na hii kitu afu upate haja ngumu utamwaga dam kama umetoka kujifungua
Mkuu ulitumia nini ukapona au ndio ulipaka maji ya migomba
 
Pole sana mkuu...tafuta mafuta ya nyonyo yale meusi...uwe unapaka njia ya haja kubwa kwa kidole mara 3 kwa siku amini nakuambia ndani ya mwezi mmoja utakuwa umepona. Hayonmafuta sehemu zingine yanaitwa mafuta ya mti wa mbono.
mkuu kwa Dar naweza pata duka gani ayo mafuta ya nyonyo
 
Pole mkuu utapona. Mi najua kutibu ya nje na kuizuia isiote tena hiyo ya ndani kuna dawa ni magome ya miti fulani yapo variety mbili unakunywa within aweek inakwangua linaisha lote. Ila ni chungu kufa mtu hiyo dawa. Lakini ungekuwa karibu tungeuliza kuipata. Ila nina imani umeshapona kwa kufikisha hapa. Pole ndg yangu.
 
Pole mkuu utapona. Mi najua kutibu ya nje na kuizuia isiote tena hiyo ya ndani kuna dawa ni magome ya miti fulani yapo variety mbili unakunywa within aweek inakwangua linaisha lote. Ila ni chungu kufa mtu hiyo dawa. Lakini ungekuwa karibu tungeuliza kuipata. Ila nina imani umeshapona kwa kufikisha hapa. Pole ndg yangu.
Hiyo ya nje inatibiwa vp mkuu.. Imempata dada yangu mama kijacho!!!
 
Pole sana mkuu...tafuta mafuta ya nyonyo yale meusi...uwe unapaka njia ya haja kubwa kwa kidole mara 3 kwa siku amini nakuambia ndani ya mwezi mmoja utakuwa umepona. Hayonmafuta sehemu zingine yanaitwa mafuta ya mti wa mbono.
Ndio hiyo inaitwa Castrol oil??
 
Pole mkuu utapona. Mi najua kutibu ya nje na kuizuia isiote tena hiyo ya ndani kuna dawa ni magome ya miti fulani yapo variety mbili unakunywa within aweek inakwangua linaisha lote. Ila ni chungu kufa mtu hiyo dawa. Lakini ungekuwa karibu tungeuliza kuipata. Ila nina imani umeshapona kwa kufikisha hapa. Pole ndg yangu.
Ya nje inakuwaje mkuu na iyo dawa yake
 
Back
Top Bottom