Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

sasa kwamtu mwenye dalili kama kupata maumivu siku mojamoja na kutokwa na damu siku mojaja na hasa kwenye kili kipindi unachofululiza kula maharagwe au nyama ya ng'ombe. Lakini huhisi dalili yoyote ya uvimbe. je yeye vipi huyu?
Pole sana mkuu. Hiyo ni ya ndani. Ngoja mtaalam aje.
 
KAMA TATIZO BADO LIPO TUMIA BLACK SEED OLI KWA KUNYWA NA KUPAKA. NDANI YA WIKI MOJA UTAKUWA UMESHAANZAKUONA MATOKEO. UNAWEZA KUJA INBOX KWA MAELEZO ZAIDI KAMA UTAHITAJI.
 
KAMA TATIZO BADO LIPO TUMIA BLACK SEED OLI KWA KUNYWA NA KUPAKA. NDANI YA WIKI MOJA UTAKUWA UMESHAANZAKUONA MATOKEO. UNAWEZA KUJA INBOX KWA MAELEZO ZAIDI KAMA UTAHITAJI.

hivi ni bawasiri aina zote unatumia kwa kupaka?


Mimi nina dalili za bawasiri zaidi ya miaka 10, nikufululiza kula maharage au nyama ya ng'ombe basi choo kinakua na damu na maumivu pia yanakuwepo. Masela wamenambiwa ni bawasiri. Lakini nikiacha matumizi ya ivo vitu au nikifululiza kula figili hali inatulia.
Sasa je nifanye kumaliza ilo tatizo kabisa?
 
BAWASIRI ZOTE UNAKUNYWA NA KUPAKA KWA KUINGIZA KWA NDANI KWA KIDOLE CHAKO HADI HAPO DALILI INAPOISHA THEN UNABAKI KUNYWA HADI UTIMIZE MWEZI MOJA. PIA JITAHIDI KULA MATUNDA KWA WINGI NA NYAMA NYEKUNDU KWA KIDOGO SANA ILI KUONDOKA TATIZO LA CONSTIPATION AMBAYO NI MOJA YA CHANZO CHA BAWASIRI.
 
mkuu samahani anaweka kwenye anus au pale sehemu penye uvimbe?
 
dawa yake ni nini? mimi nina internal hemorrhoids,kuna wakati zinanisumbua nikitumia anusol zinapoa kama miezi 9 baadae zinarudi,nataka dawa ya kuzimaliza kabisa
 

Unywaji wake ni vipi? 1 x 1 au? na kwakijiko kipi cha chai au cha chakula?
 
Unywaji wake ni vipi? 1 x 1 au? na kwakijiko kipi cha chai au cha chakula?

1X1, kijiko cha chai. kama tatizo imekuwa kubwa tumia 1X2kijiko cha chai. Mama mjamzito na wenye presha za kushuka hawatakiwi kutumia. Logic behind ni kwamba Black Seed Oil ina sifa ya kupunguza mafuta, lehemu na na sukari mwilini. Hivyo,mwenye presha ya kushuka ukimpa tena unamwongezea matatizo maana yeye ndo natakiwa awe na glucose ya kumwongezea sukari. The same na mama mjamzito ambao mara nyingi wana tatizo la presha kushuka.
 

ni mda gani mzuri wakutumia Asubuhi au Usiku?
 
ni mda gani mzuri wakutumia Asubuhi au Usiku?

literature nyingi zinasema tu mara moja kwa kutwa. Mimi siyo mtaalamu sana wa mambo ya sayansi but kwa uzoefu wangu kazini na duniani muda mzuri wa kutumia dawa ni usiku isipokuwa dawa ya minyoo. HIVYO, NASHAURI ITUMIKE USIKU. BINAFSI HUWA NATUMIA USIKU. MIMI KWA SASA NATUMIA KAMA BURUDHANI NA KWA AJILI YA KUPUNGUZA NYAMA UZEMBE KILA KILO ZINAPOONGEZEKA KWA FUJO.
 

asante sana mkuu
 
nitafute ndugu nikupatie tiba ambayo itakuondolea kabisa tatizo la bawasili
 
KAMA TATIZO BADO LIPO TUMIA BLACK SEED OLI KWA KUNYWA NA KUPAKA. NDANI YA WIKI MOJA UTAKUWA UMESHAANZAKUONA MATOKEO. UNAWEZA KUJA INBOX KWA MAELEZO ZAIDI KAMA UTAHITAJI.
Mkuu unapatikanaje physical nahitaji sana kuonana na wewe!
 
TATIZO LA BAWASIRI KWA BLACK SEED OIL HAIWEZI KUKATIZA. WAPO WATU WENGI TU HUMU WALIOPONA KWA MAFUTA HAYA YA BLACK SEED NIKIWEMO MIMI.SEMA TU KWA UGONJWA WENYEWE UNASHIKA SEHEMU MBVAYA MBAYA WATU WANAOGOPA KUTOA USHUHUDA.
 
TATIZO LA BAWASIRI KWA BLACK SEED OIL HAIWEZI KUKATIZA. WAPO WATU WENGI TU HUMU WALIOPONA KWA MAFUTA HAYA YA BLACK SEED NIKIWEMO MIMI.SEMA TU KWA UGONJWA WENYEWE UNASHIKA SEHEMU MBVAYA MBAYA WATU WANAOGOPA KUTOA USHUHUDA.
Nakuelewa sana mkuu
 
TATIZO LA BAWASIRI KWA BLACK SEED OIL HAIWEZI KUKATIZA. WAPO WATU WENGI TU HUMU WALIOPONA KWA MAFUTA HAYA YA BLACK SEED NIKIWEMO MIMI.SEMA TU KWA UGONJWA WENYEWE UNASHIKA SEHEMU MBVAYA MBAYA WATU WANAOGOPA KUTOA USHUHUDA.


mafuta ya black seed yanapatikana wapi mkuu? (hapo kwenye kutoa mafuta futa na nyama uzembe hapo)
 
nenda duka la dawa asili ulizia hii dawa ZAIN Bawasir

hayo mauvimbe yanakera mwambie ayatibie haraka kabla haja-advance pacha
Thanks mkuu naona kitambo sana aseee.
Nina muda sijawasiliana nae ngoja nimuulize kafikia hali gani
 
kwamba ni kinyama kinachotoka ndani kinamuuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…