Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

asante sana ushimen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo sio wewe ? Mbona kila mtu ana rafiki yAke kila siku humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta mafuta ya nyonyo, chovya na pamba usiku iweke maeneo ilale hadi asubuhi kisha itoe.

Ila kunywa glass ya maji yalichanganywa na punje za vitunguu swaumu kama 5 hivi.

Anywe hivyo kutwa mara tatu, afanye kwa wiki.
Hana haja ya kwenda kukata nyama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi anus ni tafsida au lugha mbadala mzungu nae akisoma inakuwaje?
nawashangaaga mod ukiandika kwa kiswahili wanachukulia umeandika tusi ila kiungo hichohicho ukikiandika kwa kizungu eti unakua umepunguza ukali wa maneno hahahaha
 
ahaa poa nimemuambia aende hospital ila uchumi wako hauko gud but nimemuambia this week ajitahidi kwendaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ajitahidi kunywa maji mengi, ale matunda ya kulainisha choo, asikae chooni muda mrefu
Mtafutie mafuta ya mzaituni, akikosa kwa leo hata ya nazi apakae, kama kuna poda ya watoto apake maumivu yatapungua. Pia asikae muda mrefu, kama ni mtu wa kutumia pikipiki au baiskeli apunguze.
Vitamsaidia kwa uwezo wa Allah kipindi hiki hana pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…