Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Hemorrhoids ...huo ugonjwa asilimia kubwa sio dawa tu. Waone madaktari wa mfumo wa chakula
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Mmh aende huko imeshindikana kupona ebu acha kumtisha mwenzio huo ni ugonjwa wa unaotibika aende kwa Joshua kufanya niniii au ndio unataka kumpiga pesa
 
  • Thanks
Reactions: sab
609abf0f7006c694e7a71cfd8af26f44.jpg
2b2c0adc0ba61cf74ee62fda50acaf2e.jpg


hiyo ni kwenye Anus yangu!
Bawasiri kwa huku wanaita Ndonda.kama unaamini dawa za majani kesho nipige picha nikurushi uchume ujitibu unapona bila shida.Unatafuna na nyingine unatwanga unapaka
 
Bawasili hiyo mzee, nenda hospital CCBRT, au nenda kwa ndugu mwaka, zamani doctor mwaka, siku hizi yupo ubungo blaza gorofa ya pili , ubungo dsm .
 
Pole sana, usile vyakula vya sukari, nilikuwa napenda sana upate mboga za majin pekee yake usile wali wala ugali kwa siku nzm.
 
Pole sana mkuu

Bila shaka hiyo ni Hemmorhoids au bawasili kwa kiswahili ni ugonjwa unaotokea sehemu ya haja kubwa katika nyama za misuli ya haja kubwa huwa inavimba

Kwa kuangalia hiyo pic yako inaonyesha upande wote wa hiyo misuli ya anus imevimba ina maana hapo hemorhoids yako ipo katika stage ya tatu huwa wanaiita thembosd hemmorhoids yaani vimbe zipo zaidi ya moja

Na kawaida huwa hawafanyi upasuaji kwa vimbe zaidi ya moja kwenye anus area kwa wakati mmoja na ww hapo picha inaonyesha una vimbe zaidi ya moja mean anus area yote imevimba

Kikubwa nenda hospitali doctor atakufanyia uchunguzi then atajua kama ufanyiwe surgey au akupe dawa za kupakaa na vidonge na ushauri wa lishe bora

Kikubwa watu wengi wasichokijua ni huu ugonjwa huwa unaweza kuisha au kupona wenyewe kwa kuzingatia lishe kama mboga mboga kwa wingi matunda kama papai,parachichi,maembe bila kusahau unywaji wa maji kwa wingi na jusi asilia

Pia unashauriwa kuweka maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na chumvi kwenye beseni na kuyakalia kwa mda usiopungua dk 15, ili kupunguza vimbe na maumivu

Unapokuwa na huu ugonjwa usitumie
*chumvi nyingi
*kahawa
*chai ya rangi
*chocolate/cocoa
*vyakula vya ngano
*soda/pombe
*nyama nyekundu,pilipili
*Nafaka zilizokobolewa mfano ugali wa sembe
*wali
*machungwa/limao/passion

*maziwa
-maziwa huwa baada ya kuyanywa yakishafika tumboni baada ya masaa hubadilika na kuchacha na kutengeneza acid ambayo huenda kuamsha vimbe au kuleta maumivu makali kwenye hizo vimbe

Kamwone dk kwanza ila kwa hali yako sidhani kama utashauriwa kufanya surgey hapo utapewa dawa za kupakaa kwanza na ushauri wa vyakula bora

Kumbuka*

Usitumie dawa ya anusol zaidi ya siku 7, ukitumia zaidi ya hapo itakuletea madhara makubwa ambayo yatapelekea upate maumivu na vimbe zaidi katika sehem ya anus area
 
Nisaidie kupata tiba dadaa...mbona unaleta masihala tena?
Mkuu niamini mm achana wanao kuzingua, ni uhakika ww ni PM nikupe dawa sikudai ata shilingi tano nakusaidia ndani ya wiki unakua umepona.
Ugua pole
 
Mkuu niamini mm achana wanao kuzingua, ni uhakika ww ni PM nikupe dawa sikudai ata shilingi tano nakusaidia ndani ya wiki unakua umepona.
Ugua pole
naomba msaada kiongozi please nateseka sana mda huu
 
Ugonjwa wa kawaida huo penda sana kula vyakula laini itakusaidia pia , mara nyingi vinatoweka tuu ,
 
Pole sana mkuu

Bila shaka hiyo ni Hemmorhoids au bawasili kwa kiswahili ni ugonjwa unaotokea sehemu ya haja kubwa katika nyama za misuli ya haja kubwa huwa inavimba

Kwa kuangalia hiyo pic yako inaonyesha upande wote wa hiyo misuli ya anus imevimba ina maana hapo hemorhoids yako ipo katika stage ya tatu huwa wanaiita thembosd hemmorhoids yaani vimbe zipo zaidi ya moja

Na kawaida huwa hawafanyi upasuaji kwa vimbe zaidi ya mbili kwa wakati mmoja na ww hapo picha inaonyesha una vimbe zaidi ya moja mean anus area yote imevimba

Kikubwa nenda hospitali doctor atakufanyia uchunguzi then atajua kama ufanyiwe surgey au akupe dawa za kupakaa na vidonge na ushauri wa lishe bora

Kikubwa watu wengi wasichokijua ni huu ugonjwa huwa unaweza kuisha au kupona wenyewe kwa kuzingatia lishe kama mboga mboga kwa wingi matunda kama papai,parachichi,maembe

Unapokuwa na huu ugonjwa usitumie
*chumvi nyingi
*kahawa
*chai
*vyakula vya ngano
*soda/pombe
*nyama nyekundu,pilipili

*maziwa
-maziwa huwa baada ya kuyanywa yakishafika tumboni baada ya masaa hubadilika na kuchacha na kutengeneza acid ambayo huenda kuamsha vimbe au kuleta maumivu makali kwenye hizo vimbe

Kamwone dk kwanza ila kwa hali yako sidhani kama utashauriwa kufanya surgey hapo utapewa dawa za kupakaa kwanza na ushauri wa vyakula bora

Kumbuka*

Usitumie dawa ya anusol zaidi ya siku 7, ukitumia zaidi ya hapo itakuletea madhara makubwa ambayo yatapelekea upate maumivu na vimbe zaidi katika sehem ya anus area
dah ahsante sana kiongozi, kwa kweli nimefarijika sana na ushauri wako..lakini naomba niulize vyakula kama wali nayo kwa sasa naweza kustop?
 
Back
Top Bottom