Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Haemoroids=bawasili.Nilisha ugua hiyo kitu.Wakati wa haja kubwa vinauma sana na kutoa damu.Nilifanyiwa oparesheni bugando hospital Mwanza.Oparesheni yake inauma sana sana sana.Ila kwa sasa nimepona kabisa.Kwa kisukuma inaitwa Mang'ondi
Inasababishwa na nn?
 
3630e257e148f2fa53a24337f5f42662.jpg


Mkuu tafuta hii dawa inauzwa Tsh.3500/=(elfu tatu na mia tano tu)
Inapatikana karikoo stand ya daladala za Tegeta nyuki kwenye maduka ya dawa za kissunnah.

Itakusaidia sana na maumivu yatakwisha kabisa biidhni'Llah
Psyllium husk inatumika kwenye upishi hasa kubind vitu kama vile gelatine machef wanaijua,psyllium husk inasaidia kwenye digestion pia.Ukitaka kubind kitu bila gluten yaani ngano unatumia hii,na ukitaka kubind kitu bila kutumi gelatine ambayo ni meat product unatumia hii.Duka hilo ni gali,arusha casha and carry ni 2500/-
 
Una akili za kipuuz naweza sema ivyo...kwan mm nimekosea kusema yy yuko wapi nimsaidie ..au kusema msaada siku hz ni pesa acha ufamba mkuuu
Sema dawa atumie unamuuliza yuko wapi,haya yuko chooni sasa hivi huko karagwe.Msaidie sasa.
 
Sema dawa atumie unamuuliza yuko wapi,haya yuko chooni sasa hivi huko karagwe.Msaidie sasa.
Au unataka ww ukatumie useme usaidiwe ..tatizo unajikuta mjuaji kumbe ovyo tyuu ww ata nikwambia tafuta muoshafedha ujui kitu ..mm na akiba ya. Iyo dawa ningeweza msaidia akajarbu na yy ...ila ujuaji tuu aya mpe ww sasa
 
shetani mkubwa wewe, huna hata adabu, mapepo yako na majini yako peleka huko huko usilete upumbavu kwenye mambo ya msingi....shetani we mssyyyuuuuuu......


yaaani ungejua ulivyonikera natamani nikuone nikumalizie hasira zangu.
Punguza hasira mkuu unaumwa nguvu za ugonvi unazitoa wapi?afu kusonya sio tabia ya kiume usiirudie tena kufanya hivyo.
 
Au unataka ww ukatumie useme usaidiwe ..tatizo unajikuta mjuaji kumbe ovyo tyuu ww ata nikwambia tafuta muoshafedha ujui kitu ..mm na akiba ya. Iyo dawa ningeweza msaidia akajarbu na yy ...ila ujuaji tuu aya mpe ww sasa
Kwani ukisema unayo na ukasema jina lake hawezi kununua amekwambia?we sema dawa usinikomoe mimi siumwi ugonjwa huo mpaka sasa nashukuru mungu.
 
si uelezee humu kwa faida ya wengine hata kama sio sisi hata majirani na ndugu pamoja na marafiki tunaweza kuwasaidia
Ni kweli ndugu ili kuondoa kadhia Ya huku Pm ni nzuri na wote waliokuja nimewaelekeza bila hiana.
GF wakati mwingine unaweza uliza au kuomba jambo la maana anayeanza Ku Comment akiropoka/dhiaka wote watu kama 10 watafuta mkumbo huo.

Mm mwenyewe ni Muhanga wa jambo hili,nilisha wahi omba msaada Baba yangu anaumwa nikaambiwa nimeleta promo ya Dawa.
Fwatilia nyuzi nyingi huku utalibahini hilo.
Nawapenda wote na kuwaheshimu sikufunzwa matusi,ili niepuke hayo ndio maana nikaonelea kukutana Pm.
Asante
 
Kwani ukisema unayo na ukasema jina lake hawezi kununua amekwambia?we sema dawa usinikomoe mimi siumwi ugonjwa huo mpaka sasa nashukuru mungu.
Dawa ni ya kienyeji ataitafutia wapi na dawa za kikurya na tofauti na dawa za kimasai acha uswahili na ujuaji mkuuu ..na km uumwi unashadadia nn sasa ..unajua yaan ata nashangaa naishia kufurahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MKUU POLE SANA.KAMA WEWE NI MKRISTO(HATA KAMA NI WA DINI NYINGINE) NAKUSHAURI UENDE LAGOS(NIGERIA) KWA PROPHET T.B.JOSHUA.ATAKUOMBEA NA UTAPONA KABISA.UKISHAAMUA NITAFUTE KWA NO.0682 770 346 KWA MAELEKEZO ZAIDI.GHARAMA YA KWENDA HUKO(RETURN TICKET,MALAZI KWA SIKU 7,PAMOJA NA CHAKULA) NI USD 1,500.
Nchi hii bado inahitaji ukombozi wa kifikra!unajua gharama za tiba yake kwa upasuaji?haizidi laki 2!unapona kabisa!Leo hii kuna mtu anashauri alipe 1500 USD kwenda kutapeliwa huko Nigeria![emoji22]upumbavu utatuisha lini?[emoji22] [emoji22] [emoji32]
 
Ni kweli ndugu ili kuondoa kadhia Ya huku Pm ni nzuri na wote waliokuja nimewaelekeza bila hiana.
GF wakati mwingine unaweza uliza au kuomba jambo la maana anayeanza Ku Comment akiropoka/dhiaka wote watu kama 10 watafuta mkumbo huo.

Mm mwenyewe ni Muhanga wa jambo hili,nilisha wahi omba msaada Baba yangu anaumwa nikaambiwa nimeleta promo ya Dawa.
Fwatilia nyuzi nyingi huku utalibahini hilo.
Nawapenda wote na kuwaheshimu sikufunzwa matusi,ili niepuke hayo ndio maana nikaonelea kukutana Pm.
Asante
Asante mkuu nimeelewa.
 
Dawa ni ya kienyeji ataitafutia wapi na dawa za kikurya na tofauti na dawa za kimasai acha uswahili na ujuaji mkuuu ..na km uumwi unashadadia nn sasa ..unajua yaan ata nashangaa naishia kufurahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaa na dawa yako huko vijijini.
 
Kaa na dawa yako huko vijijini.
Umepanik mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwe na usiku mwema maana hapa tukituma live location unaweza jikuta ww ndio huko kijijin au uswahilini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umepanik mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwe na usiku mwema maana hapa tukituma live location unaweza jikuta ww ndio huko kijijin au uswahilini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa za kienyeji zinatoka vijijini mjini zinaletwa na wanakijiji.
 
Back
Top Bottom