Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Pata tiba haraka, kuna katoto kajirani yangu kameaga dunia juzi kwa ugonjwa huo, ulikasababishia upungufu wa damu. Hakikisha unawahi hospitali
 
Mimi pia ilinisumbua sana kama miaka miwili ila nilipo tumia dawa ya meno ikapona kabisaa maana usiombe ukawa na hii kitu afu upate haja ngumu utamwaga dam kama umetoka kujifungua
Dawa ya meno hii
 
Kuna mti unaitwa mlonge jaman, kama mtu anashida hiyo ajaribu kunywa mlonge, achemshe majani yake anywe tena anywe kwa wingi, siku moja tu maumivu yatapungua na matumaini atayaona
Ni majani pekee
 
Hii issue ni serious case.
Kuna ndugu yangu hawezi kukaa kwa zaidi ya dakika tatu,miezi kadhaa sasa. Analalamika kuna uvimbe mkubwa sana so akikaa unapasuka na kutoa damu. Hizo enusol zote kamaliza, aloevera nayo katumia sana.

Naomba mtoa mada atoe ufafanuzi vizuri jinsi ya kutengeneza hii dawa.
Mimi mwenyewe naona dalili kama kauvimbe kanaanza anza hivi.
nenda duka la dawa za asili nunua hii dawa inaitwa ZAIN Bawasir ukitumia effectively ndani ya siku 3 uvimbe utapungua mpaka kumaliza wiki unasahau kbs trust me

yalinipata hayo mauvimbe mwaka juzi mpka leo yamenikoma
 
Bawasili ni ugonjwa mbaya sana wa kudhalilisha kibaya zaidi umeshamiri sana zama hizi hasa kwa vijana hauchagui kijana wala mzee kutokana na life style mbovu,Nauogopa sana ,mgonjwa wa hatua za awali ajitahid kula matunda kulainisha choo mfano,papai,parachichi,maembe yakuiva,ndizi na juice zake ,pia cabbages na maji mengi wastan wa sichin ya lita3 kila siku kwa miez sita angalau kutegemea na ukubwa wa tatzo,atapona..usitumie nguvu sana kusukuma haja kipndi chote utapona...mungu niepushe bawasili !!!
 
[emoji256] *BAWASIRI/MGOLO* [emoji256]
[emoji298]Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
[emoji298]Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
[emoji298] Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids

[emoji261]AINA ZA BAWASIRI[emoji261]
[emoji117]1⃣ BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
[emoji117]2⃣BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
[emoji298]Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
[emoji117]Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
[emoji117]Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
[emoji271]BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?[emoji271]
[emoji117]Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
[emoji117]Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
[emoji117]Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
[emoji117]Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
[emoji117]Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
[emoji117]Kuharisha sana kwa muda mrefu
[emoji117]Kutumia vyoo vya kukaa
[emoji117]Kunyanyua vyuma vizito
[emoji117]Mfadhaiko/stress
[emoji117]Uzito na unene kupita kiasi.

[emoji271]DALILI ZA BAWASIRI[emoji271]
[emoji117]Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
[emoji117]Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
[emoji117]Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

[emoji263]ATHARI ZA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298] Upungufu wa damu mwilini
[emoji298] Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
[emoji298]Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[emoji298]Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
[emoji298]Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[emoji298]Kupata tatizo la kisaikolojia

[emoji263]NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298]Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
[emoji298]Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
[emoji298] Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
[emoji298] Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

[emoji259]DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA BAWASIRI [emoji259]
Ili kupata dawa asili ya kukutibia maradhi hayo unaweza wasiliana nami.

Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
www.sangidaherbal.blogspot.com
+255 655 821 550
Sulayman Sangida

umeeleza yote haya lakini kutoa ushauri wa dawa umeshindwa mpaka akupigie simu hapa nasisi ambao sio wagonjwa tutapata faida elezea dawa ipi na ipi au afanye nini
 
nikumbushe baadae nitakupa dawa niiliandika sehemu mimi niliwahi kutumia na nikapona ni dawa za kizungu zinapatikana pharmacy lakini bongo hamna wanaokwenda dubai watakuletea ni dawa nzuri
 
nikumbushe baadae nitakupa dawa niiliandika sehemu mimi niliwahi kutumia na nikapona ni dawa za kizungu zinapatikana pharmacy lakini bongo hamna wanaokwenda dubai watakuletea ni dawa nzuri
Daah na mimi inanisumbua nikijisaidia hadi damu inatoka
 
nikumbushe baadae nitakupa dawa niiliandika sehemu mimi niliwahi kutumia na nikapona ni dawa za kizungu zinapatikana pharmacy lakini bongo hamna wanaokwenda dubai watakuletea ni dawa nzuri
mkuu iyo dawa kwanini hadimu ivo
 
Wana Jf nina tatizo la muwasho sehemu ya haja kubwa kwa kipindi kirefu, nadhani ni tangu 2009 nilipoenda hospitali dakari alisema ni Fungus so akanipatia dawa lakini wapi, hali hiyo imekuwa ikanza na kuacha sasa mwaka jana nilienda hospitali moja doctor akanifanyia uchunguzi akakuta ni Bawasiri lakini bado ni ndogo. Hivyo akiandikia vidonge vyaAnusal suppository nikatumia lakin hali ndo ikachachamaa. Nikaamua kuachana navyo, nikaenda herbalistic moja nikapewa dawa za kuchemsha na kuweka kwenye uji nikatunia karibu mwezi, lakini wapi. Nikapewa vindonge flani wanasema vinatoka india vinaitwa PILOSS kwa ajiri ya Bawasiri nikatumia miezi miwili lakini havijanisaidia. Muwasho umepungua lakini bado nikienda haja kuna dalili ya uvimbe kutokeza kidogo.

Naombeni ushauri najua huku watalaamu mpo wengi.
 
Nitafute kama unahitaji dawa, ndani ya wiki moja hizo vimbe hutokaa uzione tena

Na baada ya kupona zingatia yale mambo yaliyokupelekea kupata hizo vimbe ili uonjwa usije ukakurudia tena
 
Wana Jf nina tatizo la muwasho sehemu ya haja kubwa kwa kipindi kirefu, nadhani ni tangu 2009 nilipoenda hospitali dakari alisema ni Fungus so akanipatia dawa lakini wapi, hali hiyo imekuwa ikanza na kuacha sasa mwaka jana nilienda hospitali moja doctor akanifanyia uchunguzi akakuta ni Bawasiri lakini bado ni ndogo. Hivyo akiandikia vidonge vyaAnusal suppository nikatumia lakin hali ndo ikachachamaa. Nikaamua kuachana navyo, nikaenda herbalistic moja nikapewa dawa za kuchemsha na kuweka kwenye uji nikatunia karibu mwezi, lakini wapi. Nikapewa vindonge flani wanasema vinatoka india vinaitwa PILOSS kwa ajiri ya Bawasiri nikatumia miezi miwili lakini havijanisaidia. Muwasho umepungua lakini bado nikienda haja kuna dalili ya uvimbe kutokeza kidogo.

Naombeni ushauri najua huku watalaamu mpo wengi.

Ni PM
 
Back
Top Bottom