Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Uhamiaji ni taasisi ya kipuuzi sana eti unaenda kufanya nini, wakati nikiwa na passport muda wowote nasafiri .
Kwanza nchi hii siipendi kwasababu ya haya mambo na wala sina uzalendo nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watakudai uthibitisho wa safari kama utawaambia unaenda kufanya shughuli maalumu - invitation ya mkutano, admission letter ya shule, medical treatment etc. Sina uhakika sana kama kukudai hivyo vitu is to your advantage ili wakupatie passport haraka ama la. Lakini ukiwaambia ninajiandaa kwa mfano kwenda safari binafsi tu hapo Uganda hawatakudai chochote kuhusu safari zaidi ya those other key supporting documents. Nina uhakika 200% na hiki ninachokisema.

All in all, passport hi haki ya kila raia na hakuna evidence kuwa kuna Mtanzania yeyote amewahi kunyimwa passport kwa kushindwa tu kuelezea vizuri madhumuni ya safari yake. Kimsingi Uhamiaji wala hawaconcentrate saaana kwenye madhumuni ya safari, zaidi huwa wanataka uthibitisho wa uraia na mara nyingi wale wanaotokea mipakani (Kigoma, Ngara etc) usumbufu wake huwa ni mkubwa zaidi.
Kwa hiyo Mfano nataka kufanya mitihani ya British council online na wanataka niwe Na passport nikiomba passport Nitatakiwa niandike kuwa madhumuni ya safari natarajia kusafiri kwenda uingereza online au? Ili wanipe
 
Baadhi ya wateendaji serikalini hovyo na wanafanya kazi Kama miroboti tu wakiwemo wa kitengo Cha passport

Nakumbuka Kuna kipindi kabla ya vyama vingi kwenda Zanzibar ulikuwa lazima uende na passport utake usitake.Na unagongewa visa ya kuingia Zanzibar .

Mtu binafsi ndiye alibadili Hilo anaitwa Mchungaji Mtikila.

Vyama vingi vilipoanza ilitakiwa kwa Sheria ya vyama iliyopo Hadi sasa kuwa ili Chama Chako Cha siasa kisajiliwe inatakiwa kuwa na wanachama Tanzania bara na Zanzibar.Mtikila akasajili wanachama Tanzania bara akagoma kwenda kusajili Zanzibar akasema kule Ni nchi nyingine ambayo kuingia lazima uende na Passport na Visa akasema hayuko tayari kusajili raia wa nchi nyingine kuwa wanachama wa Chama ili asajiliwe

.Akasema kwenda uingereza unahitaji passport na Visa inawezekanaje Chama kisajil raia Mfano wa uingereza kuwa wanachama wa Chama Tanganyika? Akaenda mahakamani passport zikafutwa na visa za kuingia Zanzibar zikafutwa

Msajili wa vyama akaona Ni kweli.Uhamiaji ndipo wakaamka usingizini na kufuta habari ya kwenda Zanzibar na passport!!!!

Hili la wao pia kudai vitu vinavyodaiwa mtu akiomba visa ubalozini kuvifanya ndio vigezo vyao vya kumpa mtu passport bado wako usingizini wanakoroma wakifanya kazi kea mazoea.Wanahitaji wa kusaamusha kuwa ohhhh you uhamiaji wake up acha kufanya kazi kwa mazoea!!!!
Mtikila alikuwa na akili nyingi na jasiri sana.
Bahati mbaya watanzania wengi hawawezi kuwaelewa watu aina ya Marehemu Mtikila.

R.I.P Reverend Christopher Mtikila
 
Kwa hiyo Mfano nataka kufanya mitihani ya British council online na wanataka niwe Na passport nikiomba passport Nitatakiwa niandike kuwa madhumuni ya safari natarajia kusafiri kwenda uingereza online au? Ili wanipe
Nyie ndio mnaocomplicate maisha yenu kindezi. Yaani uandike barua ya maombi ya passport useme eti "ninaomba kupatiwa passport ili nikafanye mtihani online British Council"!?

Kwa kuwa Uhamiaji wanauliza swali hilo, wewe wajibu kitu simple tu kuepusha follow-up questions and the need to provide evidence especially pale ambapo hiyo evidence huna. Ukiwaambia ninaomba passsport ili kwa mfano "niende zangu kwa Kagame hapo kula bata privately" maswali yanaishia hapo
 
Gharama za hati ya kusafiria ni laki moja na nusu.
 
Vibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukifanya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?

Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba

Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu si ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa wewe ni mchapakazi?
umeongea kwa uchungu na hasira sana mkuu
 
Hawa jamaa ku..ma**e. Wanafanya kazi kikoloni kabisa.

Jamaa yngu alienda na passport yake mkononi aliyopewa na jamaa haohao miaka kama 10+ iliyopita lakini maswali aliyoulizwa ni kama HAJAWAJI KAMWE kumiliki passport au HATAKIWI KABISA kumiliki passport. pumbaff kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We bana Wewe, usidhan vitu ni virahisi kiasi icho, passport kwanza ingekua mm kila mwaka ungekua unatoa statement ya matumizi yake! Tatizo letu wengi tunafikiria kwa kutumia hisia,

Inamaaana kila MTU akiwa na passport mkajazana nchi flan pale border mwishowe mkajulikana watanzania wengi wana access ya passport na tayar kuna matukio yamefanyika sio chini ya mara moja hio tayar inatosha kupigwa ban hio nchi, na vipi wanaofanya shuhuli za maana kwenye hizo nchi? Kama biashara ama wameajiriwa?! Huoni umewaharibia kisa mawazo kama yako

Kuna uwezekano mkubwa unatumia mawazo kama ya wapinzani ndo maana umekuja na mada kama hii
 
Ulichoandika kinaonyesha kichwani kwako uko mweupe.Kule Kuna serikali,Polisi na mahakamani pia utashughulikiwa ukikosea huko huko

Kwa hiyo mumejibesha jukumu.la Polisi na mahakama ya dunia uwiii mbavu zangui Mimi.Hamuamini nchi zingine kuwa Ziko vizuri kupambana na wahalifu?

Mambo ya kimataifa yanatakiwa kuaminiana Mfano wewe umempa mtu passport anaenda marekani.Wewe hujampa Visa ya kuingia Marekani unaogopa Nini?

Wao ndio waliompa baada ya kujiridhisha wenyewe kuwa Ni mtu Safi.Sasa akiuza bangi kule wewe yanakuhusu Nini wewe hukumpa visa .Hata ukihojiwa unasema Mimi nilitoa passport sio visa
Lakini ukijitia ohhh mimi najua aliniambia anakuja huko na ushahidi fomu hii hapa aliyojaza Ina maana akidakwa na madawa ya kulevya wewe ndio mbeba lawama Kama facilitator kwa kukiri Mwenyewe


Nchi nyingi Wana avoid Hilo kuepuka
Hilo.Wewe toa passport usiulize anaenda nchi gani kufanya Nini sukumia Risk ubalozi unaotoa Visa


Tatizo sio kuingia nchi flan tu, hio over access ya passport tayar unkua ushaleta majanga, hata kama kuna polisi unavosema ni rahisi sana kupigwa marufuku kuingia nchi flan wakiwa suspicious hata na kitu kidogo! Na kuna watu wanafanya issue za Maaana, we hata nkikuuliza untaka passport ya nini huna ata cha Maaana cha kusema
 
We bana Wewe, usidhan vitu ni virahisi kiasi icho, passport kwanza ingekua mm kila mwaka ungekua unatoa statement ya matumizi yake! Tatizo letu wengi tunafikiria kwa kutumia hisia,

Inamaaana kila MTU akiwa na passport mkajazana nchi flan pale border mwishowe mkajulikana watanzania wengi wana access ya passport na tayar kuna matukio yamefanyika sio chini ya mara moja hio tayar inatosha kupigwa ban hio nchi, na vipi wanaofanya shuhuli za maana kwenye hizo nchi? Kama biashara ama wameajiriwa?! Huoni umewaharibia kisa mawazo kama yako

Kuna uwezekano mkubwa unatumia mawazo kama ya wapinzani ndo maana umekuja na mada kama hii
Waelezee hao vilaza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndio mnaocomplicate maisha yenu kindezi. Yaani uandike barua ya maombi ya passport useme eti "ninaomba kupatiwa passport ili nikafanye mtihani online British Council"!?

Kwa kuwa Uhamiaji wanauliza swali hilo, wewe wajibu kitu simple tu kuepusha follow-up questions and the need to provide evidence especially pale ambapo hiyo evidence huna. Ukiwaambia ninaomba passsport ili kwa mfano "niende zangu kwa Kagame hapo kula bata privately" maswali yanaishia hapo
Ok kwa hiyo kwa watu wa dini wasiopenda uongo wanaotaka kwenda mbinguni au peponi wanatakiwa kuongopa ili wapate passport?

kwa hiyo kitengo Cha passport ni wakala wa shetani wa kuwakosesha watu passport kuwa usipomkubali shetan boss wa kitengo Cha passport ikwa kusema uongo na kumsujudia hupati passport.?

Kuwa lazima umsujudie shetani mkuu wa kitengo Cha passport na kukubaliana na anachotaka uongope ili wakupe passport?

Kitengo Cha passport Ni idara ya shetani? Ni Kiwanda Cha kuzalisha watu wa kwenda jehanamu?
 
, we hata nkikuuliza untaka passport ya nini huna ata cha Maaana cha kusema
Hayakuhusu naweza kuitaka hata for prestige tu kuwa Nina passport wewe kinakuuma Nini? It is non of your bussiness.Wewe nipe passport mengine niachie mwenyewe
 
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Umeambiwa ndiyo mwisho wa kutoa hizo passports?Kwani kutoa passports ni sawa na kwensa kununua vocha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok kwa hiyo kwa watu wa dini wasiopenda uongo wanaotaka kwenda mbinguni au peponi wanatakiwa kuongopa ili wapate passport?

kwa hiyo kitengo Cha passport ni wakala wa shetani wa kuwakosesha watu passport kuwa usipomkubali shetan boss wa kitengo Cha passport ikwa kusema uongo na kumsujudia hupati passport.?

Kuwa lazima umsujudie shetani mkuu wa kitengo Cha passport na kukubaliana na anachotaka uongope ili wakupe passport?

Kitengo Cha passport Ni idara ya shetani? Ni Kiwanda Cha kuzalisha watu wa kwenda jehanamu?
😊😊😜😜😜😜😜😜. This is beyond the scope of this thread I guess...
 
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Katika yote kwenye muchakato wa kutafuta passport hamna kinacho nikera kama kulazimisha mtu kuwa na majina matatu eti la ukoo la kwake na la baba......jamani watazania hatufanani kila mtu sio kwamba Ana baba ake au anapenda kutumia jina la baba ake au babu ake, plz uhamiaji tubadilike mtupe nafasi kutumia majina yetu tunao penda sio kunilazimisha tumia jina la babu yangu ambaye alikua mlevi mchawi mwenye husda kali nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ni ya mazuzu hatari.. [emoji23]
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni msehenzi haswa, unyeti upi..?? gharama zipi hizo passport ina teknolojia ipi hiyo mpaka izidi au kufikia laki 2, zaidi ya chip..?

Ni upuuzi kutoelewa umuhimu wa kuwapatia wananchi haki ya kupata passport.
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom