Na bado simmekubalikuburuzwa na Beberu mkuu,pambaneni na hali yenu🥱Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanunianaView attachment 2392795View attachment 2392796
Alisema she is not the quitter,but a fighter .Sasa ametokea kuwa a quitter😂😂Siyo kusuta. Kusuta kwa maana ya uswazi siyo huku.
Huko Wana akili timamu sio huku
Mashetani yaliyowatesa wanadamu yanarukaruka na kukanyagana kwa taharuki
Waongee na Putin Tu wayamalize. Hii vita itawang'oa wengi bado France
Miafrika[emoji3][emoji23][emoji23]bhana inapenda madaraka wakati kuongoza Ni ziro
Sasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
RUSSIA kamatia hapo hapo
Kweli kabisa. Unajua ni kwa nini wanapenda madaraka? Kwa sababu kuwa kwenye madaraka kwa mwafrika ni kutumbua maisha. Ingekuwa wanawajibika ipasavyo wasingeng'ang'ania kwani kazi yoyote huchosha.
Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanunianaView attachment 2392795View attachment 2392796
Putin side effects. Wamalizane na jamaa kistaarabu, na bado viongozi wengine wa ulaya watajiuzulu tu.
Nikikumbukaga wale walokua wanasema Putin atatolewa madarakani na raia wake sasa yamekua kwao wenyewe.
Amevuka the magical number “40 (arobaini)” kwa siku tano. What does it mean?Naona demokrasia ya Uingereza imekomaa mpaka imeanza kuharibikia shambani.
Warusi wa kwa mtogole bwanaaa, mmejaza funza kichwani...Waongee na Putin Tu wayamalize. Hii vita itawang'oa wengi bado France
Na sisi tutengeneze mifumo ya aina hiyo badala ya kutegemea watu tu.Sawa, ila aina hii ya siasa ukiileta bongo mtashangaa mtakavyokuwa kama Somalia. Niamini stability ni kitu cha muhimu sana. Hao wangereza wanaafford kujiuzulu na kubadilishana kiholela hivyo kwa sababu kuna mifumo mingine inayowabeba.
Najua,namaanisha kumbe hana kifua,yaani koromeo mzee mwenzanguNi mwanamke
Wenzetu wanaojua kuwajibika na kuwajibishana
Naona Putin amewavuruga kweli kweli! Ni mchana tu wa leo nilimsikia kupitia DW akiapa kutojiuzulu!