Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Hivi huwa anasema Tanzania ya Viwonder au Viwanja?
 
Morocco sio wajinga, akikupa x, jua anamejipanga kuchukua 100x kutoka kwako.
 
Tatizo sio uwanja wa wapi......kupata mchoro ni kitu muhimu na kizuri kwanini usiigee hata Ramani za Nyumba ukichunguza ni watu walisha Jengaaa.....kutumia picha ya uwanja wa Ujerumani sio kosaaa......kikubwa Uwanja huo utakuwa kwetuu basiiii

Rais kusimamia sio shida sababu watu ni wapigaji sana wa hela kwani hamkuona ya uwanja wa Taifa.....uwanja utaisha mapema na kwa viwango vizuri watu wengine kila alifanyalo magufuri wao ni baya
 
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

View attachment 505081

“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
Hivi viwanja bila kua na mpango madhubuti wa kujenga timu yenye kua na ushindani level ya juu naona kama hazina maana, kwa viwanja vilivyopo na sisi kuanzia klabu na timu ya taifa kua wasidikizaji inatosha....binafsi naona waziri wa michezo angekaa chini na wadau siasa pembeni na kutuletea dira ya soka ya kueleweka sio kuleta viwanja na akina Maximo...lini tutanivunia Taifa Stars wakiwa Kombe la Afrika au Kombe la Dunia...tuache short cuts n short fix turudi.kwenye drawaing board tutoke na master plan ya soka naamini inawezekana
 
Morocco sio wajinga, akikupa x, jua anamejipanga kuchukua 100x kutoka kwako.

Kwa hiyo raisi akatae ofa ya uwanja?? hzi akli za chooni taabu sana....Magufuli anatakiwa aiburuze sana hii nchi
 
picha hiyo ni olympic stadium iliyoko ujerumani
 
Hiyo picha ni ya uongo maana huo ni uwanja wa Ujerumani. Ila kumbukeni pia hospitalini hakuna dawa za kutosha.
 
Safi sana lakini wasiweke njia za kukimbilia kama huu wa Dar huwa zinafanya uwanja kuwa mbali sana na majukwaa hivyo watazamaji kutowaona vizuri wachezaji. Kwa uwanja wa Dar hakukuwa na haja ya kuweka njia za kukimbilia wakati uwanja wa shamba la bibi upo na una hizo njia za kukimbilia.
 
Safi sana lakini wasiweke njia za kukimbilia kama huu wa Dar huwa zinafanya uwanja kuwa mbali sana na majukwaa hivyo watazamaji kutowaona vizuri wachezaji. Kwa uwanja wa Dar hakukuwa na haja ya kuweka njia za kukimbilia wakati uwanja wa shamba la bibi upo na una hizo njia za kukimbilia.
mara nyingi viwanja vinavyo jengwa na serekali huekewa njia ya kukimbilia ili kuchezewa michezo ya riadha ya ndani na ya kimataifa na inapunguza garama ya kujenga viwanja vyengine . Unasema wasiweke njia ya kukimbilia na tz ina uwanja mmoja tu wa kukimbilia ukitoa ule wa znz na fodoma sasa ndio mji mkuu . Jee serekali itajenga uwanja maalumu kwa wakimbiaji wetu? Uwanja uliopo dodoma sasa utumike kwa kwa michezo na sherehe za kitaifa.
 
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

View attachment 505081

“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
80m to 100m us dollar mbona ndogo sana?
 
Hiyo ni hatua nzuli kwa maendeleo ya soka la bongo na vikijengwa viwanja hata vitano katika mikoa tofauti kwanza nchi inaweza kuandaa mashindano makubwa kama vile Afcon na Chan na hata ligi yetu pia itakuwa kwani timu za ligi kuu zitaongezeka na hata kuwa chanzo kizuli cha mapato...Raisi ameona mbali nampongeza sana kwa uamuzi wake kwa nimjuavyo akisema jambo atatekeleza that iz a leader en he lead with example
 
Binafsi naukaribisha kwa mikono miwili huo uwanja! Lakini kama suala ni kuomba, hivi hatukua na cha maana zaidi cha kuomba badala ya uwanja wa mpira?! Unless kama Mfalme mwenyewe alitaka kutoa msaada kwenye uwanja wa michezo kinyume chake, natamani hizo takribani 200 billion zingeenda kwenye changamoto zinazoathiri maisha ya mwananchi wa kawaida moja kwa moja!!

Nasikia Dodoma kuna changamoto ya maji kweli kweli... na hili taifa linalohamia huko hiyo changamoto si itakuwa maradufu?! Dodoma wana shule za kutosha kukabiliana na migration ya watu kutoka Dar na maeneo mengine ya nchi?!

Wakati Uwanja wa Taifa unafunguliwa tulikuwa tunadanganyana soka letu litapanda lakini ndo kwanza Mnyama ambae mpira ushamshinda ndo kwanza anakimbilia FIFA kuomba pointi za mezani baada ya kuomba zingine za mezani mwaka 2011 dhidi ya TP Mazembe 😀😀😀😀😀😀!!!!
Dogo tembea uone, Dom siku hiz maji si tatizo kabisa
 
Huu ni uwanja mpya mkuu, sio ukarabati wa Jamhuri.

Kinachonichanganya ni kwa nini Rais hawatumii wataalamu kufanya hizi kazi. CDA ilikwishapima eneo kule Nala (barabara ya Singida) kwa ajili ya huu uwanja. Rais ameenda Dodoma akatoa agizo ukajengwe Nanenane! Hii nchi ni ya ajabu kabisa. Ina maana hajui kuwa eneo limekwishapimwa? Na nini sababu ya kuhamisha? Waiwajibishe basi CDA kwa kosa la kutokuplan vizuri...
Wewe jamaa utakuwa ni miongoni mwa waliokula hasara kwa kununua ardhi nara mkisubiri fidia ya kiwanja cha mpira
 
Dogo tembea uone, Dom siku hiz maji si tatizo kabisa
Yaani nitembee nione na cha kuona chenyewe kiwepo Dodoma?! But all in all, issue hapa ni kwamba Dodoma wana changamoto nyingi zinazoathiri moja kwa moja kwa maisha ya kila siku ya jamii kuliko suala la uwanja wa michezo!!
 
Sipendi zile track za kumbilia kama ni uwanja football iwe soccer tuu haya sijui rede riadha watafutiwe kwingine wasiharibu kama taifa pale..
 
Back
Top Bottom