Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.

Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.

Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni.

Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor, ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Sasa ulitaka tuwe na elimu za madrasa?
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Ila Kusema ukweli Iran wanasapoti Magaidi hilo usikatae mkuu
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Watanzania wengi wana akili mgando kama zako ambazo kila siku wanadhani kile kilichotokea mwaka 1967 kitajirudia na kudhani eti kuna majeshi kutoka nje yanaweza kuitawala Iran ili kuchota mafuta.
Watu wa aina yako huwa wanajiona wana akili sana japo huwa hawana kumbukumbu ya hata kilichoitokea puani Marekani huko Iraq na Afghanistan hivi majuzi tu.Taifa hilo liliingia hasara kubwa kwa tamaa za mali na hatimaye wakakimbia wakiacha silaha zao kwa adui.
 
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.
Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.
Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Kuna taarifa isiyo rasmi yule mtoa taarifa wa hamas aishiyo lebanon bwana Abu obeid ameuawa na mashambulizi ya anga ya israel
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Me naona na wewe ni zero brain kuzani itakua rahisi kiivyo hii ni 2024. Wawindaji na wao wana windwa
 
ujeruman aliukua na akili aliku hitller tu. maana asinge wapunguza hawa viumbe wayahudi kwa idadi ile saahizi kwenye dunia hii sijui ingekuwaje.
Hata ujeruman taari us alishawaeka watu wake kitambo maana hao jamaa ndio waliua Jews wengi kuliko hata pharao wa misri ila saiv wanawalinda
 
Israel wapo vizuri kwenye calculation zake kama ameweza kuwashawishi mataifa makubwa ulimwenguni yawe upande wake licha ya yote anayoyafanya....imefika mahali mataifa makubwa yanaona usalama wa Israel sio suala la kujadiliana bali ni kutekeleza
 
Hivi najiuliza,kama Hamas wangewaachia mateka.Wakaacha kurusha maroketi.Wakajikita kujenga miundombinu,elimu,teknolojia.Wakawa wanaenda kuswali Al Aqsa bila fujo.Wakaanzisha majadiliano ya kibiashara na kidiplomasia na Israel.Shida ingekuwa nini.
 
Hivi najiuliza,kama Hamas wangewaachia mateka.Wakaacha kurusha maroketi.Wakajikita kujenga miundombinu,elimu,teknolojia.Wakawa wanaenda kuswali Al Aqsa bila fujo.Wakaanzisha majadiliano ya kibiashara na kidiplomasia na Israel.Shida ingekuwa nini.
Maamuzi hayo yangekuwa ya kijinga sana wakati ardhi zote ni zao na kwa inavyojulikana Israel haiwezi kuridhika na hilo wangeendelea kuwaibia kila kitu,
Hayo mengine wala hawakusubiri ushauri wako.
 
Hata ujeruman taari us alishawaeka watu wake kitambo maana hao jamaa ndio waliua Jews wengi kuliko hata pharao wa misri ila saiv wanawalinda
tangu vita ile,ujeruman inaogopa au haipendi kujihusisha na vita zisizokua na tija au za lazima. hawataki kuvuluga uchumi wao.
mimi naamini akili za muyahudi mmoja sawa na akili za wajerumani 1000.
ukumbuke muyahudi mmoja aliyetoloka vita wakati wa vita ile ndio aliehamia marekan na ndie alietengeneza nyukilia iliyoteketeza wajapani na kuisimamisha vita ile ya dunia.
hatakama kunaukweli wa wajeruman kuwepo huko ila naamin wayahudi ndio wanaiongoza ujerumani ya leo.kisayansi na tamaduni.
 
Back
Top Bottom