Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Mimi nahisi hata huyu Rais wa iran labda ni pandikizi
Kwanini Raisi alipokufa tu na huyu kuteuliwa mauwaji yakaanza kwa kasi kwa viongozi wengi wa Hamas?

Hii vita ya Iran na Israel sidhani kama itatokea maana mpaka sasa hatujui nyuma ya pazia wanaongea nini na Iran na Israel kwa makubaliano yapi

Mazungumzo ya chini na vitisho huenda yapo kwa maslahi yao
Tusubiri tuone
 
Ni vita ya kusurvive na kujilinda, hilo neno gaidi limewekwa kuwakandamiza tu watu fulani lisikuchanganye sana, hata mandela wakati anatetea taifa lake aliitwa gaidi na aliwekwa kwenye list ya magaidi na nchi za magharibi
Iran anachofanya ni kujaribu kusurvive na sio dini, kwasababu marekani na magharibi wanamuwinda kila kona watoe hii regime ya ayatollah waweke mtu watakaeweza kumcontrol na kulinda maslahi ya marekani kama ilivyo saudi arabia , uae etc
IRan anapigania uhai wake na israel imeanzishwa only kulinda maslahi ya nchi za magharibi middle east ,pitia hotuba ya biden miaka ya 60 huko alisema lazima liwepo taifa la israel ili kulinda maslahi ya marekani ,its just a matter of time before marekani na washirika wake kuivamia iran maana ndio kikwazo kilichobaki middle east kwengine kote wana control wao hao dini inatoka wapi? Marekani na mambo ya dini wapi na wapi
Sikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.
 
Sikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.
Ukweli ni huo huwezi kupigana na nchi za magharibi ambazo zina mikataba ya kupigana kwa pamoja its impossible ,iran hawezi kushinda vita hivyo
Uk, marekani, france,italy ,germany spain etc
Huwezi kupigana nao kwanza wana budhet kubwa sana za silaha na vita, huku iran kawekewa vikwazo kwa zaidi ya 50 years
Ussr ishasambaratishwa atleast ilikuwa threat kwa nchi za magharibi ,russia wanamchosha kwa vita na ukraine ni ngumu kuja kuisaidia iran successfully ,sioni iran akitoboa
 
Sikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.
Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi gani

Badala ya vita
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Iran kusapoti ugaidi ndio sawa!!!
 
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.

Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.

Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Ndugu Israel nilikuwa nawambia siku zote hapa hawa wafuasi wa Paulo hajawahi pigana na warabu bila kusaidiwa na America. Western na nchi za kiarabu haswa hio Jordan ndio alikuwa akitoa siri vipi warabu wamejipanga. Siku hizi nchi ambazo zilikuwa zinamuita Israel adui, wa kwanza UAE ndio kawa kipenzi kikubwa cha Israel. Saud Arabia siku zote yuko na Israel isipokuwa yule King Faisal ndio alikuwa hayuko kabisa na Israel wakamua kwa kutumia mtoto wa ndugu yake hao America.

Sadat aliwahi kusema mimi sipigani na Israel napigana na America, UK, France, Italy, Germany na mataifa mengi tu ya ulaya, warabu wakamkasirikia ukweli ndio huo Israel kapandikizwa tu lakini hapigani yeye.

Wachana nao hata wajikusanye Europe nzima siku hizi ni Missiles na Drones ndio zinaongea. Zamani waliwaonea warabu na waislam kila kitu kilikuwa kinatoka kwao, siku hizi Missiles na Drones warabu na Waislam wanatengeneza wenyewe.

Afu usitishike na mbwebwe zao hao America na Western wakisukumiwa Missiles huko Germany watandamana hawamtaki chancellor
 
Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi gani

Badala ya vita
Wa iran ni wabishi wale jamaa maana kwa vikwazo walivyo wekewa ingekua nchi lege lege ingekua imejichokea km somalia.Naona kwa sasa wamechoka wameamua lolote liwe wamechagua vita.Mm nauhakika Iran itachapwa vibaya sana.
Ukweli ni huo huwezi kupigana na nchi za magharibi ambazo zina mikataba ya kupigana kwa pamoja its impossible ,iran hawezi kushinda vita hivyo
Uk, marekani, france,italy ,germany spain etc
Huwezi kupigana nao kwanza wana budhet kubwa sana za silaha na vita, huku iran kawekewa vikwazo kwa zaidi ya 50 years
Ussr ishasambaratishwa atleast ilikuwa threat kwa nchi za magharibi ,russia wanamchosha kwa vita na ukraine ni ngumu kuja kuisaidia iran successfully ,sioni iran akitoboa
Atoboe wapi Iran🤣🤣naona waajemi wamechoka tu wameamua liwalo na liwe na wanajua kabisa outcome yake ila naona wameona bora gari liende.Si mda mrefu oale Iran patakua na magofu ya kutosha kama syria.
 
Watanzania wengi wana akili mgando kama zako ambazo kila siku wanadhani kile kilichotokea mwaka 1967 kitajirudia na kudhani eti kuna majeshi kutoka nje yanaweza kuitawala Iran ili kuchota mafuta.
Watu wa aina yako huwa wanajiona wana akili sana japo huwa hawana kumbukumbu ya hata kilichoitokea puani Marekani huko Iraq na Afghanistan hivi majuzi tu.Taifa hilo liliingia hasara kubwa kwa tamaa za mali na hatimaye wakakimbia wakiacha silaha zao kwa adui.
Iran ina nini cha ziada, Iraq ilisifiwa kweli mpaka tukajua huenda ikaitawala dunia . Cha ajabu siku 23 watu wako Bagdadi. Baada ya miezi nane mzee akafukuliwa kwenye shimo chafu. Nilijiuliza maswali mengi.

China na ukubwa wake na uchumi mkubwa hajathubutu kunyanyua kifua kwa wakubwa. Ogopa nchi haina hata uwezo wa kutengeneza spare part ya ndege au helcopta na viongozi wake wanategemea nchi za magharibi ambao ni mahasimu wake.

Tusishabikie vita . Iran itulie kama China ilivyotulia. Isijiingize kwenye kutafuta kuwa superpower Asia kwani itapotea mazima. Wana nafasi ya kukua kama watatuli na kujiimarisha kitechnolojia
 
Israel aendelee tu na operation zake maana hakuwahi kupendwa na maadui na wala hato pendwa hata akiwaonea huruma maadui zake.. issue ya kusimamisha vita ni maadui tu wamezidiwa huruma za Israel hazitomsaidia zaidi watajigamba kuwa Israel kazidiwa.. wahuni si watu wazuri
 
Hivi najiuliza,kama Hamas wangewaachia mateka.Wakaacha kurusha maroketi.Wakajikita kujenga miundombinu,elimu,teknolojia.Wakawa wanaenda kuswali Al Aqsa bila fujo.Wakaanzisha majadiliano ya kibiashara na kidiplomasia na Israel.Shida ingekuwa nini.
Wangekua wanaenda kinyume na maagizo ya mtume na kile kitabu chao, maana wameagizwa kuuwa wayahudi popote pale walipo.
 
Wa iran ni wabishi wale jamaa maana kwa vikwazo walivyo wekewa ingekua nchi lege lege ingekua imejichokea km somalia.Naona kwa sasa wamechoka wameamua lolote liwe wamechagua vita.Mm nauhakika Iran itachapwa vibaya sana.

Atoboe wapi Iran🤣🤣naona waajemi wamechoka tu wameamua liwalo na liwe na wanajua kabisa outcome yake ila naona wameona bora gari liende.Si mda mrefu oale Iran patakua na magofu ya kutosha kama syria.
Iran sio nchi ndogo
Kimbuka iran ni mara mbili ya population ya Iraq lakini Iraq ilivamiwa na dunia nzima, nchi kubwa zote zilimchangia na ardhi za waarabu wengine zilitumika pamoja na bahari zao kwa manowari kubwa kubwa

Iran kama unavyoona German ameongea kuhusu kumtetea Israel kwani wanajua wakiwaacha wawili watamalizana vibaya
Jordan anasema atatungua makombora yanayoenda israel ila haoni kuwa vita itageukia kwake na makombora yatashuka kwake na uchumi wake kudorora
Mkuu vita sio mchezo hata wao wazungu wanajua uchumi wa Dunia utayumba ingawa kuna wakati Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema sisi hayatuhusu kiuchumi ila yaliyotokea aliona aibu kulipngelea tena
 
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.

Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.

Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.

Kwani yule mungu wao aliyewateuwa yuko wapi ?? au mungu wapo mpya ni mmarekani , muingereza na mjerumani ??
 
Iran sio nchi ndogo
Kimbuka iran ni mara mbili ya population ya Iraq lakini Iraq ilivamiwa na dunia nzima, nchi kubwa zote zilimchangia na ardhi za waarabu wengine zilitumika pamoja na bahari zao kwa manowari kubwa kubwa

Iran kama unavyoona German ameongea kuhusu kumtetea Israel kwani wanajua wakiwaacha wawili watamalizana vibaya
Jordan anasema atatungua makombora yanayoenda israel ila haoni kuwa vita itageukia kwake na makombora yatashuka kwake na uchumi wake kudorora
Mkuu vita sio mchezo hata wao wazungu wanajua uchumi wa Dunia utayumba ingawa kuna wakati Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema sisi hayatuhusu kiuchumi ila yaliyotokea aliona aibu kulipngelea tena
German anajuwa kuwa hao wayahudi itabidi warejee kwao Ujerumani walikotoka ndio anaanza kuwa na wasiwasi
 
German anajuwa kuwa hao wayahudi itabidi warejee kwao Ujerumani walikotoka ndio anaanza kuwa na wasiwasi
Wote wanahaha na wengi sana wameondoka israel na kuyakimbia makazi yao mda mrefu
Wengi walikuja toka USA walipoahidiwa nyumba na mashamba ya bure walionyang'anywa wapalestina
 
Back
Top Bottom