Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
😂😂😂 sema asilimia kubwa ya tz n afya ya akili atana ww tia maji sasa umeeleza vzr mwisho uka haribu baada ya kuwapa elimu ukawaponda tena
 
Iran sio nchi ndogo
Kimbuka iran ni mara mbili ya population ya Iraq lakini Iraq ilivamiwa na dunia nzima, nchi kubwa zote zilimchangia na ardhi za waarabu wengine zilitumika pamoja na bahari zao kwa manowari kubwa kubwa

Iran kama unavyoona German ameongea kuhusu kumtetea Israel kwani wanajua wakiwaacha wawili watamalizana vibaya
Jordan anasema atatungua makombora yanayoenda israel ila haoni kuwa vita itageukia kwake na makombora yatashuka kwake na uchumi wake kudorora
Mkuu vita sio mchezo hata wao wazungu wanajua uchumi wa Dunia utayumba ingawa kuna wakati Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema sisi hayatuhusu kiuchumi ila yaliyotokea aliona aibu kulipngelea tena
Sema sasa trip hii Israeli nayo imeamua kuonyesha ubabe mkubwa sana na nyuma yake ina watu wenye nguvu sidhani kama Iran ameliona hilo.Iran kwa sasa angepiga kimya tu itasumbua wananchi wake tu.Ukubwa wa eneo ni faida ila kama una watu wenye moyo na utayari wa vita kama ilivyo Russia...Warusi wamekua wanalitumia eneo lao kubwa kwa faida maana pia wanakua na sababu ya kupambana.Ukija kwa Iran sidhani kama wananchi wanakubalina na uongozi uliopo na wananchi wamewachoka hao viongozi wa kidini tatizo linaanza hapo.
 
Hivi najiuliza,kama Hamas wangewaachia mateka.Wakaacha kurusha maroketi.Wakajikita kujenga miundombinu,elimu,teknolojia.Wakawa wanaenda kuswali Al Aqsa bila fujo.Wakaanzisha majadiliano ya kibiashara na kidiplomasia na Israel.Shida ingekuwa nini.
Yaani hawa wenzetu amani kwao ni dhambi...si unakumbuka kibiti, uamsho..yaani wao hawapendi amani
 
Iran ina nini cha ziada, Iraq ilisifiwa kweli mpaka tukajua huenda ikaitawala dunia . Cha ajabu siku 23 watu wako Bagdadi. Baada ya miezi nane mzee akafukuliwa kwenye shimo chafu. Nilijiuliza maswali mengi.

China na ukubwa wake na uchumi mkubwa hajathubutu kunyanyua kifua kwa wakubwa. Ogopa nchi haina hata uwezo wa kutengeneza spare part ya ndege au helcopta na viongozi wake wanategemea nchi za magharibi ambao ni mahasimu wake.

Tusishabikie vita . Iran itulie kama China ilivyotulia. Isijiingize kwenye kutafuta kuwa superpower Asia kwani itapotea mazima. Wana nafasi ya kukua kama watatuli na kujiimarisha kitechnolojia

Wewe kumbe unaishi sayari ya Mars, huelewi kinachoendelea ulimwenguni , China wamenunua makampuni mengi ya West na bado wanaendelea kununua ijapokuwa hivi sasa kidogo wanaekewa mizengwe. China alishapigana na marekani upande wa Wakorea soma vita vya Korea na namna ilivyogaiwa
 
Sema sasa trip hii Israeli nayo imeamua kuonyesha ubabe mkubwa sana na nyuma yake ina watu wenye nguvu sidhani kama Iran ameliona hilo.Iran kwa sasa angepiga kimya tu itasumbua wananchi wake tu.Ukubwa wa eneo ni faida ila kama una watu wenye moyo na utayari wa vita kama ilivyo Russia...Warusi wamekua wanalitumia eneo lao kubwa kwa faida maana pia wanakua na sababu ya kupambana.Ukija kwa Iran sidhani kama wananchi wanakubalina na uongozi uliopo na wananchi wamewachoka hao viongozi wa kidini tatizo linaanza hapo.
Aisee kama hujui, wananchi wa iran wana umoja sana likija suala la vita
Hii ilikuwa zamani labda kwa sasa baada ya vurugu la uvaaji wa hijab na mauwaji la pili vijana wa sasa sio wale wa zamani tena maana u western umepenyezwa sana Iran
 
Sema sasa trip hii Israeli nayo imeamua kuonyesha ubabe mkubwa sana na nyuma yake ina watu wenye nguvu sidhani kama Iran ameliona hilo.Iran kwa sasa angepiga kimya tu itasumbua wananchi wake tu.Ukubwa wa eneo ni faida ila kama una watu wenye moyo na utayari wa vita kama ilivyo Russia...Warusi wamekua wanalitumia eneo lao kubwa kwa faida maana pia wanakua na sababu ya kupambana.Ukija kwa Iran sidhani kama wananchi wanakubalina na uongozi uliopo na wananchi wamewachoka hao viongozi wa kidini tatizo linaanza hapo.
Wewe kumbe huwaelewi wazungu , unaweza kukuta haohao wamarekani kuna wanaomsaidia Iran kama alivyo mfaransa na miradi yake kule Iran pamoja na nchi kama Sweden na Ujeramani ambao wana makampuni yao kule.

Kule korea Kaskazini kuna makampuni ya west yanafanya kazi kwa siri na Wakorea . Ulimwengu huu ni unafiki tu.

USA. anaongoza kwa kununua uranium kwa wingi mwaka uliopita na huku anawaambia wengine wasinunuwe. nchi za West bado zinanunua mafua na gesi kutoka Urusi

Ni Unafiki kwenda mbele
 
Ndugu Israel nilikuwa nawambia siku zote hapa hawa wafuasi wa Paulo hajawahi pigana na warabu bila kusaidiwa na America. Western na nchi za kiarabu haswa hio Jordan ndio alikuwa akitoa siri vipi warabu wamejipanga. Siku hizi nchi ambazo zilikuwa zinamuita Israel adui, wa kwanza UAE ndio kawa kipenzi kikubwa cha Israel. Saud Arabia siku zote yuko na Israel isipokuwa yule King Faisal ndio alikuwa hayuko kabisa na Israel wakamua kwa kutumia mtoto wa ndugu yake hao America.

Sadat aliwahi kusema mimi sipigani na Israel napigana na America, UK, France, Italy, Germany na mataifa mengi tu ya ulaya, warabu wakamkasirikia ukweli ndio huo Israel kapandikizwa tu lakini hapigani yeye.

Wachana nao hata wajikusanye Europe nzima siku hizi ni Missiles na Drones ndio zinaongea. Zamani waliwaonea warabu na waislam kila kitu kilikuwa kinatoka kwao, siku hizi Missiles na Drones warabu na Waislam wanatengeneza wenyewe.

Afu usitishike na mbwebwe zao hao America na Western wakisukumiwa Missiles huko Germany watandamana hawamtaki chancellor
Ukweli ni huo.Mwenyezi Mungu ni mwingi wa hekima na zamani kasema huwa anamzunguka adui yake bila kujijua.Akiua watu wengi huona kama ndio anapata ushindi.
Vijana wa coding za IT wamejaa kila eneo.Wapalestina tu mipaka imefungwa na wana uwezo wa kuunganisha mabaki ya makombora na kuyarudisha kwa mayahudi kwa kadri wanavyoweza.Utakuja kushindana na Iran na Yemen na Afghanistan na Lebanon ambao mipaka yao wala haiwezi kuzibwa na askari wa kukodi kutoka Marekani.
Ingekuwa Israel ina ulinzi wa ajabu basi makombora ya oktoba 7 na haya yanayotoka Lebanon wala yasingepenya kudondoka kwao.
 
Sema sasa trip hii Israeli nayo imeamua kuonyesha ubabe mkubwa sana na nyuma yake ina watu wenye nguvu sidhani kama Iran ameliona hilo.Iran kwa sasa angepiga kimya tu itasumbua wananchi wake tu.Ukubwa wa eneo ni faida ila kama una watu wenye moyo na utayari wa vita kama ilivyo Russia...Warusi wamekua wanalitumia eneo lao kubwa kwa faida maana pia wanakua na sababu ya kupambana.Ukija kwa Iran sidhani kama wananchi wanakubalina na uongozi uliopo na wananchi wamewachoka hao viongozi wa kidini tatizo linaanza hapo.
Wewe kumbe huwaelewi wazungu , unaweza kukuta hao hao wamarekani kuna wanaomsaidia Iran kama alivyo mfaransa na miradi yake kule Iran pamoja na nchi kama Sweden na Ujeramani ambao wana makampuni yao kule.

Kule korea Kaskazini kuna makampuni ya west yanafanya kazi kwa siri na Wakorea . Ulimwengu huu ni unafiki tu.

USA anaongoza kwa kununua uranium kwa wingi mwaka uliopita na huku anawaambia wengine wasinunuwe.

Nchi za West bado zinanunua mafua na gesi kutoka Urusi

Ni Unafiki kwenda mbele
 
Yaani hawa wenzetu amani kwao ni dhambi...si unakumbuka kibiti, uamsho..yaani wao hawapendi amani

yaani nyinyi kuuwa waislamu si dhambi ??

Nyerere aliuwa zaidi ya watu 10 000 Zanzibar na ameichukuwa Zanzibar mpaka leo kwa kisingizio cha muungano , na mnaendelea kuuwa watu kila ufikapo uchaguzi kulinda uvamizi na maslahi yenu
 
Uingereza sasa wanawaondoa kwa nguvu...fundishaneni kuishi kwa amani, uwezo hamna mdomo tu
hiyo ni hoja dhaifu sana ,huwezi kuondoa raia wako ,unaowaona wale waarabu wote ulaya na marekani 90% wameshapewa uraia na wameshazaliana na wenyeji ,
Unamjua dodi alfayed? Alipita hadi na princess wa uingereza mke wa mfalme wa sasa wa uingereza ,kitu ambacho kwa mila za kifalme ni aibu
NAchotaka kukuelimisha ni kwamba kwa vita vinavyoendelea israel , kuna mengi yatajitokeza, waarabu wamekuwa wakiishi na wazungu kwa decades na hakujawahi kuwa na ugomvi au chuki hata nenda marekani wengine wamekuwa hadi wabunge wa bunge la marekani
Ila kinachotokea sasa ni kutaka kuwagawa watu ambao kwa kipindi cha karibuni wote wameungana kupinga uzayuni na sitoshangaa kuona israel ndio anachochea huu mgawanyiko
Hata huyu mzungu hapo chini kaona kama nilivyoona mimi
 

Attachments

  • Screenshot_20240804-121853_Instagram.jpg
    Screenshot_20240804-121853_Instagram.jpg
    238.3 KB · Views: 2
Ha
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.

Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.

Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Hao wafalme sio wajinga, wanajua nguvu ya Mungu wa Israel.

Subiri mpambano uanze halafu urudi hapa tutambiane Mungu yupi ana nguvu?
 
yaani nyinyi kuuwa waislamu si dhambi ??

Nyerere aliuwa zaidi ya watu 10 000 Zanzibar na ameichukuwa Zanzibar mpaka leo kwa kisingizio cha muungano , na mnaendelea kuuwa watu kila ufikapo uchguzi kulinda maslahi yenu
Vp uamsho nayo ilimalizwa na nani?
Hivi hoja zao ni nini hasa? (Kibiti, uamsho)
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Umeandika porojo tupu.

Hamas ni magaidi wanaua hovyo raia wa mataifa tofauti hata wasiohusika na vita yao na Israel, hapa hakuna mjadala unless uwe na akili mbovu kutambua Hamas ni kundi la machizi wenye silaha.
 
Yaani hawa wenzetu amani kwao ni dhambi...si unakumbuka kibiti, uamsho..yaani wao hawapendi amani
Kweli mkuu.
Huko Msumbiji wana kundi lao linaitwa
Ansar al-Sunna linaua kwa wingi wananchi wasio na hatia wa huko kikatili sana, halafu ajabu baadhi ya viongozi wa hilo kundi la wauaji ni Watanzania !!!
 
Ukweli ni huo.Mwenyezi Mungu ni mwingi wa hekima na zamani kasema huwa anamzunguka adui yake bila kujijua.Akiua watu wengi huona kama ndio anapata ushindi.
Vijana wa coding za IT wamejaa kila eneo.Wapalestina tu mipaka imefungwa na wana uwezo wa kuunganisha mabaki ya makombora na kuyarudisha kwa mayahudi kwa kadri wanavyoweza.Utakuja kushindana na Iran na Yemen na Afghanistan na Lebanon ambao mipaka yao wala haiwezi kuzibwa na askari wa kukodi kutoka Marekani.
Ingekuwa Israel ina ulinzi wa ajabu basi makombora ya oktoba 7 na haya yanayotoka Lebanon wala yasingepenya kudondoka kwao.
Israel anakuzwa tu na viongozi wa kiarabu ambao wanataka Israel ibaki ili walindwe na America, hawajui America hana urafiki wa kudumu urafiki wake ni kwa faida flani. America mwenyewe hana nguvu mwenye nguvu angefungashwa huko Afghanistan na Iraq.

Warabu/Waislam wakitanguliza Qur'an na Mungu mbele, basi hakuna mtu wakuwachezea.
 
Back
Top Bottom